Hata wana CCM wenyewe wanajua walichopata hawakustahili kabisa.
Mtaani kila mtu amejenga kinyongo kwa serikali.
mkuu umesahau kusema zingepigwa siku ya mikutano yao ya kampeni ndio wangeshindaUmeshindwa tambua kuwa lowassa angeshinda tena kwa kishindo kama zingepigwa kura za mitandaoni, kwa wananchi wa kawaida shamra shamra zipo ila sio sana, sababu ya msingi ni kwamba wananchi wengi walijua matokea mapema sana.
Wapendwa viongozi wetu, waswahili wanasema maneno matupu hayavunji mfupa. Tusijifanye wapole sana na wapenda amani wakati haki inakanyagwa. Wakati wa maneno umepita sasa tunataka vitendo. Tuache woga, nchi yetu inaangamia.
PENDEKEZO LANGU
Tangazeni maandamano ya amani yasiyo na kikomo kuanzia kesho (mchuzi wa punda lazima uunywe ukiwa wa moto). Najua jinsi walivyojiandaa kijeshi, lakini ukombozi wa kweli ni lazima uambatane na kafara. Hakuna atakayetuletea haki yetu kwenye sahani ya fedha, HAKI INAPIGANIWA, HAIOMBWI. Tumeumia sana sana sana, nchi ime-paralize. Jamani semeni neno msikae kimya, vijana sasa wameiva mabomu si jambo la ajabu tena. Jamani tuokoe nchi yetu.
LOWASA, MBOWE, MBATIA Acheni kulia lia toeni orders nchi ipone.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Kama hii ni kweli, then Edward Lowassa, umetimiza wajibu wako, umefanya kazi yako, jipumzikie kwa amani, meingine yote muachie Mungu!, kuna mahakama ya haki kuliko mahakama zote za dunia hii, hii ni mahakama ya karma.
Pasco
Nitaendelea kumtambua Lowassa kama rais wangu.
Haya ilibidi uyafanyie kazi kabla ya kuungua uchaguzi mkuu huu. Vinginevyo business as usual.
Wapendwa viongozi wetu, waswahili wanasema maneno matupu hayavunji mfupa. Tusijifanye wapole sana na wapenda amani wakati haki inakanyagwa. Wakati wa maneno umepita sasa tunataka vitendo. Tuache woga, nchi yetu inaangamia.
PENDEKEZO LANGU
Tangazeni maandamano ya amani yasiyo na kikomo kuanzia kesho (mchuzi wa punda lazima uunywe ukiwa wa moto). Najua jinsi walivyojiandaa kijeshi, lakini ukombozi wa kweli ni lazima uambatane na kafara. Hakuna atakayetuletea haki yetu kwenye sahani ya fedha, HAKI INAPIGANIWA, HAIOMBWI. Tumeumia sana sana sana, nchi ime-paralize. Jamani semeni neno msikae kimya, vijana sasa wameiva mabomu si jambo la ajabu tena. Jamani tuokoe nchi yetu.
LOWASA, MBOWE, MBATIA Acheni kulia lia toeni orders nchi ipone.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Wachunguzi wote wamerogwa na ile kamati ya Ufundi ya Membe.Na pamoja na kuwa na wachunguzi wa uchaguzi kutoka nchi za Ulaya lakin bado haki inapokonywa na wao kuwa kimya tu...Wamegeuka waandishi wa habari wa vyombo vyao badala ya kusimamia haki...
HALI HALIS YA WATANZANIA SASA HIVI
kumepooza kila mahali
Sio sokon sio mitaan
Sio majumban na wala sio katka taasis yoyote ile iwe ya uma au ya binafsi
ANAEDAIWA KUWA NI MSHINDI WA URAIS (MAGUFULI) LAKIN WATU WAKO KIMYA KAMA WAMETANGAZIWA HABAR YA MSIBA
Ingia mitandao ya jamii
Fb
Wasap
Etc
Kuko kimya
Watu hawana mudi ya kuchat
Baadh yao hawatak hata kusikia mdudu anayetwa siasa🙉🙉
Tulitegemea kuwe na shamra shamra za hapa na pale baada ya kusikia kutangazwa kwa mshind wa urais
Hii kidogo inakufanya ufikirie mara mbili coz kushinda tu kwa baadh ya wabunge/madiwan kumekuwa na shamra shamra za furaha hadi inafikia polis wanatumia silaha kuwatawanya
Lakin rais
I min mkuu nchi na amiri jesh mkuu anatangazwa lakin watu kimya kama ndo wametangaziwa KIAMA KESHO🙆🏿🙆🏿
SASA SWAL LA KUJIULIZA NI JE NI WATU GAN WALIOMCHAGUA MAGUFUL IKIWA ASILIMIA KUBWA YA WATZ WAKO KATKA HUZIN?
HII INAASHIRIA NN?
TULITEGEMEA MUDA HUU KUWE KUNA SHANGWE ZA HAPA NA PALE ZA FURAHA ZA KUPOKEA USHIND LAKIN HAL HIYO NI TOFAUT KABSA
HII INAMAANA GAN?
KATKA HIL HAUHITAJ DIGRII WALA DIPLOMA ILI KUELEWA KUWA TUME(NEC) WAMETANGAZA MATOKEO WALIUOYAANDAA WENYEWE NA SIO MATOKEO YA KURA WALIZOPIGA WATANZANIA😓😓
Tanzania Tanzania?2
Nakupenda kwa moyo woteee
Nchi nzuri Tanzania🎶
Karibu wasio na kwaooo wenye shida na taabu kukimbizwa na waloweziii🎤
Mbona mnawabebesha watanzania wote hisia zenu? Acheni kabisa mbona Tv zinaonyesha watu wanashangilia? Haiwezekani wote kushinda lazima awe mmoja.
haya ndio tunayaita mahaba niue ww huna tofauti na babu yako kingunge sasa kama unataka hivyo kusanya familia yako yote nenda barabani kaandamane tuwatengue viuno maana hakuna namna kama ndivyo hivyo basi kataeni majimbo ya ubunge na udiwani mliyochukua kwamba hamkushinda kiharali ili uchaguzi urudiwe upya muone tutakachowafanya tena kwenye box hamtaamini kabisa hata mliyoyapata sasa hivi mtayakosa chezea ccm ww unaleta mihemko watu tuko kazini ww