Elections 2015 Tamko la Edward Lowassa Baada ya NEC Kumtangaza Dr Magufuli Kuwa Mshindi wa Kiti cha Urais

Elections 2015 Tamko la Edward Lowassa Baada ya NEC Kumtangaza Dr Magufuli Kuwa Mshindi wa Kiti cha Urais

Itafahamika tu . Hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo dhuluma iliwahi kushinda haki .
 
1980. .
Jomo Kenyatta alisema haya; _

"Kenya naongoza wagonjwa mahututi ila siku wakizinduka, hapatakalika. ..
Ila kiongozi wa Tanzania anaongoza MAITI , ni ngumu hawa watu kufufuka. .. "

SHKAMOOh
MZEE
JOMO
KENYATTA
Mkuu Jomo kenyatta alifariki mwaka gani? anyway maelezo uliyotoa yana maana.
 
Dhuluma vs haki. Alipataje rais wa monduli na bodaboda kuwa mgombea wa CDM na UKAWA? Ni kanuni takatifu ukipanda bangi unavuna bangi usitegemee mchicha.
 
Lowassa ni kama kinyago cha kumtishia mtoto ili anywe uji.akishakunywa uji akashiba kazi ya kinyago imekwisha kinarudi kabatini.
Rudi sasa monduli mzee ukapumzike kazi yako imeshakwisha!.
 
ITV usiku huu imeeleza jinsi polisi walivyoenda na kuvamia kituo cha takwimu za uchaguzi cha kituo cha haki za binadamu na kunyang'anya computer zao zote na kuwachukua wafanyakazi wailokuwa wanakusanya taarifa kutoka kwa waangalizi wa uchaguzi wa kituo hicho nchi nzima,

Tafsiri yake ni nini?

Ni kweli kuwa matokeo yaliyompa Magufuli ushindi ni ya uongo, baada ya kuwakamata vijana wa ukawa wakadhani wamemaliza kufuta ushahidi, wakagundua kuwa Haki za Binadamu nao wanakusanya hivyo uongo wao utagundulika, nao wakafanyiziwa. Mtu unakaa unashangaa kama tayari mmeshakusanya ya kwenu na Magufuli ameshinda mnachohangaikia sasa ni nini?

Shame on you ccm!!!!
 
Mlitaka asiseme ukweli wa kilichotokea? Ukweli ndio umemsaidia maalim asiporwe ushindi.
 
Kweli kabisa. Hapa kwetu licha ya kwamba ni makao makuu ya wilaya, wananchi wengi wako down kupita maelezo. Yaani hakuna hata anaye jali kwamba kulikuwa kuna tukio la kumtangaza mshindi wa urais.

Wengi wao wamepigwa na butwaa huku wakijawa na huzuni kwani matarajio yao ya walicho kichagua sicho walicho kipata.

Wananchi walio wengi wamebaki watulivu kwasababu wanafikiria vibarua vyao, ajira zao na biashara zao.Hii drama ya ccmA kumuibia kura ccmB wameshaichoka.wanasubiri wamalize maigizo yao watu waendelee na maisha yao.watoto wa baba mmoja kuibiana kura sio story tena wala kitu cha kusheherekea.
 
Sina uhakika ungepata kura ngapi. Ila nina uhakika baadhi ya kura zako zimepelekwa kwa dr magufuli.

Hata hivyo, kwa mimi ambaye ninachagua upinzani toka 1985 (wakati huo kuna kivuli upande mmoja), nimefarijika sana kwamba upinzani unakua na kuzidi kuaminiwa. Umepata kura miilioni sita+. Ni jambo jema.

Pia mafanikio mengine ya kujivunia ni kuongoza halmashauri ya jiji la Dar.
 
Lowassa anaonekana hajapanic ukimtazama ila ....
 
Wapendwa viongozi wetu, waswahili wanasema maneno matupu hayavunji mfupa. Tusijifanye wapole sana na wapenda amani wakati haki inakanyagwa. Wakati wa maneno umepita sasa tunataka vitendo. Tuache woga, nchi yetu inaangamia.

PENDEKEZO LANGU
Tangazeni maandamano ya amani yasiyo na kikomo kuanzia kesho (mchuzi wa punda lazima uunywe ukiwa wa moto). Najua jinsi walivyojiandaa kijeshi, lakini ukombozi wa kweli ni lazima uambatane na kafara. Hakuna atakayetuletea haki yetu kwenye sahani ya fedha, HAKI INAPIGANIWA, HAIOMBWI. Tumeumia sana sana sana, nchi ime-paralize. Jamani semeni neno msikae kimya, vijana sasa wameiva mabomu si jambo la ajabu tena. Jamani tuokoe nchi yetu.

LOWASA, MBOWE, MBATIA Acheni kulia lia toeni orders nchi ipone.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Watanzania sasa ni wakati wa kufanya kaz na kuendeleza taifa malumbano ya kisiasa hayatasaidia kitu nawaomba tuungane na Ndugu yetu John pombe kuendeleza maendeleo yetu ni wakati wa kuweka siasa pembeni na kufanya kazi maendeleo yetu yataletwa na sisi wenyewe na sio kuweka tegemezi kwa kiongozi ambaye anafahamika Ndugu lowasa
 
Hata wana CCM wenyewe wanajua walichopata hawakustahili kabisa.

Mtaani kila mtu amejenga kinyongo kwa serikali.
 
Watanzania sasa ni wakati wa kufanya kaz na kuendeleza taifa malumbano ya kisiasa hayatasaidia kitu nawaomba tuungane na Ndugu yetu John pombe kuendeleza maendeleo yetu ni wakati wa kuweka siasa pembeni na kufanya kazi maendeleo yetu yataletwa na sisi wenyewe na sio kuweka tegemezi kwa kiongozi ambaye anafahamika Ndugu lowasa

Kirahisi hivyo?
 
Dhuluma vs haki. Alipataje rais wa monduli na bodaboda kuwa mgombea wa CDM na UKAWA? Ni kanuni takatifu ukipanda bangi unavuna bangi usitegemee mchicha.

Demokrasia ya kumchagua yeye kama mgombea wa CHADEMA ilitumika? Jambazi Sugu linataka demokrasi wakati lenyewe haliwezi kukubali demokrasi khe khe khe khe ke khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee watanzania wamepata mabadiliko ya kumuondoa yeye pamoja na Kingunge akishirikiana na Sumaye si walikuwa mawaziri wakuu hawa wawili. Pathetic!
 
Back
Top Bottom