Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

Dem wangu mnyarwanda sasa na mwez wa 10 nilipanga ndoa. Sasa jk togwa ananitilia inzi daaaahhh

Hatuna tatizo naye! Wewe ni Mtanzania unajua SIRI ndani Ya Utanzania! Wewe ni Mzalendo na mpenda Utaifa wake. Akupende na kuamini kile unacha amini .. All will be-Settled.

AMRI YA USALI NI HII!!

UKILETA UHAINI TU! Watakutafuta Mbinguni, Jehanam na Duniani hutapatikana KWANI-UTANZANIA-SIO KITU CHA KUSALITIWA AU KUFANYIWA MCHEZO!!! NA HILI LIKAE VICHWANI MWA WATU MAPEMA KABISA!!!!​


Usaliti na uhani kwa Utanzani ni Jambo lisilokubalika katika hali yeyote na hii ni kulingana na chemistry yote ya uasisi wa Taifa hili. Usaliti haukubaliki Mtu akiwa hai au akiwa Mfu!! Drill this-message-to her mind and she is fine we all Love Her!-

Tunaimba kila siku Mungu Aibari Tanzania ... , Akuimbie ukiwa unamtizama Machoni uone kama ana Dhati ya matamshi na sauti!!
 
this is HATE, nadiriki kusema tunakosea kwa hilo,tena sana.NAILILIA TANZANIA,ewe Tanzania nchi iliyokuwa ikisifika kwa amani,ikisifika kwa ukarimu,ni nani amekuroga ewe Tanzania?nenda mpakani Tarime,ingia kenya uone kama hutaona rundo la watanzania wakijishughulisha na kuishi bila vibali kama mnavyosema na wengine wamezaa na wakenya.NENDA MSUMBIJI,uganda mpakani,EWE TANZANIA unayewafanya watoto wawe yatima kisa mzazi mmoja ni mnyarwanda,,,
YOTE HAYANA BUDI KUTUKIA ILI LITIMIE NENO ITAKAPOFIKA SIKU ZA MWISHO MTASIKIA VITA NA TETESI ZA VITA,,,
SIKU ZA MWISHO UPENDO UTAPOA.Naona live upendo waliokuwa nao watanzania ukipotea taratibu.Nawaombea Mungu waathirika wa hili awape amani.

Amen, nafarijika sana kuna watu wenye asili ya ukarimu na siyo wale wanaoigiza ukarimu....naahidi kuondoka kwa wanyarwanda hakutaongeza au kupunguza kitu chochote kwao....tatizo kama ni majambazi si wangesakwa?hainashida yote tisa...halitasalia jiwe juu ya jiwe..BYE BYE!I LOVE ALL TANZANIANS even those who are tormenting me because i dont belong to chaga,sukuma,haya,etc tribes
 
Kwani huoni wakihukumiwa, kumbuka Kikwete alisema kuwa kwa 'asiye na kibali' yaani haishi akiwa na sheria inayomlinda ndio watakaoondoka. Wanaoishi kwa Sheria hawataondoka. Acha sheria ichukue mkondo wake, hata hao watanzania pia wanahukumiwa kwa sheria.

watanzania wangapi wana-birth certifaicates au national IDs?acha ushabiki wa kijinga....nenda kijijini kasomeko huko busanda uliza hiyo document ukiipata njoo nikupe laki...
 
hawa jamaa pamoja na kuingia kinyemela lakini bado wanafanya uharifu wa kutisha wameingoa na makundi makubwa kweli ya ng'ombe cha kishangaza ukiwasogelea na ving'ombe vyako vichache lazima wakufanyie kitu kibaya kuua kwao ni kitu cha kawaida wale ndo wanaongoza kwa kufanya ujambazi kwenye mapori ya biharamulo
Ningekuwa mimi ndo JK ningewapa siku nne tuuu wawe wameshaondoka
 
Bandugu nitasalimika? Maana nafananafanana na akina kagame ati mweeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!
 
Amen, nafarijika sana kuna watu wenye asili ya ukarimu na siyo wale wanaoigiza ukarimu....naahidi kuondoka kwa wanyarwanda hakutaongeza au kupunguza kitu chochote kwao....tatizo kama ni majambazi si wangesakwa?hainashida yote tisa...halitasalia jiwe juu ya jiwe..BYE BYE!I LOVE ALL TANZANIANS even those who are tormenting me because i dont belong to chaga,sukuma,haya,etc tribes

But there is Hope,amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu,Tegemeo lako ni Yesu kristu,we are at the brink of eternity.the end of the age is right at the corner cause the antichrist is already on here akisubiri muda wake ufike.Kuna tumaini la nchi ambayo tumeandaliwa yenye barabara ya dhahabu.soma spiritlessons.com pia sikiliza huu wimbo .
amini katika Yesu kristo yeye ndiye mkweli na wa kumtegemea.
 
kwa wakenya sisi tutaumia maana watanzania ni wengi sana kenya wanafanya biashara ndogo ndogo
....Mkuu siyo dhambi kwenda sehemu yoyote ile kutafuta maisha......kitu cha umuhimu ni kufuata taratibu/sheria za sehemu hisika.......hata kama watanzania wapo Rwanda kinyume cha taratibu nao ni sahihi wachukuliwe hatua.......Wengi wanadhani mh Rais kawafukuza wanyarwanda la si hivyo......Agizo lake liko wazi kabisa kwamba walioingia nchini isivyo halali wajiondoe wenyewe kabla ya operation kuanza......Rais wetu anahuruma sana.....anawavumilia wahalifu wa kila aina.......
 
duu! hizo sehemu ni ushaidi tosha. nitatuma vijana wangu kuangalia kama kuna haki za binadamu zinavunjwa kwenye zoezi ilo.

Huna lolote Wewe, umtishi mtu yeyote hapa. Huna cha kutuambia sisi na Taifa letu. Tunatekeleza sheria za nchi yetu kwa usalama wetu. Nenda Kivu DRC ukaone Dictetor Kagame alivyo poteza Uhai wa watu, wengine kuwasababishia vilema, wengine kubakwa nk. Kama wewe kweli unajari haki za binadamu, tokea hali hiyo iwepo ulichukuwa hatua gani kuwasaidia au kukemea?. Mashirika ya kimataifa yamesha toa ripoti za kudhibitisha ushiliki wa Kagame kuendesha vitendo viovu DRC. Au Wakongo si watu mbele ya nyinyi wa Kagame?. Kama huyo bwana ako Muuaji Kagame ndio amewatuma muandike utumbo huu wa kingese. Mwambie yeye ni kiazi tu kwetu.
 
this is HATE, nadiriki kusema tunakosea kwa hilo,tena sana.NAILILIA TANZANIA,ewe Tanzania nchi iliyokuwa ikisifika kwa amani,ikisifika kwa ukarimu,ni nani amekuroga ewe Tanzania?nenda mpakani Tarime,ingia kenya uone kama hutaona rundo la watanzania wakijishughulisha na kuishi bila vibali kama mnavyosema na wengine wamezaa na wakenya.NENDA MSUMBIJI,uganda mpakani,EWE TANZANIA unayewafanya watoto wawe yatima kisa mzazi mmoja ni mnyarwanda,,,
YOTE HAYANA BUDI KUTUKIA ILI LITIMIE NENO ITAKAPOFIKA SIKU ZA MWISHO MTASIKIA VITA NA TETESI ZA VITA,,,
SIKU ZA MWISHO UPENDO UTAPOA.Naona live upendo waliokuwa nao watanzania ukipotea taratibu.Nawaombea Mungu waathirika wa hili awape amani.

Mkuu acha kupotosha jamii!Hakuna nchi hata moja duniani ambayo haina taratibu zake kwa watu wa nchi nyingine kuzifuata ili waishi nchi husika.Mara ngapi wahamiaji haramu toka Africa wanatimuliwa Italy,spain na hata Israel,kwanini watanzania tukifanya hivyo ionekane ni kitu cha ajabu?? Intelligency ya tanzania imeona kuwa matukio ya ujambazi na migogoro ya ardhi maeneo tajwa yanasababishwa na idadi kubwa ya wahamiaji haramu sasa wasichukue hatua kwenye nchi yao?? Hebu tupishe tafadhari
 
Hapa umezungumzia UHAINI, KUPIGANA VITA au UZALENDO?, na hivi vinahusiana nini na topic?, au wewe unapenda sana vita?
Elewa jambo la msingi kama unafika wakati kama huu! Haijalishi Kabila wala dini ya Mtu kutoka nje ya Tanzania au ndani Ya Tanzania kila mmoja atawajibika kuonyesha-LOYALTY-yake kwa Umoja na heshima ya taifa la Tanzania na watu wake.

Ole wake mtu yeyote alete mambo ya Kijanja janja ... !!

"KAMA NI VITA? HAKUNA MJADALA" Utanzania , Uzalendo na Heshima kwa Utanzania na Taifa lake ni Lazima Jambo hili lionyeswe na kila Mtanzania kinyume na hapo huo ni UHAINI ... AND WE KNOW HOW TO DEAL WITH THIS KIND!! THEY WILL NEVER FORGET!!

UKILETA UHAINI TU! Watakutafuta Mbinguni, Jehanam na Duniani hutapatikana KWANI UTANZANIA SIO KITU CHA KUSALITIWA AU KUFANYIWA MCHEZO!!! NA HILI LIKAE VICHWANI MWA WATU MAPEMA KABISA!!!!
 
Mkuu acha kupotosha jamii!Hakuna nchi hata moja duniani ambayo haina taratibu zake kwa watu wa nchi nyingine kuzifuata ili waishi nchi husika.Mara ngapi wahamiaji haramu toka Africa wanatimuliwa Italy,spain na hata Israel,kwanini watanzania tukifanya hivyo ionekane ni kitu cha ajabu?? Intelligency ya tanzania imeona kuwa matukio ya ujambazi na migogoro ya ardhi maeneo tajwa yanasababishwa na idadi kubwa ya wahamiaji haramu sasa wasichukue hatua kwenye nchi yao?? Hebu tupishe tafadhari

Bora useme wewe, ngoja aje kukujibu tuone.
 
this is HATE, nadiriki kusema tunakosea kwa hilo,tena sana.NAILILIA TANZANIA,ewe Tanzania nchi iliyokuwa ikisifika kwa amani,ikisifika kwa ukarimu,ni nani amekuroga ewe Tanzania?nenda mpakani Tarime,ingia kenya uone kama hutaona rundo la watanzania wakijishughulisha na kuishi bila vibali kama mnavyosema na wengine wamezaa na wakenya.NENDA MSUMBIJI,uganda mpakani,EWE TANZANIA unayewafanya watoto wawe yatima kisa mzazi mmoja ni mnyarwanda,,,
YOTE HAYANA BUDI KUTUKIA ILI LITIMIE NENO ITAKAPOFIKA SIKU ZA MWISHO MTASIKIA VITA NA TETESI ZA VITA,,,
SIKU ZA MWISHO UPENDO UTAPOA.Naona live upendo waliokuwa nao watanzania ukipotea taratibu.Nawaombea Mungu waathirika wa hili awape amani.

Hatukatai kushirikiana na wenzetu wa nchi jirani, tunapenda sana! Lakini ndugu yangu hawa watutsi si watu, wana mambo ya kichinichini sana, wana mipango haramu, ni wabaguzi kwa kujiona wao ndio wenye haki ya kutawala popote..angalia Uganda na hiyo rwanda yenyewe. Kwa hiyo ni kuwasaka popote walipo na kuwarudisha kwao...la kama wataendelea kuwepo hapa waangaliwe kwa jicho la tatu!
 
Target ya tutsi ni to east africa kwa siku zijazo by penetrating else where around e.a,kwa akili ndefu ya kagame it may be alread spread money to his people to buy land as much as big as possible to extend its future reign(wazo la kufirika tu au kutafakari)
 
Amen, nafarijika sana kuna watu wenye asili ya ukarimu na siyo wale wanaoigiza ukarimu....naahidi kuondoka kwa wanyarwanda hakutaongeza au kupunguza kitu chochote kwao....tatizo kama ni majambazi si wangesakwa?hainashida yote tisa...halitasalia jiwe juu ya jiwe..BYE BYE!I LOVE ALL TANZANIANS even those who are tormenting me because i dont belong to chaga,sukuma,haya,etc tribes

Tatizo ni tabia zenu watutsi, isingekua hivo haya yote yasingetokea. Mmelikoroga wenyewe na huyo mungu wenu kagame. By the way, we ddnt say we gonna gain anything by yr relocation to rwanda; our aim is to live with peace loving people lkn sio nyie war mongers, watu mliojaa chuki na dharau na kuwaona wengine si binadam. Tunajua mipango yenu miovu..so muondoke tuuu. Hatuna haja na upendo wenu wa kinafiki...eti " I love all Tanzanians" kwann usiwapende wahutu ambao ni raia wa kwenu? Acheni unafiki...tunawajua fika
 
Back
Top Bottom