Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

Hao watu wamevumiliwa sana hapa Tanzania. Kumbe Mtikila pamoja na "wazimu" wake kuna vitu anaongea vina maana sana. Juzi juzi kasema kuna Wanyarwanda zaidi ya 30,000 hapa Tanzania. Sasa imekuwa dhahiri. Waondoke tu wakapambane na Kagame wao huko kwao.

Safari hii wakianza kupigana wasiingie tena Tz japo najua sheria za kimataifa kuhusu wakimbizi itatubana kwani lazima wapokelewe. Dawa ni JWTZ kuingia kwao na kuwatengenezea kambi ndani ya nchi yao.
Mkuu kweli mtikila siyo chizi kunamambo husema kweli tujenge utamaduni wa kuwaamini watu wote na kuchunguza wanayosema.
 
Nawaonea huruma ambao walisha oa/olewa na watanzania na wana watoto, lakini ndiyo hivyo itabidi watusamehe tu dah!! Hii operation iwe endelevu na tukimalizana na hawa tuendelee na wahabesh Somalia/Ethiopia/Eritrea huku wahindi na wapakistan wakijiandaa nao kwa zamu yao.
hapana! wanaoishi kwa utaratibu mzuri na kufuata sheria za nchi waache.
 
itahusisha taasisi 4
zote hapo na pia hasa hasa hapo watu wa usalama wa taifa ndio tayari
wanatoa taharifa ya wapi walipo hao wahamiaji haramu,,,, na pia habari
zisizo rasmi zinasema kuwa rwanda wameanza kuogopa baada ya kuona raia
wengi sana wameanza kurudi majumbani kwani kiukweli rwanda hakuna maeneo
ya watu wote hao ila na pia kama wakirudi wote kuna uwezekano wa kukosa
maeneo ya kufanyia kilimo na ufugaji kabisa,,,, ila watu wametii hiyo
amri ya amiri jeshi mkuu



Sawa, inabidi wajifunze heshma na adabu kwa Taifa la Tanzania, Viongozi na Wananchi wake. Hata kama nimefanya kosa mimi ni mtu mzima kuna namna ya heshma na ya kiutu ya kunisema au kunionya... itakuwa kiongozi wa Taifa? Kama Watanzania tuna matatizo yetu kwenye siasa zetu na mengine mengi. Tutayasahau hayo ya ndani ya Nchi tuungane tushughulikia adui wa nje kwanza. Na hatuhita Mnyarwanda kutupa maoni yeyote. Kwa hiiyo Tunahitaji Viongozi wetu waheshimiwe ikiwa na maana heshima kwa kila Mtanzania na Nchi Yake.
 
Teh teh teh, na KAGAME akiweka neno tu achezee kichapo faster, chezea JK wewe.
Vita sio kitu kizuri ila kama huyu nduli atatuchokoza basi Mungu wa ajabu atupe nguvu za ajabu kumpiga bila kupoteza maisha watu wengi, ili iwe fundisho kwa wengine, na ikiwezekana apotezwe kabisa!!!
 
Hao watu wamevumiliwa sana hapa Tanzania. Kumbe Mtikila pamoja na "wazimu" wake kuna vitu anaongea vina maana sana. Juzi juzi kasema kuna Wanyarwanda zaidi ya 30,000 hapa Tanzania. Sasa imekuwa dhahiri. Waondoke tu wakapambane na Kagame wao huko kwao.

Safari hii wakianza kupigana wasiingie tena Tz japo najua sheria za kimataifa kuhusu wakimbizi itatubana kwani lazima wapokelewe. Dawa ni JWTZ kuingia kwao na kuwatengenezea kambi ndani ya nchi yao.

Ugomvi wa Kikwete na Kagame kwanini uwaathiri raia wasio na makosa. Unajua kama hujawahi kuishi nchi za watu na kunyanyaswa basi utashangilia huu unyaama wanaotaka kufanyiwa wanyarwanda lakini kama umewahi kubaguliwa nchi za watu basi utakuwa unafahamu jinsi gani wanyarwanda wanavyojisikia.
Kikwete na Kagame wamalize tofauti zao sio kumalizia asira kwa raia.
 
itahusisha taasisi 4 zote hapo na pia hasa hasa hapo watu wa usalama wa taifa ndio tayari wanatoa taharifa ya wapi walipo hao wahamiaji haramu,,,, na pia habari zisizo rasmi zinasema kuwa rwanda wameanza kuogopa baada ya kuona raia wengi sana wameanza kurudi majumbani kwani kiukweli rwanda hakuna maeneo ya watu wote hao ila na pia kama wakirudi wote kuna uwezekano wa kukosa maeneo ya kufanyia kilimo na ufugaji kabisa,,,, ila watu wametii hiyo amri ya amiri jeshi mkuu

Inasikitisha ila wacha warudi tu
 
Hee hivi ni kweli watarudishwaa? Siamini jamani nyie kweli baba riz anawarudisha?

"Nchi ngumu hii"
 
Hao watu wamevumiliwa sana hapa Tanzania. Kumbe Mtikila pamoja na "wazimu" wake kuna vitu anaongea vina maana sana. Juzi juzi kasema kuna Wanyarwanda zaidi ya 30,000 hapa Tanzania. Sasa imekuwa dhahiri. Waondoke tu wakapambane na Kagame wao huko kwao.

Safari hii wakianza kupigana wasiingie tena Tz japo najua sheria za kimataifa kuhusu wakimbizi itatubana kwani lazima wapokelewe. Dawa ni JWTZ kuingia kwao na kuwatengenezea kambi ndani ya nchi yao.

Mtikila si chizi kumbuka mtikila amesema mangapi ya kweli si vyema kupuzia mambo yanayohatarisha usalama wa Nchi Nadhani sasa ni nafasi ya kagame kujitambua mapungufu yake Ngoja alemewe na mzigo wa watu kisha aonje uchungu wa vitendo vyake
 
umenena kweli nafikiri hii issue ianzie mpaka maofisini njia ya kuwapata itakuwepo moja wapo ni kufuata clan. kweli wengi wao wanajiita wahangaza, wanyambo wahaya n.k. lakini watafutwe tu. tena kwenye hili zoezi kama mdau aliivyosema hapo juu wengi sasa hivi wanakimbilia Arush, Mwanza wamejaa tele, visiwa vya ukerewe huko nasikia wanajihusisha na ujambazi ndiko wanakoenda kujificha, Dar es Salaam pia wako wengi kweli maafisa uhamiaji ndio wamefanya tatizo kuwa kubwa yaaani wengi wanawapa vibali vya kusafiria hata passpoti. sasa ni wakati wa kusema basi tuwe wazalendo na nchi yetu. Tujifunze kutoka DRC. maana nwanaitaka sana Goma na mashariki ya Kongo iwe yao ndio maana hawafurahii kabisa kuona amani inapatikana Kongo.

Naishauri tu serikali yetu iwe mwangaliifu hasa kwenye hili zoezi la uandikishwaji wa vitambulisho vya uraia maana wengi wanaingia nchini ili wavipate kamwe moja ya mahitaji isiwe kitambulisho cha mpiga kura maana wanavyo vya kumwaga.

Hawa Watutsi asilimia kubwa sio wema wanakuchekea usoni ili wapate wanachotaka wakishapata wanakuona mavi. wanajiona wao ni bora.

Ndgu Rubi, umenena vyema ndugu. Be blessed
 
Ugomvi wa Kikwete na Kagame kwanini uwaathiri raia wasio na makosa. Unajua kama hujawahi kuishi nchi za watu na kunyanyaswa basi utashangilia huu unyaama wanaotaka kufanyiwa wanyarwanda lakini kama umewahi kubaguliwa nchi za watu basi utakuwa unafahamu jinsi gani wanyarwanda wanavyojisikia.
Kikwete na Kagame wamalize tofauti zao sio kumalizia asira kwa raia.

Mkuu, humu JF kuna watu wengi sana ambao wanawajua hawa Wanyarwanda, embu ulizia unyama wanaoufanya mkoani Kagera au waweza kutafuta yale maneno aliyoyasema Mheshimiwa Rais pale Kagera kuhusu hawa wakimbizi. Unajua kinachoendelea CONGO??? Unajua nani ni mhusika?
 
This is exactly what Love is FOR! I mean THE POWER OF LOVE. The Love which stands FOR CORRECTIONS AND JUSTICE.

Upendo ni zaidi ya kukumpatiana na mfululizo wa mabusu, ni Mamlaka na Nguvu toka kwa Rais wa J Y Muungano wa Tanzania kunyoosha na kuuweka UTANZANIA BAYANA kwa ndugu, marafiki, majirani na ulimwengu.

Its only through that kind of TOUGH LOVE YOU CAN DEAL WITH TYRANTS AND DICTOTORS LIKE PAUL KAGAME, YES! PURE TOUGH DIVINE LOVE!!
Una uhakika ni love au revange?
 
Hapo unaweza hata kumpata hata dem wa bure ukasepa naye huku kusini.
 
Hao watu wamevumiliwa sana hapa Tanzania. Kumbe Mtikila pamoja na "wazimu" wake kuna vitu anaongea vina maana sana. Juzi juzi kasema kuna Wanyarwanda zaidi ya 30,000 hapa Tanzania. Sasa imekuwa dhahiri. Waondoke tu wakapambane na Kagame wao huko kwao.

Safari hii wakianza kupigana wasiingie tena Tz japo najua sheria za kimataifa kuhusu wakimbizi itatubana kwani lazima wapokelewe. Dawa ni JWTZ kuingia kwao na kuwatengenezea kambi ndani ya nchi yao.
Duu, kweli mmeamua kuwafanyizia ndugu zake PK
 
Back
Top Bottom