Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

Goood move, natamani msako mwingine special for kenyans illegal immigrants utangazwe soon. Kuna mtu anaitwa nairobery ananikera sana!
 
Juzi Nilianza safari kutoka Kahama kwenda mji mdogo wa Benaco wilayani Ngara mkoani Kagera.

Nilikuwa ktk usafiri wa public katika mji mdogo wa ushirombo traffic alisimamisha coaster yetu na kumwambia dereva Kuwa "jumamosi ndo mwisho wako kwenda Kahama tukikuona tutajua la kufanya" alikuwa na asili ya kinyarwanda.

baada ya kufika Benaco hali ilikuwa tete warundi na baadhi ya wanyarwandwa wakiwa katika misururu mithili ya watumwa enzi zile.Hakika Tamko la Kikwete wahamiaji haramu wamekiona cha mtema kuni.

Kila sehemu za kijiwe mjadala ni huo wa kuondoka wanyarwanda mji wa Benaco na Ngara ni moja ya sehemu zilizo na wahamiaji haramu wengi sana. Wahangaza wa Ngara na wanyambo wa Karagwe wanawazodoa wanyarwanda waishio ktk maeneo hayo.

Wamefikia hatua ya kutishiana Kuwa tarh 10 Aug ndo deadline subirini Mje muone tutakacho wafanya baada ya hiyo tarehe.

Nimeweza pia kushudia jinsi gari zinavyopkia abiria wanoitwa wahamiaji haramu kutoka Karagwe kurudi Rwanda na Burundi.

Leo nimefika wilayani Karagwe gumuzo ni Hilo tu Watusi sasa wanauza mifugo Yao kwa bei chee na kurudi rwanda wengine wasubiri hadi Cku ya mwisho waone nini kitatokea dhidi Yao. Wenye peas zao wameanza kununua n'gombe kutoka kwa wanyarwanda kwa fujo kutokana na kile wanachodai "hili Tamko la JK ni Tamko la Neema kwa wazawa"

Wengi wao wanaondoka kwa kulaani vikali kauli ya Kagame ilivyowageukia wao, wanasikitika sana na kusema bora aombe radhi kwa matamshi, kejeli na matusi aliyomtukana JK. Kwani ndo vilivyo wafikisha hapo walipo.


wenyeji wa mipikani wanasema Rwanda ipo Karibu kuingia ktk machafuko ya wenyewe tena na safari hii chanzo kitakuwa ni ardhi." Sikia bro mamia ya hawa wanaondoka Kilasiku wataishi wapi huko rwanda? ardhi hawana na kagame alishasema ni marufuku kufuga ngombe zaidi ya sita" alisikika kijana akisema,. Lakini wapo wabishi wanasema Kuwa operation ikianza wao watatokomea polini na n'gombe zao.

Asubuhi ya Leo nilikuwa ktk mji wa kayanga nikajaribu kujichanganya kwenda kijiwe cha kahawa, gumuzo ni Hilo tu. afande m1 alisikika akisema ngoja jp mpaka ufungwe halafu tuanze kutafutana.

Macho yetu liwalo na liwe, nasikia ni operation itakayo jumuisha taasisi tatu, Jwtz, police na uhamiaji.
 
Habari zako ni za ukweli na umefanya utafiti.Big up.Na mimi niko bukoba mjini hizi habari ninazo.Nimetafuta pesa angalau ninunue mifugo fasta nimekosa-roho inauma.Yeah kwanza rwanda inapitwa kwa ukubwa na kagera(tchato kama inaisabika ni part ya kagera)
 
Kwa Wanya Rwanda, bora waondoke tu hasa Watutsi, hawa watu wanadhharau sana na ni watu wasiokua na shukurani hata kidogo, bora waende tu na Kagame ashike adabu yake.
 
Hakika watajutia, narudia kusema hawamjui JK.
Hakika hatowaacha wala kupindua kauli yake.
 
Lakini si waombe visa warudi kihalali tu au hawana passport ? Uhamiaji haramu haukubariki ....!!
 
Nawaonea huruma ambao walisha oa/olewa na watanzania na wana watoto, lakini ndiyo hivyo itabidi watusamehe tu dah!! Hii operation iwe endelevu na tukimalizana na hawa tuendelee na wahabesh Somalia/Ethiopia/Eritrea huku wahindi na wapakistan wakijiandaa nao kwa zamu yao.
 
itahusisha taasisi 4 zote hapo na pia hasa hasa hapo watu wa usalama wa taifa ndio tayari wanatoa taharifa ya wapi walipo hao wahamiaji haramu,,,, na pia habari zisizo rasmi zinasema kuwa rwanda wameanza kuogopa baada ya kuona raia wengi sana wameanza kurudi majumbani kwani kiukweli rwanda hakuna maeneo ya watu wote hao ila na pia kama wakirudi wote kuna uwezekano wa kukosa maeneo ya kufanyia kilimo na ufugaji kabisa,,,, ila watu wametii hiyo amri ya amiri jeshi mkuu
 
Nawaonea huruma ambao walisha oa/olewa na watanzania na wana watoto, lakini ndiyo hivyo itabidi watusamehe tu dah!! Hii operation iwe endelevu na tukimalizana na hawa tuendelee na wahabesh Somalia/Ethiopia/Eritrea huku wahindi na wapakistan wakijiandaa nao kwa zamu yao.

Hao watu wamevumiliwa sana hapa Tanzania. Kumbe Mtikila pamoja na "wazimu" wake kuna vitu anaongea vina maana sana. Juzi juzi kasema kuna Wanyarwanda zaidi ya 30,000 hapa Tanzania. Sasa imekuwa dhahiri. Waondoke tu wakapambane na Kagame wao huko kwao.

Safari hii wakianza kupigana wasiingie tena Tz japo najua sheria za kimataifa kuhusu wakimbizi itatubana kwani lazima wapokelewe. Dawa ni JWTZ kuingia kwao na kuwatengenezea kambi ndani ya nchi yao.
 
Kagame alilianzisha ngoja alinywe sasa daima kuongea sana huponza wengi kagame lazima nguo zibane, kagame amewaponza watu wake.
 
Juzi Nilianza safari
kutoka Kahama kwenda mji mdogo wa Benaco wilayani Ngara mkoani Kagera.

Nilikuwa ktk usafiri wa public katika mji mdogo wa ushirombo traffic
alisimamisha coaster yetu na kumwambia dereva Kuwa "jumamosi ndo mwisho
wako kwenda Kahama tukikuona tutajua la kufanya" alikuwa na asili ya
kinyarwanda.

baada ya kufika Benaco hali ilikuwa tete warundi na baadhi ya
wanyarwandwa wakiwa katika misururu mithili ya watumwa enzi zile.Hakika
Tamko la Kikwete wahamiaji haramu wamekiona cha mtema kuni.

Kila sehemu za kijiwe mjadala ni huo wa kuondoka wanyarwanda mji wa
Benaco na Ngara ni moja ya sehemu zilizo na wahamiaji haramu wengi sana.
Wahangaza wa Ngara na wanyambo wa Karagwe wanawazodoa wanyarwanda
waishio ktk maeneo hayo.

Wamefikia hatua ya kutishiana Kuwa tarh 10 Aug ndo deadline subirini
Mje muone tutakacho wafanya baada ya hiyo tarehe.

Nimeweza pia kushudia jinsi gari zinavyopkia abiria wanoitwa wahamiaji
haramu kutoka Karagwe kurudi Rwanda na Burundi.

Leo nimefika wilayani Karagwe gumuzo ni Hilo tu Watusi sasa wanauza
mifugo Yao kwa bei chee na kurudi rwanda wengine wasubiri hadi Cku ya
mwisho waone nini kitatokea dhidi Yao. Wenye peas zao wameanza kununua
n'gombe kutoka kwa wanyarwanda kwa fujo kutokana na kile wanachodai
"hili Tamko la JK ni Tamko la Neema kwa wazawa"

Wengi wao wanaondoka kwa kulaani vikali kauli ya Kagame ilivyowageukia
wao, wanasikitika sana na kusema bora aombe radhi kwa matamshi, kejeli
na matusi aliyomtukana JK. Kwani ndo vilivyo wafikisha hapo walipo.


wenyeji wa mipikani wanasema Rwanda ipo Karibu kuingia ktk machafuko ya
wenyewe tena na safari hii chanzo kitakuwa ni ardhi." Sikia bro mamia ya
hawa wanaondoka Kilasiku wataishi wapi huko rwanda? ardhi hawana na
kagame alishasema ni marufuku kufuga ngombe zaidi ya sita" alisikika
kijana akisema,. Lakini wapo wabishi wanasema Kuwa operation ikianza wao
watatokomea polini na n'gombe zao.

Asubuhi ya Leo nilikuwa ktk mji wa kayanga nikajaribu kujichanganya
kwenda kijiwe cha kahawa, gumuzo ni Hilo tu. afande m1 alisikika akisema
ngoja jp mpaka ufungwe halafu tuanze kutafutana.

Macho yetu liwalo na liwe, nasikia ni operation itakayo jumuisha
taasisi tatu, Jwtz, police na uhamiaji.



This is exactly what Love is FOR! I mean THE POWER OF LOVE. The Love which stands FOR CORRECTIONS AND JUSTICE.

Upendo ni zaidi ya kukumpatiana na mfululizo wa mabusu, ni Mamlaka na Nguvu toka kwa Rais wa J Y Muungano wa Tanzania kunyoosha na kuuweka UTANZANIA BAYANA kwa ndugu, marafiki, majirani na ulimwengu.

Its only through that kind of TOUGH LOVE YOU CAN DEAL WITH TYRANTS AND DICTOTORS LIKE PAUL KAGAME, YES! PURE TOUGH DIVINE LOVE!!
 
Kama vipi waelekee Uganda kwa binamu yao M7 kama kwa M23 hakuna nafasi..
 
Juzi Nilianza safari kutoka Kahama kwenda mji mdogo wa Benaco wilayani Ngara mkoani Kagera.

Nilikuwa ktk usafiri wa public katika mji mdogo wa ushirombo traffic alisimamisha coaster yetu na kumwambia dereva Kuwa "jumamosi ndo mwisho wako kwenda Kahama tukikuona tutajua la kufanya" alikuwa na asili ya kinyarwanda.

baada ya kufika Benaco hali ilikuwa tete warundi na baadhi ya wanyarwandwa wakiwa katika misururu mithili ya watumwa enzi zile.Hakika Tamko la Kikwete wahamiaji haramu wamekiona cha mtema kuni.

Kila sehemu za kijiwe mjadala ni huo wa kuondoka wanyarwanda mji wa Benaco na Ngara ni moja ya sehemu zilizo na wahamiaji haramu wengi sana. Wahangaza wa Ngara na wanyambo wa Karagwe wanawazodoa wanyarwanda waishio ktk maeneo hayo.

Wamefikia hatua ya kutishiana Kuwa tarh 10 Aug ndo deadline subirini Mje muone tutakacho wafanya baada ya hiyo tarehe.

Nimeweza pia kushudia jinsi gari zinavyopkia abiria wanoitwa wahamiaji haramu kutoka Karagwe kurudi Rwanda na Burundi.

Leo nimefika wilayani Karagwe gumuzo ni Hilo tu Watusi sasa wanauza mifugo Yao kwa bei chee na kurudi rwanda wengine wasubiri hadi Cku ya mwisho waone nini kitatokea dhidi Yao. Wenye peas zao wameanza kununua n'gombe kutoka kwa wanyarwanda kwa fujo kutokana na kile wanachodai "hili Tamko la JK ni Tamko la Neema kwa wazawa"

Wengi wao wanaondoka kwa kulaani vikali kauli ya Kagame ilivyowageukia wao, wanasikitika sana na kusema bora aombe radhi kwa matamshi, kejeli na matusi aliyomtukana JK. Kwani ndo vilivyo wafikisha hapo walipo.


wenyeji wa mipikani wanasema Rwanda ipo Karibu kuingia ktk machafuko ya wenyewe tena na safari hii chanzo kitakuwa ni ardhi." Sikia bro mamia ya hawa wanaondoka Kilasiku wataishi wapi huko rwanda? ardhi hawana na kagame alishasema ni marufuku kufuga ngombe zaidi ya sita" alisikika kijana akisema,. Lakini wapo wabishi wanasema Kuwa operation ikianza wao watatokomea polini na n'gombe zao.

Asubuhi ya Leo nilikuwa ktk mji wa kayanga nikajaribu kujichanganya kwenda kijiwe cha kahawa, gumuzo ni Hilo tu. afande m1 alisikika akisema ngoja jp mpaka ufungwe halafu tuanze kutafutana.

Macho yetu liwalo na liwe, nasikia ni operation itakayo jumuisha taasisi tatu, Jwtz, police na uhamiaji.

Good, Kagame aone atawafanyaje kama hawajamtoa roho, mshenzi sana.
 
Back
Top Bottom