Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

Sio kila mwenye asili ya kitusi au kihutu basi sio raia wa Tanzania, tuwe makini vinginevyo itakuwa ni ubaguzi tu kwa binadamu kwa kisingizio cha asili yake.
 
Hapo unaweza hata kumpata hata dem wa bure ukasepa naye huku kusini.
hahahaha nilijua hawaweazi kukosekana watu kama nyinyi,,, mmh mtakuja kufa ooooh mmesha ambiwa kuwa kwa raia yeyote alie funga ndoa na mhamiaji haramu basi ndoa ndio mwisho wake
 
Kagame ajipangeee! aache kuropokaa kwenye mediaa!!
 
Watz tunasifika kusafirisha madawa ya kulevya je umesikia nchi ambayo inawafukuza?


Mkuu, humu JF kuna watu wengi sana ambao wanawajua hawa Wanyarwanda, embu ulizia unyama wanaoufanya mkoani Kagera au waweza kutafuta yale maneno aliyoyasema Mheshimiwa Rais pale Kagera kuhusu hawa wakimbizi. Unajua kinachoendelea CONGO??? Unajua nani ni mhusika?
 
Uwezi kumrudisha mtu ameolewa,kwani ndoo hata ikifungwa kanisani/Msikitini wanapewa cheti cha ndoa kutoka serikalini.sasa basi kuna wazungu,wachina,waarabu,wairan wamejaa hapa nao basi waondoke na sio wanyarwanda tu.Kama hatafanya hivyo .Na pia mke mwenyekiti wa ccm taifa sio mmakua kutoka msumbiji?.Naye aondoke pia
 
Watanzani tumekuwa wakarimu muno kwa wahamiaji haramu. Tumuombe Rais operation kama hiyo ifanyike nyumba kwa nyumba Dar pia, maana Kinondoni kumejaa watu toka Zaire, Nigeria na house boys/girs toka Malawi, Sana maeneo ya Mbezi beach kwenye mahekaru ya wakubwa, Sinza na Kinondoni. Ilala kumejaa Wasomari, Waasia kwenye magorofa Kariakoo na Sharifu shamba.
 
Kinachompa Kagame Kiburi ni Watu wake aliowatanguliza Ndani ya Nchi yetu, tumekuwa nao tangu darasa la kwanza, sekondari, JKT , chuoni , polisi, makabi ya ukimbizi, jeshini na makazini nk!

Wanasubiri tu apige Bigula la Kinywaranda Watugeuke na kutimiza UPUUZI waliopanga siku nyingi dhidi ya Taifa Letu!

Wanafikiri tumelala! Tunawajua wote na kama utitiri wagundueni kwa kila post wanayotuma hapa! Kwa mbali wanatunyongonyeza na kutudhalilisha kwa vijisababu vya kinjigina kwanini tusifanye lile lillilo sahihi.

Ushindi Kwetu ni hakika na wazi Maana Kilicholijenga Taifa Tanzania ni Tofauti kama giza na mwanga na kile Kilichojenga Taifa la Rwanda! Utanzania ni Kitu KITAKATIFU!!!

Watanzania amkeni ... !!! Adui yuko ndani ya nchi Tayari Muda si mrefu ataungana na adui atakaye jitokeza mpakani!!
 
Una uhakika ni love au revange?

this is HATE, nadiriki kusema tunakosea kwa hilo,tena sana.NAILILIA TANZANIA,ewe Tanzania nchi iliyokuwa ikisifika kwa amani,ikisifika kwa ukarimu,ni nani amekuroga ewe Tanzania?nenda mpakani Tarime,ingia kenya uone kama hutaona rundo la watanzania wakijishughulisha na kuishi bila vibali kama mnavyosema na wengine wamezaa na wakenya.NENDA MSUMBIJI,uganda mpakani,EWE TANZANIA unayewafanya watoto wawe yatima kisa mzazi mmoja ni mnyarwanda,,,
YOTE HAYANA BUDI KUTUKIA ILI LITIMIE NENO ITAKAPOFIKA SIKU ZA MWISHO MTASIKIA VITA NA TETESI ZA VITA,,,
SIKU ZA MWISHO UPENDO UTAPOA.Naona live upendo waliokuwa nao watanzania ukipotea taratibu.Nawaombea Mungu waathirika wa hili awape amani.
 
Dem wangu mnyarwanda sasa na mwez wa 10 nilipanga ndoa. Sasa jk togwa ananitilia inzi daaaahhh
 
Sio kila mwenye asili ya kitusi au kihutu basi sio raia wa Tanzania, tuwe makini vinginevyo itakuwa ni ubaguzi tu kwa binadamu kwa kisingizio cha asili yake.

THIS is HATE,,,,,JEWS ama wayahudi nao walikuwa persecuted hivyohivyo,,lakini hii path sio,kama ikiwa kila nchi rais akikorofishana nao anawatimua wananchi wa nchi hiyo je wewe wananchi wako una uhakika hawapo huko?naililia Tanzania,,
 
Sio kila mwenye asili ya kitusi au kihutu basi sio raia wa Tanzania, tuwe makini vinginevyo itakuwa ni ubaguzi tu kwa binadamu kwa kisingizio cha asili yake.

Elewa jambo la msingi kama unafika wakati kama huu! Haijalishi Kabila wala dini ya Mtu kutoka nje ya Tanzania au ndani Ya Tanzania kila mmoja atawajibika kuonyesha-LOYALTY-yake kwa Umoja na heshima ya taifa la Tanzania na watu wake.

Ole wake mtu yeyote alete mambo ya Kijanja janja ... !!

"KAMA NI VITA? HAKUNA MJADALA" Utanzania , Uzalendo na Heshima kwa Utanzania na Taifa lake ni Lazima Jambo hili lionyeswe na kila Mtanzania kinyume na hapo huo ni UHAINI ... AND WE KNOW HOW TO DEAL WITH THIS KIND!! THEY WILL NEVER FORGET!!

UKILETA UHAINI TU! Watakutafuta Mbinguni, Jehanam na Duniani hutapatikana KWANI UTANZANIA SIO KITU CHA KUSALITIWA AU KUFANYIWA MCHEZO!!! NA HILI LIKAE VICHWANI MWA WATU MAPEMA KABISA!!!!
 
Hao watu wamevumiliwa sana hapa Tanzania. Kumbe Mtikila pamoja na "wazimu" wake kuna vitu anaongea vina maana sana. Juzi juzi kasema kuna Wanyarwanda zaidi ya 30,000 hapa Tanzania. Sasa imekuwa dhahiri. Waondoke tu wakapambane na Kagame wao huko kwao.

Safari hii wakianza kupigana wasiingie tena Tz japo najua sheria za kimataifa kuhusu wakimbizi itatubana kwani lazima wapokelewe. Dawa ni JWTZ kuingia kwao na kuwatengenezea kambi ndani ya nchi yao.

Nani kakuambia Mtikila ni wazimu,au wakwako huuoni....Yule anapenda kuangalia sehemu yenye loophole kwenye sheria ili adeal napo,sasa kosa lake lipowapi hadi umuite wazimu??
 
Watz tunasifika kusafirisha madawa ya kulevya je umesikia nchi ambayo inawafukuza?

Kwani huoni wakihukumiwa, kumbuka Kikwete alisema kuwa kwa 'asiye na kibali' yaani haishi akiwa na sheria inayomlinda ndio watakaoondoka. Wanaoishi kwa Sheria hawataondoka. Acha sheria ichukue mkondo wake, hata hao watanzania pia wanahukumiwa kwa sheria.
 
Kinachompa Kagame Kiburi ni Watu wake aliowatanguliza Ndani ya Nchi yetu, tumekuwa nao tangu darasa la kwanza, sekondari, JKT , chuoni , polisi, makabi ya ukimbizi, jeshini na makazini nk!

Wanasubiri tu apige Bigula la Kinywaranda Watugeuke na kutimiza UPUUZI waliopanga siku nyingi dhidi ya Taifa Letu!

Wanafikiri tumelala! Tunawajua wote na kama utitiri wagundueni kwa kila post wanayotuma hapa! Kwa mbali wanatunyongonyeza na kutudhalilisha kwa vijisababu vya kinjigina kwanini tusifanye lile lillilo sahihi.

Ushindi Kwetu ni hakika na wazi Maana Kilicholijenga Taifa Tanzania ni Tofauti kama giza na mwanga na kile Kilichojenga Taifa la Rwanda! Utanzania ni Kitu KITAKATIFU!!!

Watanzania amkeni ... !!! Adui yuko ndani ya nchi Tayari Muda si mrefu ataungana na adui atakaye jitokeza mpakani!!

Muda wa kurudi kwao umefika.
 
Back
Top Bottom