Tamko la Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam (DCPC) kumtaka Freeman Mbowe kuomba radhi

Kama Mbowe amewakera si muende kuchukua picha na kuandika habari za mikutano ile inayojaa ng'ombe wanaosombwa na matrekta?? Kwani ni lazima muandike kuhusu Chadema??? Kaandikeni kuhusu kale ka kikundi ka CCM!
 
wacha kufukuzwa me ningesema wa chapwe bakora
 
 
Hao ni vibaraka wa CCM.Huyo Irene Mark aliyesema tamko anafanya kazi ofisi ya CCM.Ni marapeli wa habari
 
Ni lini Tbc wameandika mema ya Chadema? Kuna faida gani ya wao kuwepo kwenye mikutano ya Chadema kama haitaandika na kuripoti mema yao? Chadema haina chochote cha kupoteza zaidi ya kutoa onyo na fundisho kwa hao wanafiki. Tbc jirekebisheni kama chombo cha umma, kinachoendeshwa kwa kodi za waTz wote bila kujali itikadi zao.

Anyway, nimesoma mahali kuwa huyo dada alietoka hilo tamko la klabu ya waandishi ni kada mtiifu wa ccm, hivyo anatumika tu.
 

chadema wanayo haki ya kufanya walivyofanya. media ya Tz inaogopa dola na serikali inawakaba mno wasitoe habari za upinzani. Inaudhi kweli na kwa dhati kaabisa hongerezeni sana chadema kwa kuwafukuza TBC wajinga wakubwa.
 
Taaluma ya Wana habari ushauri unaeza kupokea au usipokee sababu ya kudharaulika katika jamii ni mambo Kama haya waacheni wanasiasa na siasa zao nyie simamieni misingi ya haki sawa, misingi ya taaluma zenu katika kuwasilisha taarifa mbele ya jamii...hizi chokochoko zitaenda zaidi y chedema zaidi y Mh Mbowe bakieni kwenye njia yenu mengine ziwe story tuu
 
Waandishi wanatumika vibaya
 
Dah...bado nasisitiza ....CDM watafute sababu yoyote ... Wajitoe au wavuruge uchaguzi...hata kama ni ya kipuuzi [emoji2960]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…