Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Na kuna uongozi wa mtaa kama kuna shida areport huko kwa balozi au mwenyekiti aa mtaa.Uliyeleta uzi ungekuwa mbele yangu ni bakora tu,, RC DSM aje kufanya nini wakati keshatupa maagizo tuongee na familia zetu tumalizane kabisa,,,, sasa hao jamaa wanao weka vikundi we shika tandika makofi tutakuja kukutoa central usijal
Sent using Jamii Forums mobile app