Tamko la Padre Kitima na changamoto ya Korona dhidi ya Usalama wa Nchi: Tunakwenda wapi baada ya hapa?

Nakuunga mkono! Padre hana dhamana ya kutoa taarifa za ugonjwa wa corona na anajua hivyo. Huu ulikuwa ni UASI wa wazi kwa mamlaka ya nchi.
Kuasi mamlaka ya nchi ni kumwasi Mungu!! Wasome Biblia!
Una akili ndogo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…