LGE2024 Tamko la Umoja wa Wazee kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Tamko la Umoja wa Wazee kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Umoja wa Wazee kutoka Taasisi ya TAFEYOCO Tanzania wamewataka Wananchi na Jamii mbalimbali Nchini kuhakikisha wanapuuza matamko yanayotolewa kuhusu Uchaguzi wa Serikali za mitaa ambayo yanalenga kuleta uchochezi machafuko na machafuko Nchini.

Wamesema hayo leo Dec 03, 2024 Jijini Dar es Salaam wakati wakitoa maoni yao kuhusu uchaguzi huo na baadhi ya watu kuufaninisha na chaguzi zilizopita ambapo wamesema kuwa uchaguzi huo ulikuwa wa Huru na haki na watu wanapaswa kuacha kukashifu Serikali.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Taasisi ya TAFEYOCO ΤΑΝΖΑΝΙΑ Bw. Elvice John Makumbo amesema kuwa uchaguzi wa Serikali za mitaa umeshapita na Viongozi wameshaapishwa na kuanza kazi hivyo Wananchi wanapaswa kuendelea na Shughuli za uzalishaji mali.

 
Umoja wa Wazee kutoka Taasisi ya TAFEYOCO Tanzania wamewataka Wananchi na Jamii mbalimbali Nchini kuhakikisha wanapuuza matamko yanayotolewa kuhusu Uchaguzi wa Serikali za mitaa ambayo yanalenga kuleta uchochezi machafuko na machafuko Nchini.

Wamesema hayo leo Dec 03, 2024 Jijini Dar es Salaam wakati wakitoa maoni yao kuhusu uchaguzi huo na baadhi ya watu kuufaninisha na chaguzi zilizopita ambapo wamesema kuwa uchaguzi huo ulikuwa wa Huru na haki na watu wanapaswa kuacha kukashifu Serikali.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Taasisi ya TAFEYOCO ΤΑΝΖΑΝΙΑ Bw. Elvice John Makumbo amesema kuwa uchaguzi wa Serikali za mitaa umeshapita na Viongozi wameshaapishwa na kuanza kazi hivyo Wananchi wanapaswa kuendelea na Shughuli za uzalishaji mali.

View attachment 3168386
Umoja wa wazee kutoka jumuia ya wazazi sio umoja wa wazee nchi nzima , hakuna mzee mwenye akili timamu atakaye sema uchaguzi ulikuwa huru na haki ni hao vila tuu wanywa mbege
 
Hakina mtu mwenye akili timamu akakubalina na mambo ya COM.
Ukiona anafanya hivyo ujue yupo kimasilahi zaidi.

Faida ya ccm inategemea waty wajinga, wanawake na vijana wasiojitambua.
 
Hakina mtu mwenye akili timamu akakubalina na mambo ya COM.
Ukiona anafanya hivyo ujue yupo kimasilahi zaidi.

Faida ya ccm inategemea waty wajinga, wanawake na vijana wasiojitambua.
hata wahuni uzeeka
 
Umoja wa wazee kutoka jumuia ya wazazi sio umoja wa wazee nchi nzima , hakuna mzee mwenye akili timamu atakaye sema uchaguzi ulikuwa huru na haki ni hao vila tuu wanywa mbege
Atakuwa fotooo karudi kivinginge na ngozi ya punda badala ya ngozi ya kondoo.
 
Kama wewe ulivyotafsiri

Maana walisema kila mtu kaja kutafuta hela mjini kumbe wengine tumekuja kujiongelesha na mateso
 
Back
Top Bottom