Gentleman 446
Senior Member
- Mar 26, 2021
- 112
- 407
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]daahLimeshaanza kufanyika na kuna Mmoja wao tokea jana anataka Kuacha Kazi ili aje kuwa Mpiga Debe Kawe Ukwamani. Na Watarogwa kweli hadi Wajutie walichokifanya.
Wanajeshi wa bongo ni wapumbavu sana hawa dawa yao ni kuwachoma na visu na kuwapiga virungu wafe kabisa maana hawana cha kufanya wanajeshi wapo afrika magharibi hawa wa kibongo ni wapaka poda tu wapuuzi sana
Daaaah.Jeshi la Tanzania ndo taasisi inayoongoza kwa kuwa na mrundikano wa vilaza wengi zaidi kuliko taasisi ingine yoyote ile.
Kuanzia mkuu wao mpaka yule mwenye cheo cha chini kabisa, wote ni vilaza.
Wewe wasikilize tu hata wakiwa wanaongea. Kama una akili utagundua mapema sana uwezo wao wa kiakili.
Na ndo maana hata yule msemaji wao bila haya alisema kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la 6 kwa ubora duniani.
Kwa mtu mwenye akili, hawezi kusema kitu kama hicho maana hakina kabisa hata chembe ya ukweli wowote ule.
Kutaka ku-reason na wanajeshi wa Tanzania ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.
JWTZ karibu wote ni vilaza. Sijawahi ona mtu aliyefaulu vizuri shuleni halafu akaamua kwenda jeshini.
Mbeya raia walipigwa na Mabomu kufukuzwa kwenye ardhi yao ilhali walidai washitakiwe wakishindwa kesi ndio waondoke .Mbona mnalaumu Israeli kushambulia Hamas huko Gaza kumbe hata Tanzania haya mambo yapo?🤔
Is there a lie?Daaaah.
Aseeeh
Watu makini wapo Mzee.Is there a lie?
Sijawahi kuwaona mimi huko jeshini.Watu makini wapo Mzee.
Shida vifo huwakuta katika Korido za idara zao Kama sio kufumbwa mdomo na Akili kwa matukio.
Saaafi sana sanasay fight back. Hit them back. Test their chins and see if they won’t fall.
Wapo nnao wafahamu ambao walishagoma kuwa Mindless obedient workers ( Military worker Bees ).Sijawahi kuwaona mimi huko jeshini.
Wote niwajuao, niwaonao, ni vilaza wa kutupwa.
Tena Wana KADI za CCMSijawahi kuwaona mimi huko jeshini.
Wote niwajuao, niwaonao, ni vilaza wa kutupwa.
Siwezi fanya hivyo, sheria haziruhusu😅Nitaamini uki upload picha yake hapa.
Pengine hata wao huenda wanakuona chizi.. Kama unajigamba mbele ya hadhira humu kusema hakuna watu wenye matokeo mazuri Darasani wakaenda Jeshini utakuwa chizi pia.. Sijui unaongea Karne ipi Mkuu?.. Mbali na Elimu kuna tabia na hulka za mtu binafsi ambazo ni ngumu sana Elimu ya darasani kumbadili. Hizo Elimu unazoziongelea ambazo hazipo jeshini ndio nyingi zimefanya ujinga na kushindwa kutengeneza misingi thabiti kwenye Taifa hili. Acha kutukana Wanajeshi Generally kiasi hicho Mkuu. Kuna wanajeshi wapo smart sana kimtazamo kuliko unavyofikiri.Sijawahi kuwaona mimi huko jeshini.
Wote niwajuao, niwaonao, ni vilaza wa kutupwa.
Nionyeshe wanajeshi watano wa JWTZ walio na akili…Pengine hata wao huenda wanakuona chizi.. Kama unajigamba mbele ya hadhira humu kusema hakuna watu wenye matokeo mazuri Darasani wakaenda Jeshini utakuwa chizi pia.. Sijui unaongea Karne ipi Mkuu?.. Mbali na Elimu kuna tabia na hulka za mtu binafsi ambazo ni ngumu sana Elimu ya darasani kumbadili. Hizo Elimu unazoziongelea ambazo hazipo jeshini ndio nyingi zimefanya ujinga na kushindwa kutengeneza misingi thabiti kwenye Taifa hili. Acha kutukana Wanajeshi Generally kiasi hicho Mkuu. Kuna wanajeshi wapo smart sana kimtazamo kuliko unavyofikiri.
Ukiua mwanajeshi mmoja umefanya mambo mawiliVijana 8000 wa kawe (18yrs hadi 35 yrs),wanashindwa kufanya push back dhidi ya 40MPs,kweli nchi hii imelogwa vibaya, na watakapomzika yule katili in uniforms, watatamka kuwa marehemu alikua mpole, mcheshi and he never hurt even a fly 🪰!!
Hata nikikuonesha utaweza kuwafahamu.. Kitu ambacho hata wahusika wenyewe hawafahamiani labda kama walishakutana kwenye jukumu moja. Acha logic za kitoto na mada za kishamba.Nionyeshe wanajeshi watano wa JWTZ walio na akili…