Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
-
- #141
Hahaha! Dah! Mbavu zangu! Watu mnacreativity ya hatari, magazeti ya udaku ya Shigongo yanaigiza. Watu mna kauli za kidaku mpaka inatisha!
Mtu amefunguka yanayomsibu, nyinyi mmegeuza mada kuwa kituko.
Pale anapojiuzaga mama ako, muulize akuelekezeHiv wewe demu unajiuza. ...wapi?
Correction: sijafunguka nimetoa tamko
Ningefunguka ningetoa details zaidiTamko si ni kauli ambayo umeitoa ili watu wasikie? Ungekaa kimya asingejua mtu, ndiyo ushafunguka hivyo.
"Tazama jinsi ilivyo vema na kupendeza ndugu wakae pamoja kwa umoja, ni kama mafuta mazuri yashukayo ndevuni .... Zab 133... Wapeni watu vileo wanywe wasahau shida zao.... vile vile olewake ampanye mwenzake/nduguye kilevi,mvinyo" Tumia lugha laini na nzr ya kuwaeleza na pia Mwanamke mpumbavu uvunja nyumba yake kwa mikono yake. Upumbavu ni upi sasa? Akili mbayuwayu changanya na zako...
Kichwa cha habari chajieleza......
kuhongwa rep power sio tiketi ya kuombea na bia, kama mna kiu na bia mtafute hela zenu, muombe kwa wazazi au wame zenu. Mambo ya kuomba hela ya bia kwa shemeji yenu sitaki tena mkome alaaah mie mwenyewe hizo bia nna kiu nazo msijitie kuhoji kwanini sijaongea nae jibu ni kwasababu nimeona mafuriko ya kuomba omba yamezidi nimeamua kusema kama vipi namie mnipe namba na wanaume zenu wanipe hizo hela za bia kubafu
sitaki mazoea kwa baby wangu sitaki sitaki....mfowadiane pm kwa anaehitaji kumjua
nb: tamko halina mjadala
Nyoooooo na nyie mnipe vyenu nileKizuri kula na nduguyo.
Evelyn Salt nimekushindwa.
Jitahidi "sitakuangusha"
Teh Teh najua utakimbia jukwaa....!Loya tarehe 25 ntakupepea na gazeti la mwana halisi naona hutaki kujiandaa kisaikolojia
We utakimbia mji tehTeh Teh najua utakimbia jukwaa....!
Ng'wana magufuli.....lolYaani wewe binti ungekuwa mzaramo ungeuwa Watu kwa maneno!! Tehe tehe.
Ng`wanani `obhebhe
Mish u mingiihahahaaaa shost kaamua
na wakomeee
Nyoooooo na nyie mnipe vyenu nile