Pre GE2025 Tamko zito la vijana CCM wa vyuo vikuu waunga mkono Rais Samia na Dkt.Mwinyi kugombea urais 2025

Pre GE2025 Tamko zito la vijana CCM wa vyuo vikuu waunga mkono Rais Samia na Dkt.Mwinyi kugombea urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lini wanafunzi wa vyuo walikutana na kupitisha ujumbe huu bila kupingwa? Ni UCHAWA tu 😡😡😡😡
 
Kijana maarufu wa UVCCM anayejitambulisha kuwa ni mtanzania mzalendo ndugu Mashaka N'kindikwa asema katiba ya chama cha CCM na kanuni zake zimevunjwa,

Kutoka maktaba :
Maoni juu ya Katiba ya Nchi mwaka 2022

“Katiba isiyotekelezwa inabaki kuwa ni karatasi tu yenye maandishi" . Wasomi wataka utii na ukuu wa katiba.

1738143038441.jpeg


Wakati ajenda ya Katiba Mpya ikiendelea kutawala mijadala nchini, baadhi ya wasomi wakiwemo wachumi, wanasheria na wanaharakati wameibua hoja mpya wakidai tatizo la Tanzania siyo katiba mpya, bali kukosekana kwa ukuu na utii wa Katiba iliyopo
 
24 January 2025
Dar es Salaam, Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=woYIDnx1xcw

Wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dar es Salaam wametoa tamko rasmi kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Dkt. Hussein Ally Mwinyi kuwa mgombea wa urais wa Zanzibar kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Soma Pia:
OTUBA YA Pascrates Albinus Mwemezi kwa vyombo vya habali leo wakiwa Ofisi ya CCM mkoa wa DSM :FIRE:

"Vihongozi wa vijana vyuo vikuu watoa tamko kupongeza mkutano mkuu mahaalum kuunga mkono lahisi wa jamhuri la muhungano wa Tanzania Mh. Samia Hassan kuwa mgombea pekee na lahisi wa Zanzibar mh. Dr. Ussein Hali Mwinyi kuwa mgombea pekee wa ulahisi Zanzibar , wawili ao kupepelusha bendela ya CCM katika uchaguzi wa Oktoba 2025 " - Vihongozi wa Vijana wa CCM Vyuo Vikuhu wasema

Pascrates Albinus Mwemezi Kada huyo wa UVCC kiongozi wa wasomi wanaCCM akiongea na wahandishi wa habali alikumbushia makubwa yaliyofanywa na mheshimiwa lahisi ikiwemo kuongeza boom kwa wanafunzi wakati alipowahalika vihongozi wa wanafunzi ikulu mwezi Febluali 2022 ...

Ni fulaha kubwa kuona Mkutano Mkuu wa Mahalumu wa CCM kwa kutumia madalaka yake talehe 19 Januali 2025 kwa mujibu wa ibala na kanuni za katiba za chama kuwapitisha wakuu hao wawili kwa nafasi ya ulahisi ..

Sisi vijana wasomi wa vyuo vikuu tuna fulaha sana ... kwa lehema hii nyingi kutoka kwa mwenyezi Mungu kutupatia mheshimiwa lahisi anayetekeleza miladi ya kimkakati inayotuletea nehema na falaja kuu ... miladi kama ya humeme, SGR, Samia Scholarship....

Nchi imejaa machawa tu
 
24 January 2025
Dar es Salaam, Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=woYIDnx1xcw

Wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dar es Salaam wametoa tamko rasmi kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Dkt. Hussein Ally Mwinyi kuwa mgombea wa urais wa Zanzibar kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Soma Pia:
OTUBA YA Pascrates Albinus Mwemezi kwa vyombo vya habali leo wakiwa Ofisi ya CCM mkoa wa DSM :FIRE:

"Vihongozi wa vijana vyuo vikuu watoa tamko kupongeza mkutano mkuu mahaalum kuunga mkono lahisi wa jamhuri la muhungano wa Tanzania Mh. Samia Hassan kuwa mgombea pekee na lahisi wa Zanzibar mh. Dr. Ussein Hali Mwinyi kuwa mgombea pekee wa ulahisi Zanzibar , wawili ao kupepelusha bendela ya CCM katika uchaguzi wa Oktoba 2025 " - Vihongozi wa Vijana wa CCM Vyuo Vikuhu wasema

Pascrates Albinus Mwemezi Kada huyo wa UVCC kiongozi wa wasomi wanaCCM akiongea na wahandishi wa habali alikumbushia makubwa yaliyofanywa na mheshimiwa lahisi ikiwemo kuongeza boom kwa wanafunzi wakati alipowahalika vihongozi wa wanafunzi ikulu mwezi Febluali 2022 ...

Ni fulaha kubwa kuona Mkutano Mkuu wa Mahalumu wa CCM kwa kutumia madalaka yake talehe 19 Januali 2025 kwa mujibu wa ibala na kanuni za katiba za chama kuwapitisha wakuu hao wawili kwa nafasi ya ulahisi ..

Sisi vijana wasomi wa vyuo vikuu tuna fulaha sana ... kwa lehema hii nyingi kutoka kwa mwenyezi Mungu kutupatia mheshimiwa lahisi anayetekeleza miladi ya kimkakati inayotuletea nehema na falaja kuu ... miladi kama ya humeme, SGR, Samia Scholarship....

Unaanisha vyuo au vyoo vikuu mwanangu? Siku hizi tuna machawa hata vyuoni mbali na humu jf. Ni hatari kuwa na wasomi wapumbaff kama hawa mwanangu. Ngoja wamalize waanze kusota vijiweni ndipo watajua hawajui.
 
24 January 2025
Dar es Salaam, Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=woYIDnx1xcw

Wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dar es Salaam wametoa tamko rasmi kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Dkt. Hussein Ally Mwinyi kuwa mgombea wa urais wa Zanzibar kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Soma Pia:
OTUBA YA Pascrates Albinus Mwemezi kwa vyombo vya habali leo wakiwa Ofisi ya CCM mkoa wa DSM :FIRE:

"Vihongozi wa vijana vyuo vikuu watoa tamko kupongeza mkutano mkuu mahaalum kuunga mkono lahisi wa jamhuri la muhungano wa Tanzania Mh. Samia Hassan kuwa mgombea pekee na lahisi wa Zanzibar mh. Dr. Ussein Hali Mwinyi kuwa mgombea pekee wa ulahisi Zanzibar , wawili ao kupepelusha bendela ya CCM katika uchaguzi wa Oktoba 2025 " - Vihongozi wa Vijana wa CCM Vyuo Vikuhu wasema

Pascrates Albinus Mwemezi Kada huyo wa UVCC kiongozi wa wasomi wanaCCM akiongea na wahandishi wa habali alikumbushia makubwa yaliyofanywa na mheshimiwa lahisi ikiwemo kuongeza boom kwa wanafunzi wakati alipowahalika vihongozi wa wanafunzi ikulu mwezi Febluali 2022 ...

Ni fulaha kubwa kuona Mkutano Mkuu wa Mahalumu wa CCM kwa kutumia madalaka yake talehe 19 Januali 2025 kwa mujibu wa ibala na kanuni za katiba za chama kuwapitisha wakuu hao wawili kwa nafasi ya ulahisi ..

Sisi vijana wasomi wa vyuo vikuu tuna fulaha sana ... kwa lehema hii nyingi kutoka kwa mwenyezi Mungu kutupatia mheshimiwa lahisi anayetekeleza miladi ya kimkakati inayotuletea nehema na falaja kuu ... miladi kama ya humeme, SGR, Samia Scholarship....

Nilikuwa sielewi uzito ulipo. Kumbe ni kwenye uandishi 😆😆😆
 
Nilikuwa sielewi uzito ulipo. Kumbe ni kwenye uandishi 😆😆😆

Ni matamshi na usomaji wa kiongozi wa wanafunzi wasomi wa vyuo vikuu walio wanaUVCCM wakitetea CCM na viongozi wao wakuu wateule kuelekea uchaguzi wa Oktoba 2025
 
Ni matamshi na usomaji wa kiongozi wa wanafunzi wasomi wa vyuo vikuu walio wanaUVCCM wakitetea CCM na viongozi wao wakuu wateule kuelekea uchaguzi wa Oktoba 2025
Kazi tunayo kama Taifa.

Kiswahili hatukijui n kiingereza hatujui. Lugha mama (kabila) tunaita ushamba.
 
Wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dar es Salaam wametoa tamko rasmi kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Dkt. Hussein Ally Mwinyi kuwa mgombea wa urais wa Zanzibar kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Ubao utaimaliza generation hii
 
24 January 2025
Dar es Salaam, Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=woYIDnx1xcw

Wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dar es Salaam wametoa tamko rasmi kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Dkt. Hussein Ally Mwinyi kuwa mgombea wa urais wa Zanzibar kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Soma Pia:
OTUBA YA Pascrates Albinus Mwemezi kwa vyombo vya habali leo wakiwa Ofisi ya CCM mkoa wa DSM :FIRE:

"Vihongozi wa vijana vyuo vikuu watoa tamko kupongeza mkutano mkuu mahaalum kuunga mkono lahisi wa jamhuri la muhungano wa Tanzania Mh. Samia Hassan kuwa mgombea pekee na lahisi wa Zanzibar mh. Dr. Ussein Hali Mwinyi kuwa mgombea pekee wa ulahisi Zanzibar , wawili ao kupepelusha bendela ya CCM katika uchaguzi wa Oktoba 2025 " - Vihongozi wa Vijana wa CCM Vyuo Vikuhu wasema

Pascrates Albinus Mwemezi Kada huyo wa UVCC kiongozi wa wasomi wanaCCM akiongea na wahandishi wa habali alikumbushia makubwa yaliyofanywa na mheshimiwa lahisi ikiwemo kuongeza boom kwa wanafunzi wakati alipowahalika vihongozi wa wanafunzi ikulu mwezi Febluali 2022 ...

Ni fulaha kubwa kuona Mkutano Mkuu wa Mahalumu wa CCM kwa kutumia madalaka yake talehe 19 Januali 2025 kwa mujibu wa ibala na kanuni za katiba za chama kuwapitisha wakuu hao wawili kwa nafasi ya ulahisi ..

Sisi vijana wasomi wa vyuo vikuu tuna fulaha sana ... kwa lehema hii nyingi kutoka kwa mwenyezi Mungu kutupatia mheshimiwa lahisi anayetekeleza miladi ya kimkakati inayotuletea nehema na falaja kuu ... miladi kama ya humeme, SGR, Samia Scholarship....

Ngoja wamalize chuo halafu warudi mtaani.
 
07 March 2025
Dar es Salaam

🅻🅸🆅🅴 JUMUIYA YA WANAFUNZI CHADEMA (CHASO) WANATOA TAMKO KALI MUDA HUU..

View: https://m.youtube.com/watch?v=KPs0y_iBq08

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanafunzi wa CHADEMA (CHASO) Mkoa wa Dar es Salaam, Leonce Martin Sarwat, amekemea vikali...matukio yanayowakumba viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani, akisema yanaathiri demokrasia nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Leonce ameeleza kuwa changamoto kubwa zinazoibuka wakati wa uchaguzi ni pamoja na majina ya wapiga kura kutoonekana katika daftari la wapiga kura, mfumo mbovu wa upatikanaji wa majimbo ya uchaguzi na vitendo vya kutekwa kwa mawakala wa upinzani.

"Tuna wanachama wa CHADEMA waliotekwa na hadi sasa hatujapata majibu kutoka kwa vyombo vya dola.

CHASO tunataka serikali itoe ufafanuzi juu ya wanachama wetu waliopotea," amesema Leonce. Aidha, ameungana na kauli ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, akisisitiza kuwa chama hicho hakitashiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 endapo mabadiliko ya msingi hayatafanyika kwenye mfumo wa uchaguzi.

"Bila mabadiliko ya kweli, hakuna uchaguzi wa kushiriki. Hatuwezi kwenda kwenye uchaguzi ambao ni wa kupanga matokeo," amesema Leonce akisisitiza No Reforms No Election 2025.


View: https://m.youtube.com/watch?v=SmZ8woPYf0s
 
24 January 2025
Dar es Salaam, Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=woYIDnx1xcw

Wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dar es Salaam wametoa tamko rasmi kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Dkt. Hussein Ally Mwinyi kuwa mgombea wa urais wa Zanzibar kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Soma Pia:
OTUBA YA Pascrates Albinus Mwemezi kwa vyombo vya habali leo wakiwa Ofisi ya CCM mkoa wa DSM :FIRE:

"Vihongozi wa vijana vyuo vikuu watoa tamko kupongeza mkutano mkuu mahaalum kuunga mkono lahisi wa jamhuri la muhungano wa Tanzania Mh. Samia Hassan kuwa mgombea pekee na lahisi wa Zanzibar mh. Dr. Ussein Hali Mwinyi kuwa mgombea pekee wa ulahisi Zanzibar , wawili ao kupepelusha bendela ya CCM katika uchaguzi wa Oktoba 2025 " - Vihongozi wa Vijana wa CCM Vyuo Vikuhu wasema

Pascrates Albinus Mwemezi Kada huyo wa UVCC kiongozi wa wasomi wanaCCM akiongea na wahandishi wa habali alikumbushia makubwa yaliyofanywa na mheshimiwa lahisi ikiwemo kuongeza boom kwa wanafunzi wakati alipowahalika vihongozi wa wanafunzi ikulu mwezi Febluali 2022 ...

Ni fulaha kubwa kuona Mkutano Mkuu wa Mahalumu wa CCM kwa kutumia madalaka yake talehe 19 Januali 2025 kwa mujibu wa ibala na kanuni za katiba za chama kuwapitisha wakuu hao wawili kwa nafasi ya ulahisi ..

Sisi vijana wasomi wa vyuo vikuu tuna fulaha sana ... kwa lehema hii nyingi kutoka kwa mwenyezi Mungu kutupatia mheshimiwa lahisi anayetekeleza miladi ya kimkakati inayotuletea nehema na falaja kuu ... miladi kama ya humeme, SGR, Samia Scholarship....

Kauli yao ,kusema Kwao hakuna madhara, hakubadili wala kuongeza chochote kile.
Kauli yao ni matumizi mabaya ya muda, pesa, nguvu na povu.
Mkutano mkuu ulimpitisha kugombea,kwahiyo hilo tamko kwa wakati huu ni useless!!

Vijana hao wanatakiwa watafute KIKI nyingine

The youth in university levels were used as think tank those days!!

Sasa ni USHABWADA tupu, hawajui wanachounga mkono.

Statement as if Kuna mamlaka ndani ya chama imempinga.😅😅

Hivi watu Huwa siku hizi wanasomea UJINGA??
 
Kauli yao ,kusema Kwao hakuna madhara, hakubadili wala kuongeza chochote kile.
Kauli yao ni matumizi mabaya ya muda, pesa, nguvu na povu.
Mkutano mkuu ulimpitisha kugombea,kwahiyo hilo tamko kwa wakati huu ni useless!!

Vijana hao wanatakiwa watafute KIKI nyingine

The youth in university levels were used as think tank those days!!

Sasa ni USHABWADA tupu, hawajui wanachounga mkono.

Statement as if Kuna mamlaka ndani ya chama imempinga.😅😅

Hivi watu Huwa siku hizi wanasomea UJINGA??

Ndiyo maana Umoja wa Wanafunzi wa hawawezi kualika raia kama Tundu Lissu akawanoa bongo wanachuo wa vyuo vya elimu ya juu Tanzania kama cha UDSM kuweza kuongezewa uwezo wa kufikiri nje ya box.
 
24 January 2025
Dar es Salaam, Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=woYIDnx1xcw

Wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dar es Salaam wametoa tamko rasmi kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Dkt. Hussein Ally Mwinyi kuwa mgombea wa urais wa Zanzibar kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Soma Pia:
OTUBA YA Pascrates Albinus Mwemezi kwa vyombo vya habali leo wakiwa Ofisi ya CCM mkoa wa DSM :FIRE:

"Vihongozi wa vijana vyuo vikuu watoa tamko kupongeza mkutano mkuu mahaalum kuunga mkono lahisi wa jamhuri la muhungano wa Tanzania Mh. Samia Hassan kuwa mgombea pekee na lahisi wa Zanzibar mh. Dr. Ussein Hali Mwinyi kuwa mgombea pekee wa ulahisi Zanzibar , wawili ao kupepelusha bendela ya CCM katika uchaguzi wa Oktoba 2025 " - Vihongozi wa Vijana wa CCM Vyuo Vikuhu wasema

Pascrates Albinus Mwemezi Kada huyo wa UVCC kiongozi wa wasomi wanaCCM akiongea na wahandishi wa habali alikumbushia makubwa yaliyofanywa na mheshimiwa lahisi ikiwemo kuongeza boom kwa wanafunzi wakati alipowahalika vihongozi wa wanafunzi ikulu mwezi Febluali 2022 ...

Ni fulaha kubwa kuona Mkutano Mkuu wa Mahalumu wa CCM kwa kutumia madalaka yake talehe 19 Januali 2025 kwa mujibu wa ibala na kanuni za katiba za chama kuwapitisha wakuu hao wawili kwa nafasi ya ulahisi ..

Sisi vijana wasomi wa vyuo vikuu tuna fulaha sana ... kwa lehema hii nyingi kutoka kwa mwenyezi Mungu kutupatia mheshimiwa lahisi anayetekeleza miladi ya kimkakati inayotuletea nehema na falaja kuu ... miladi kama ya humeme, SGR, Samia Scholarship....

chadema ndio habari
 
Back
Top Bottom