Tamthilia ya Othman ya Azam TV, lengo lenu ni kuudhalilisha Ukristo. Itoeni mara moja

Tamthilia ya Othman ya Azam TV, lengo lenu ni kuudhalilisha Ukristo. Itoeni mara moja

Mtoto anaeweza kufanya hivyo kikweli lazima atakuwa ni mtoto wa ZINAA.

Hio ni Tamthilia. Km ile ya yule mzungu aliye act kama Yesu.
Akapigwa misumari na kuchomwa mkuki Tumboni akiwa msalabani.
Sasa wangapi ulisikia hapa Tanzania wamepiga watu misumari msalabani wakawachoma na mikuki ya TUMBONI?

ACHENI CHUKI ZA KIJINGA.

Mnachukia mpk Tamthilia? Nyie watu Chuki dhidi ya waislamu itawaletea magonjwa ya moyo.
sawa naona akili yako imeishia hapo ....(Matusi na kashfa)...ndiyo imani yako inavyokufundisha.....
 
Ni kweli huyo ni wa kumsusia na bidhaa zake akauzie huko uarabuni.
Sasa wewe ukimsusia Bakhresa unadhani mtu mwenye viwanda East and Central Afrika atapata hasara yeye au wewe,?
Teh teh teh

Wivu ni sumu mbaya sana.
 
Hao jamaa ni wajinga sana yaani angalia nyuzi hizi zimetamalaki ukiangalia eti wapo kipindi cha kufunga.

Hakuna mwenye akili timamu kipind hiki ndo wanasambaza chuki sana
Ndugu wagalatia tunaomba sana msituharibie swaumu.

Sio kwamba hatuwezi kujibu hizi kashfa zenu .
Kuweni na adabu na imani za watu.

Zile TZ Upendo na zingine umeshawahi kuona Muislamu anasema chochote?
Kashfa ngapi mnatuonyesha kila siku?
Bila kutukana waislamu hamuwezi kuishi au?
Mungu awaongoze ktk njia sahihi. Kwakweli mna hatari kubwa sana ya kutupwa Jahannam
 
Sasa wewe ukimsusia Bakhresa unadhani mtu mwenye viwanda East and Central Afrika atapata hasara yeye au wewe,?
Teh teh teh

Wivu ni sumu mbaya sana.
Bidhaa zake zipo nyingine kama hizo nyingi tu hasara inatoka wapi.

Kama ni maji yapo, juice , unga etc. Kiufupi anauza vitu ambavyo hata nyumbani kwetu tunaweza tengeneza wenyewe.

Kwanza hata ile mimaji yake low quality Huwa situmii hakuna bidhaa yake yeyote ina ubora ni matakataka tu anauza yenye makansa.
 
Back
Top Bottom