Tamthilia ya Zahanati Kijijini

Tamthilia ya Zahanati Kijijini

Attachments

  • 8A813550-CB84-4EB1-8445-45C710623F99.jpeg
    8A813550-CB84-4EB1-8445-45C710623F99.jpeg
    588.8 KB · Views: 13
Ndio umbo lake ana nyonyo angenigawia hata mim kidogo
Ila umeona anavyojua kuigiza kwa hisia
Naona kama amebadilika sana
Tofauti na kipindi kile anacheza Ile Samanta na Claud sijui


Kuigiza anajua sana.
 
Kuna jipyaaa gani kwenye kaamna?

Ankashaa anachezewa mchezo na vaibav kapoor hakuna cha kuigiza wala nin tena anapotezewa muda Tu[emoji23][emoji23][emoji23] kaenda shule kumuona mtoto wake mtoto kamkimbia hataki kumuona [emoji23][emoji23] team manav tupo vizuri tunaimarika sasaaa
 
Ankashaa anachezewa mchezo na vaibav kapoor hakuna cha kuigiza wala nin tena anapotezewa muda Tu[emoji23][emoji23][emoji23] kaenda shule kumuona mtoto wake mtoto kamkimbia hataki kumuona [emoji23][emoji23] team manav tupo vizuri tunaimarika sasaaa
Dah roho inaniuma nipo safari halafu hamna Azam two,yaani nikijaribu kuangalia kwenye app mtandao kimeo duh.,,.....Vaibav muhuni Sana yule akanshya kavamia mitumbwi wa kibwengo
 
Jamani
Watu wa mwembetogwa wabaya jamani
Mimi si nililala ndani[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamani , mwembetogwa hawanipendi mimi
🀣🀣🀣🀣🀣🀣Kumbe kalewa kaangukia shimoni jamaniii
 
Dah roho inaniuma nipo safari halafu hamna Azam two,yaani nikijaribu kuangalia kwenye app mtandao kimeo duh.,,.....Vaibav muhuni Sana yule akanshya kavamia mitumbwi wa kibwengo
Team manav tunamuombes mabayaaa
 
Tumemlea wenyewe huyu dogo mtoto wa Sinza town. Nimekachapa sana bakora zamani ubabe wa kutuma vitoto ukisindikiza na makwenzi.

So far anawasimamisha wote. Hakuna anayemkamata.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Anaonekana mtoto.


Kinachombeba kingine ni elimu.
Licha ya kipaji alichonacho,elimu pia anayo.


Yaani ukikaa ukiangalia kazi yake unaona kabisa jamaa ameipanga safi,katumia zile sijui flashback,flash-forward amezipanga vizuri mno.,,tofauti na waandaaji wengine kama akina Duma,,kazi za kuungaunga mno..msinipopoe jamani,ni maoni yangu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe kalewa kaangukia shimoni jamaniii
Msaada jamani
Watu hawanipendi Mimi[emoji23][emoji23][emoji23]
Nililala ndani mimi
Watu wa Mwembetogwa wabaya,nimewafanyia nini mimi jamani
 
Back
Top Bottom