Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
ππππππππππKabisa
Kwanza mama mzee yule anabemenda mtoto wa watu
Wazazi wake wakija kujua mbona watazimia kwa presha aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππππππKabisa
Kwanza mama mzee yule anabemenda mtoto wa watu
Wazazi wake wakija kujua mbona watazimia kwa presha aisee.
Kabisa
Kwanza mama mzee yule anabemenda mtoto wa watu
Wazazi wake wakija kujua mbona watazimia kwa presha aisee.
Naona kama amebadilika sanaNdio umbo lake ana nyonyo angenigawia hata mim kidogo
Ila umeona anavyojua kuigiza kwa hisia
Unene tuNaona kama amebadilika sana
Tofauti na kipindi kile anacheza Ile Samanta na Claud sijui
Kuigiza anajua sana.
Itakuwa.Unene tu
Etii nimeshangaa yupo vile vileItakuwa.
Nampenda Thea,miaka nenda,miaka rudi yupo vilevile.
Ndo yy, hta mauja nae alikua kwny siri ya mtungi. Alikua mchepuko wa checheTausi na masalu walifanya maandalizi mazuri zaidi maana wako natural kabisa, ila huyu tausi si ndo yule nusura wa kule siri ya mtungi!!,,,hakika anajua sana.
Aaah kumbe.Wapo wengi2 bila kumsahau mtendaji ambaye alikuwa baba yake nusura katika Siri ya mtungi
Kuna jipyaaa gani kwenye kaamna?
Wambea wale jamaniπ€£π€£Wale manesi wananiachaga hoi sana mambo yao, [emoji23][emoji23][emoji23]
Dah roho inaniuma nipo safari halafu hamna Azam two,yaani nikijaribu kuangalia kwenye app mtandao kimeo duh.,,.....Vaibav muhuni Sana yule akanshya kavamia mitumbwi wa kibwengoAnkashaa anachezewa mchezo na vaibav kapoor hakuna cha kuigiza wala nin tena anapotezewa muda Tu[emoji23][emoji23][emoji23] kaenda shule kumuona mtoto wake mtoto kamkimbia hataki kumuona [emoji23][emoji23] team manav tupo vizuri tunaimarika sasaaa
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Kumbe kalewa kaangukia shimoni jamaniiiJamani
Watu wa mwembetogwa wabaya jamani
Mimi si nililala ndani[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamani , mwembetogwa hawanipendi mimi
Team manav tunamuombes mabayaaaDah roho inaniuma nipo safari halafu hamna Azam two,yaani nikijaribu kuangalia kwenye app mtandao kimeo duh.,,.....Vaibav muhuni Sana yule akanshya kavamia mitumbwi wa kibwengo
Alaaniwe kabisaTeam manav tunamuombes mabayaaa
Tumemlea wenyewe huyu dogo mtoto wa Sinza town. Nimekachapa sana bakora zamani ubabe wa kutuma vitoto ukisindikiza na makwenzi.Abdul safari hii ameua[emoji119]
Ndiye aliyeandaa Mama Kimbo na Kombolela
Sema zile sikuzipenda uswahili mwingi mno.
[emoji23][emoji23][emoji23]Tumemlea wenyewe huyu dogo mtoto wa Sinza town. Nimekachapa sana bakora zamani ubabe wa kutuma vitoto ukisindikiza na makwenzi.
So far anawasimamisha wote. Hakuna anayemkamata.
Msaada jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe kalewa kaangukia shimoni jamaniii