Tamthilia ya Zahanati Kijijini

Tamthilia ya Zahanati Kijijini

Muda wote ni kama anataka kucheka muda wote[emoji1787]
Wangekapa character kama ya wifi yake asingeweza kabisa.


Leo amenifurahisha Mama Nelson
Alice amerudi na simu anamwambia hongera mjukuu wangu ayayaya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee subiri huyo Alice atawafurahisha
 
Matokeo yake ni wanatengeneza kitu bomu.
Ndiyo Kuna wenye mvuto wanajua kuigiza ila siyo wote,, na Kuna watu mvuto wa sura hawana ila ni waigizaji wazuri sana.

Ila Abdul amejua kuchagua characters wake aiseee
Yaani hakuna aliyepwaya.
Kabisaa,tena hao ambao hawana mvuto wa sura ndo wanafanya vizuri kulikoni hao wengine

Yeah kongole kwa Abdul kwakweli [emoji122]
 
Ile kombolela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ya kiswahili mno.


Sasa Muandaaji wa Kombolela ndio huyohuyo wa Zahanati ya kijiji. Sema safari amekuja vizuri Kwa kweli

Ile kombolela sikuipenda ,, Uswahili tupu.
Weee kombolela ilikuwa nzuri sana tena kuliko mama kimbo.
Yaani Kama unayajua maisha ya uswazi basi wale walivaa uhusika haswa na mama yao yule ambaye ndo (mama Nelson kwenye fungu langu) alikuwa anawatukana wanawe[emoji1][emoji1] ilikuwa poa sana yani
 
Si wanajua baadhi yetu tunapenda sana Inyee hivyo target yao wanajua hutomisi kuitazama,, yaani hata kama muigizaji humpendi basi ukiliona lile linnye lake tuu unasisimka basi mambo yanakua mujarabu[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1][emoji1][emoji1]daah!! Ni sawa na bongo fleva ya sasa msanii asipoimba matusi au video vixen asipovaa nusu utupu basi hiyo nyimbo yako utaiskiiza mwenyewe
 
Ila Bi star leo amenichekesha😂🤣
Mwazani analia yeye anacheka
Eti chezea nyangunguti wewe🤣🤣🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Kunamtu alisema mumewe alikuwa hafatilii tamthilia ila tangu imeanza kaamna anamuita na mkewe wakae waangalie na maneno Juu
"Si unaona mwenzenu nyie Wanawake hamnakitu kabisa ndo nn Sasa"
Hadi ikiisha amechambwa vya kutosha[emoji23][emoji23][emoji23]

Kaamna nzuri sana labda huko mbelen wavurunde kama kawaida ya wahindi
 
M pia nilikua siijui bt kuptia my mom ambaye yy anaifatilia na ni nesi mstaafu nilijkuta naiangalia mda nlo kua likzo ya kaz home kwa maza! Lamata ndo director pia anayo juakali ipo dstv ni moto sana kuliko hata zahanat ya kijij
 
Manav Vajpayee
download%20(2).jpg
 
Back
Top Bottom