kukumsela
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 725
- 917
- Thread starter
- #121
Kaka yake si alishauawa?Ngoja tuone huko mbele
Maana Inaavyoonyesha Masalu ataamsaidia Tausi kumtafuta kaka yake msituni
Rejea kauli ya Mama msichoke, alisema kile kidani msichoke aliokota msituni miaka mitano iliyopita,. Na kaka Tausi alipotea miaka mitano nyuma na kile kilikuwa kidani chake.