Tamthilia ya Zahanati Kijijini

Tamthilia ya Zahanati Kijijini

Chapicho ni muigizaji wa zamani
Toka kwenye kaole.

Na juzi wakati wa uzinduzi wa filamu mpya ya Chuchu inayoanza kesho, Chapicho aliwachana waandaaji kuwa waangalie kipaji,, maana wanaangalia sura, mwisho wa siku waigizaji wenye kipaji lakini hawana mvuto kama yeye hawapati nafasi.
[emoji1][emoji1]ndo alivyosema
 
Mkuu Angalia Content inahusu Nini ndiyo u complain,,, Series ya Fundi main character alikuwa mama Kanumba na Duma mwenyewe ndiyo maana Episode KARIBIA ZOTE Mama Kanumba na Duma wameruka,,, pia Duma alianza kama Fundi Furniture na akaonyesha changamoto za mafundi furniture zikoje then akawaamisha watazamaji kuwa Hakuwa na fanny Moja,,, akahamia kwenye Ufundi wa TV napo akaonyesha Changamoto za mafundi Tv ivyoo yaani.

Tujaribu kutizama maudhui ya Tukio husika kabla ya kukosoa,,, Kama wewe ulikuwa huipendi Kuna wenzako walivutiwa nayo,, hasa pale wanapoona Mafundi wanaosumbua ikiwemo mafundi nguo wanasurubiwa na wateja wao,, basi wao wanainjoy sana....

mama Kanumba character aliyopewa nadhani uliona alivyoitendea haki au uongo mkuu?
Ni opinion yangu Mkuu,Mimi kutoipenda haimaanishi hakuna waliopenda.

Hata hii zahanati tunayoifagilia wengine hapa Kuna watu wanaiona mbaya na haiwavutii kabisa.
 
Bila shaka ukiangalia ile couple unajiona mule ndani
Wamependeza Kwa kweli
Ngoja tuendelee kuona nini kitatokea

Ila kabla haijaanza kurushwa walionyesha baadhi ya vipande vya kutisha,, Mwazani, Mauja sijui na Masalu yule wako porini, Mwazani akanyongwa,, nani mwingine aliona hii intro?
 
Bado Yule babu kibonge( MZEE MILANZI) na Yule bibi muuza duka la dawa
Asiyejua kusoma ni mjinga mjinga kabisaaa
Barua ikija anaitembeza kutwaaa😂😂😂😂


Muda ule Mayasa anamsema bi Ubwa eti hana shape
Milanzi anajibu wewe una shape gani?
Kwenye Moja haupo, nane haupo, Tisa haupo
Utakuwa kwenye sifuri wewe🤣🤣🤣
 
Kosa moja ni ya nani?

Jeraha itakuwa kali maana nimeona wale wote wanajua kuigiza
Sijui hata ni ya nani kwa kweli
Sitamani hata kumjua🤣

Jeraha inaonyesha itabamba,,
Ray ni director mzuri,,
Chuchu anajitahidi kuandaaa... Kwenye beki tatu alijitahidi kiasi.
 
Bi Star,mama Mwazani
Hana kazi mbovu yule mama,, halafu ni mkali sana hasa anapocheza na wasanii wachanga au wazembe wasio serious na kazi.
Yeye ukipangwa naye jiandae kumeza script na ujipange kweli maana anawapiga msasa wenzie kabla director hajaanza.
Hataki uzembe kabisa yule mama..
Ukiwa mzembe lazima Cha moto ukione kucheza naye [emoji1787]
Yes, bi star. Umenikumbusha enzi za fukuto..

Yuko nondo sana yule bimkubwa, kazi chache nilizozitizama hana baya, tanzania hii wasanii wa kiwango chake ni wachache mnoo, ila huyu anachukuliwa poa poa mnoo. Hii zahanati kaibeba kichwanj, na yule mwanae sijui mbwana nae kabeba uhusika vema kabisa.
 
Ndiyo
Aliongea vizuri sana jamaa.

Anasema basi ukiona mtu hafai kucheza kiboss, tengeneza basi stori inayoendana naye..
Watu walimshangilia sana.
Ila ni Kweli kabisa aliongea point, kwamfano nakumbuka Kuna tamthiliya ile ya siri za familia Kama umewahi fuatilia yaani wao kipaumbele waliweka mwanamke lazima uwe na tako sasa unaanza jiuliza tako na kufikisha ujumbe kwa jamii vinahusianaje
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muda ule Gati anamchimba biti Tausi eti wapigane

Bi Ubwa anasema piganeni, nendeni uwanjani
Au nichukue mchanga?
Ndo mambo yangu Hayo, huku linaangua kicheko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1][emoji1][emoji1]yaani yule kama siyo mtu wa pwani pwani huko maana ana vimaneno
 
Akiigiza kulia utacheka
Muda wote ni kama anataka kucheka muda wote🤣
Wangekapa character kama ya wifi yake asingeweza kabisa.


Leo amenifurahisha Mama Nelson
Alice amerudi na simu anamwambia hongera mjukuu wangu ayayaya😂😂😂😂
 
Ila ni Kweli kabisa aliongea point, kwamfano nakumbuka Kuna tamthiliya ile ya siri za familia Kama umewahi fuatilia yaani wao kipaumbele waliweka mwanamke lazima uwe na tako sasa unaanza jiuliza tako na kufikisha ujumbe kwa jamii vinahusianaje
Matokeo yake ni wanatengeneza kitu bomu.
Ndiyo Kuna wenye mvuto wanajua kuigiza ila siyo wote,, na Kuna watu mvuto wa sura hawana ila ni waigizaji wazuri sana.

Ila Abdul amejua kuchagua characters wake aiseee
Yaani hakuna aliyepwaya.
 
Back
Top Bottom