Tamthilia ya Zahanati Kijijini

Tamthilia ya Zahanati Kijijini

Hata kama sanaa [emoji23][emoji23][emoji23]ndo bi ubwa akafue na kuoga choo cha wanaume[emoji23][emoji23][emoji23]yan wale wanafurahisha sn
Kwanza lilivyokuwa linaimba wakati linafua
Ila yule mama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna cku nilicheka mbele za watu yaan yule mnoko hadi cio poa
But azam wanaibua vipaji sana kuna yule chapuo cjui nilijua ni wa vilevile
Chapicho ni muigizaji wa zamani
Toka kwenye kaole.

Na juzi wakati wa uzinduzi wa filamu mpya ya Chuchu inayoanza kesho, Chapicho aliwachana waandaaji kuwa waangalie kipaji,, maana wanaangalia sura, mwisho wa siku waigizaji wenye kipaji lakini hawana mvuto kama yeye hawapati nafasi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna muigizaji pale
Mungu anisamehe tu.

Angejikita kwenye umiss

Sijui muandaaji wa ule mchezo ni nani, alijichanganya sana kumpa yule dada Umain character, character haiwezi kabisa na haendani nayo..
Sijui walipeana kindugu wale aisee.


Wenzie wamejitahidi sana ila main character akivurunda tu basi mchezo wote unakuwa mbovu.
 
Chapicho ni muigizaji wa zamani
Toka kwenye kaole.

Na juzi wakati wa uzinduzi wa filamu mpya ya Chuchu inayoanza kesho, Chapicho aliwachana waandaaji kuwa waangalie kipaji,, maana wanaangalia sura, mwisho wa siku waigizaji wenye kipaji lakini hawana mvuto kama yeye hawapati nafasi.
Na wakina tausi.. Tangu ezi za siri ya mtungi😂
 
Hakuna muigizaji pale
Mungu anisamehe tu.

Angejikita kwenye umiss

Sijui muandaaji wa ule mchezo ni nani, alijichanganya sana kumpa yule dada Umain character, character haiwezi kabisa na haendani nayo..
Sijui walipeana kindugu wale aisee.


Wenzie wamejitahidi sana ila main character akivurunda tu basi mchezo wote unakuwa mbovu.
Kosa moja ni ya nani?

Jeraha itakuwa kali maana nimeona wale wote wanajua kuigiza
 
Waje tu Kwa kweli
Duma bado sana, aendelee kujifunza Kwa wenzie akina Ray na wengine wengi.
Ni producer mchanga bado,, hata movies zake nyingine za kawaida sana, na anawachezesha watu walewale.
Sahihi kabisaa
 
Fundi ni mchezo wa hovyo kuwahi kurushwa..
Stori za kuungaunga
Mazingira mabovu
Waingizaji ile rotation hakuna
Finishing mbovu .
Mkuu Angalia Content inahusu Nini ndiyo u complain,,, Series ya Fundi main character alikuwa mama Kanumba na Duma mwenyewe ndiyo maana Episode KARIBIA ZOTE Mama Kanumba na Duma wameruka,,, pia Duma alianza kama Fundi Furniture na akaonyesha changamoto za mafundi furniture zikoje then akawaamisha watazamaji kuwa Hakuwa na fanny Moja,,, akahamia kwenye Ufundi wa TV napo akaonyesha Changamoto za mafundi Tv ivyoo yaani.

Tujaribu kutizama maudhui ya Tukio husika kabla ya kukosoa,,, Kama wewe ulikuwa huipendi Kuna wenzako walivutiwa nayo,, hasa pale wanapoona Mafundi wanaosumbua ikiwemo mafundi nguo wanasurubiwa na wateja wao,, basi wao wanainjoy sana....

mama Kanumba character aliyopewa nadhani uliona alivyoitendea haki au uongo mkuu?
 
Jamani
Watu wa mwembetogwa wabaya jamani
Mimi si nililala ndani[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamani , mwembetogwa hawanipendi mimi
[emoji1][emoji1][emoji1]shogaenu mtata kweli
 
Back
Top Bottom