ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,891
- 13,750
[emoji1][emoji1][emoji1]Yule mama ni hatari [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi huwa ananichekesha hata kabla hajaongea[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Motion yake tu[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1]Yule mama ni hatari [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi huwa ananichekesha hata kabla hajaongea[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Motion yake tu[emoji23]
Wee subiri huyo Alice atawafurahishaMuda wote ni kama anataka kucheka muda wote[emoji1787]
Wangekapa character kama ya wifi yake asingeweza kabisa.
Leo amenifurahisha Mama Nelson
Alice amerudi na simu anamwambia hongera mjukuu wangu ayayaya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisaa,tena hao ambao hawana mvuto wa sura ndo wanafanya vizuri kulikoni hao wengineMatokeo yake ni wanatengeneza kitu bomu.
Ndiyo Kuna wenye mvuto wanajua kuigiza ila siyo wote,, na Kuna watu mvuto wa sura hawana ila ni waigizaji wazuri sana.
Ila Abdul amejua kuchagua characters wake aiseee
Yaani hakuna aliyepwaya.
Weee kombolela ilikuwa nzuri sana tena kuliko mama kimbo.Ile kombolela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ya kiswahili mno.
Sasa Muandaaji wa Kombolela ndio huyohuyo wa Zahanati ya kijiji. Sema safari amekuja vizuri Kwa kweli
Ile kombolela sikuipenda ,, Uswahili tupu.
[emoji1][emoji1][emoji1]daah!! Ni sawa na bongo fleva ya sasa msanii asipoimba matusi au video vixen asipovaa nusu utupu basi hiyo nyimbo yako utaiskiiza mwenyeweSi wanajua baadhi yetu tunapenda sana Inyee hivyo target yao wanajua hutomisi kuitazama,, yaani hata kama muigizaji humpendi basi ukiliona lile linnye lake tuu unasisimka basi mambo yanakua mujarabu[emoji16][emoji16][emoji16]
Ooh sawaSijajua
Ngoja Tusubiri,yawezekana ilikuwa ndoto
Ila sitamani Masalu na Tausi watengane🥺
Walianza kurusha sana kabla Hatia haijaisha
Tausi ni role model wangu kwenye zahanatiIga tu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Kunamtu alisema mumewe alikuwa hafatilii tamthilia ila tangu imeanza kaamna anamuita na mkewe wakae waangalie na maneno Juu
"Si unaona mwenzenu nyie Wanawake hamnakitu kabisa ndo nn Sasa"
Hadi ikiisha amechambwa vya kutosha[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani hata hawachelew kuharibu😂😂Kaamna nzuri sana labda huko mbelen wavurunde kama kawaida ya wahindi
Yaani hata hawachelew kuharibu[emoji23][emoji23]