Leo tena kwa Tausi
Makubwa Yarabii
Mtoto una ngendebwe wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akija mama yako anamtaka Mbiki
Wewe ukija unamtaka Tausi
Sisi wengine tukalale majumbani kwetu?
Anakunja mno sura yake😂Odama nae sura ambavyo huwa anaiweka lo ananikeraa
Yaan anazidisha anaboa tu hata hafurahishi hii hainifurahish kabisaAnakunja mno sura yake😂
Leo amenichekesha Bibi wakati 🤣🤣🤣
Yaani Nimecheka jamani
Mi sikupendaga toka mwanzo wlaivyompa hiyo characterYaan anazidisha anaboa tu hata hafurahishi hii hainifurahish kabisa
Mi sikupendaga toka mwanzo wlaivyompa hiyo character
Iishe tu aiseeNiangalie kosa moja jay anichekeshe mzee wa fix
😂😂😂😂😂😂😂
Iishe tu aisee
Mi nimeichoka.
Amebaki tu J anachekesha🤣
Afadhali j3 imefika aisee[emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂Afadhali j3 imefika aisee
Bi Ubwa nimemmiss hatari
Leo sijui anakujaje yule mama🤣😂😂😂😂😂
Upo kama mim ikiwa jmos na jpil naborekaLeo sijui anakujaje yule mama🤣
Yaani angalau hata Newton huwa ananichekeshaUpo kama mim ikiwa jmos na jpil naboreka
Wapo na mambo hayo yapo. Ni vile hujakaa kijijini maybeKwahiyo nawe kuna manesi wanaishi na kufanya vile kwenye zahanati ipi nchi hii. Wameongeza sana Mbwembwe na kuua uhalisia wake bro.
Ni vizuri kuona kuwa unapenda tamthilia na filamu za hapa Tanzania na unatambua ubora wa kazi zinazofanywa na wasanii wetu. Ni kweli kuwa kuna haja ya kuwa na viwango vya juu na kuzingatia ubora wa sauti, picha, mazingira, na hadithi zinazoigizwa ili kuvutia watazamaji na kuwafanya wawe na hamu ya kuangalia tena na tena.Wakuu habarii,
Kiukweli nianze kwa kukiri kuwa Mimi binafsi sio Mpenzi wa Tamthilia/Filamu za hapa nyumbani Almaarufu kwa Jina la Bongo Movie lakini Siku Moja Majira ya saa 1 usiku nilipokosa cha kufanya nikiwa Sebuleni nilikutana na Tamthilia tajwa hapo juu ikiwa inaonyweshwa kupitia Channel ya Sinema Zetu inayopatikana katika King'amuzi cha Azam.
Kiukweli baada kuiangalia nilivutiwa mno na Tamthilia hiyo huku nikivutiwa zaidi na Wahusika wake, Ubora wa Sauti na Picha sambamba na Mazingira waliyoigizia kwakweli hongera Director kwa kazi nzuri.
Mwisho nahitimisha kwa kusema kuna haja sasa kwa Waongozaji wa Tamthilia na Filamu hapa Nchini kuhakikisha wanaandaa Kazi katika viwango vya juu pamoja na kutunga Story zenye kuakisi Maisha ya Watanzania walio wengi ili ziweze kupata Netflix nk.
Nawasilisha
KUKUMSELA.
Ule wa unataka nini vyote vipoMsanii Mike Song ambaye anaeimba nyimbo mbalimbali kwenye tamthilia ya zahanati anajua mnoo
Msanii Mike Song ambaye anaeimba nyimbo mbalimbali kwenye tamthilia ya zahanati anajua mnoo