Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kwanza lilivyokuwa linaimba wakati linafuaHata kama sanaa [emoji23][emoji23][emoji23]ndo bi ubwa akafue na kuoga choo cha wanaume[emoji23][emoji23][emoji23]yan wale wanafurahisha sn
Bora Chelsea..
Kosa Moja Caty jamani,, sijui hicho kipaji cha kucheza main character sijui nani alikiona.
Jenifer anajitahidi.
Chapicho ni muigizaji wa zamaniKuna cku nilicheka mbele za watu yaan yule mnoko hadi cio poa
But azam wanaibua vipaji sana kuna yule chapuo cjui nilijua ni wa vilevile
Hakuna muigizaji pale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wakina tausi.. Tangu ezi za siri ya mtungi😂Chapicho ni muigizaji wa zamani
Toka kwenye kaole.
Na juzi wakati wa uzinduzi wa filamu mpya ya Chuchu inayoanza kesho, Chapicho aliwachana waandaaji kuwa waangalie kipaji,, maana wanaangalia sura, mwisho wa siku waigizaji wenye kipaji lakini hawana mvuto kama yeye hawapati nafasi.
Kosa moja ni ya nani?Hakuna muigizaji pale
Mungu anisamehe tu.
Angejikita kwenye umiss
Sijui muandaaji wa ule mchezo ni nani, alijichanganya sana kumpa yule dada Umain character, character haiwezi kabisa na haendani nayo..
Sijui walipeana kindugu wale aisee.
Wenzie wamejitahidi sana ila main character akivurunda tu basi mchezo wote unakuwa mbovu.
Asee🔥🔥🔥Couple ya ombeni ni 🔥 napenda anavyompenda yule mzee yan utadhn kweli😂😂😂 ila ndo wapo kuharibiwa😂😂..
Hii imegusa maisha ya watu wa chini, walio wengiKabisaa tofauti na juakali huba kila mtu anafanya kazi ofisini maisha mazuri wabongo bwana
[emoji1][emoji1][emoji1]Vibaya mnoooo [emoji23][emoji23]
Ndiyo maana ukitaka waigize kila kitu cha kweli inakuwa sio tamthiliya bali ni documentary sasaKabisaa mkuuu
Nilisahau jina la mzee milanzi🤣🤣Bado Yule babu kibonge( MZEE MILANZI) na Yule bibi muuza duka la dawa
Bila shaka ukiangalia ile couple unajiona mule ndaniMie napenda ya Tausi na Masalu[emoji91]
Mkuu Angalia Content inahusu Nini ndiyo u complain,,, Series ya Fundi main character alikuwa mama Kanumba na Duma mwenyewe ndiyo maana Episode KARIBIA ZOTE Mama Kanumba na Duma wameruka,,, pia Duma alianza kama Fundi Furniture na akaonyesha changamoto za mafundi furniture zikoje then akawaamisha watazamaji kuwa Hakuwa na fanny Moja,,, akahamia kwenye Ufundi wa TV napo akaonyesha Changamoto za mafundi Tv ivyoo yaani.Fundi ni mchezo wa hovyo kuwahi kurushwa..
Stori za kuungaunga
Mazingira mabovu
Waingizaji ile rotation hakuna
Finishing mbovu .
[emoji23][emoji23]yaani nilicheka wallahKapigiwa simu na vick rafiki yake naa alivyompitezea sasa kibaba hajaiiiiii
[emoji1][emoji1][emoji1]shogaenu mtata kweliJamani
Watu wa mwembetogwa wabaya jamani
Mimi si nililala ndani[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamani , mwembetogwa hawanipendi mimi
Jay anachekesha sana hivi anavaa lens kwenye macho ana macho mazuri[emoji23][emoji23]yaani nilicheka wallah
Yupo vzr sn, tamthilia zake ni nzuri na zina uhalisia.Abdul safari hii ameua[emoji119]
Ndiye aliyeandaa Mama Kimbo na Kombolela
Sema zile sikuzipenda uswahili mwingi mno.
[emoji3][emoji3]jamani jamaniKuna yule dada wa kwenye fungu langu anaitwa chelsea hajui kuigiza hata kidogoi
Juzi anawaambia Gati na Mbiki[emoji1][emoji1][emoji1]shogaenu mtata kweli