TANAPA: Kwanini hakuna "Mobile Zoos" kwa ajili ya kubebea wanyama pori wepesi kama ambavyo kuna Mobile Courts?

Unajua kuna watu serikalini wanamaliza 5 years bila kuja na any constructive advice au solution to our many problems facing our country.
Mkuu, mimi binafsi ninaamini ya kwamba Mungu hakufanya makosa mtu yeyote kuzaliwa Tanzania na kuendelea kuwa hai mpaka muda huu. Ninaona kwamba nina wajibu wa kuona jamii ninamoishi inasonga mbele na kuwa bora zaidi ya jana.
 
Arusha kuna snake park niliwahi kwenda...
 
Yaani kwenye sikukuu mbalimbali badala ya kuona trips za watu from Morogoro kwenda Mikumi NP au Mpanda town kwenda Katavi NP etc utakuta watu wamejazana kwenye Bar na kumbi za starehe wapiga bia...
Lengo langu mimi ni kuwalenga zaidi wanafunzi mkuu.
 
Kiuhalisia Tanapa jukumu lao ni kusimamia, kulinda na kuendeleza maeneo yote yenye hadhi ya hifadhi za taifa.

Zoos (Zoological parks) hizi zimeachwa kwaajili ya wawekezaji binafsi ( japo zipo na za serikali pia) ambavyo hata wewe kama utakua na mtaji wa kutosha pamoja na kukidhi vigezo na matakwa unaweza kuanzisha.

Kingine ni kuwa wanyama pori unaowaona katika Zoos, Ranches pamoja na wildlife farms huwa wanapatikana kutoka katika mamlaka ya usimamizi wa wanyamapori Tanzania (TAWA) .

Nadhani utakua umepata mwanga kidogo.
 
Kweli aisee!,wakiweka hiyo mobile zoo,mimi.sitaenda hifadhini kutalii.
 
Zoos (Zoological parks) hizi zimeachwa kwaajili ya wawekezaji binafsi ( japo zipo na za serikali pia) ambavyo hata wewe kama utakua na mtaji wa kutosha pamoja na kukidhi vigezo na matakwa unaweza kuanzisha.
Okay...
 
Kingine ni kuwa wanyama pori unaowaona katika Zoos, Ranches pamoja na wildlife farms huwa wanapatikana kutoka katika mamlaka ya usimamizi wa wanyamapori Tanzania (TAWA) .
Sasa mkuu, kwani hizo "Zoos" za serikali haziwezi kuwa na "Mobile Facilities"?...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…