Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #41
Mkuu, mimi binafsi ninaamini ya kwamba Mungu hakufanya makosa mtu yeyote kuzaliwa Tanzania na kuendelea kuwa hai mpaka muda huu. Ninaona kwamba nina wajibu wa kuona jamii ninamoishi inasonga mbele na kuwa bora zaidi ya jana.Unajua kuna watu serikalini wanamaliza 5 years bila kuja na any constructive advice au solution to our many problems facing our country.
Daaah...Kama wahehe wanakula mbwa, ambaye ni carnivores kama simba, why simba asiliwe?
Hatari sana mkuuSema tuu kwa lundo la wanyama wala nyasi tulionao (herbivores) na jamii ya ndege kwa nini tumle simba?
Arusha kuna snake park niliwahi kwenda...Ikumbukwe kwamba huwezi kumkamata simba au fisi au chui aliyepo mbugani na kumbeba au kumleta kwenye maonesho, anaweza kuleta madhara makubwa kwani hajazoea kuangaliwa na watu closely. Hawa unaowaona saba saba au nane nane huwa wametolewa kwenye Zoo au bustani za wanyama, mostly ziko Arusha.
Wazo zuri pia mkuu...Kwa hiyo hatua ya kwanza ni kuwa na zoo nyingi kwanza za wanyama mbalimbali and then ndiyo tuende kwenye level ya kuwaweka kwenye hizo mobile zoos.
Lengo langu mimi ni kuwalenga zaidi wanafunzi mkuu.Yaani kwenye sikukuu mbalimbali badala ya kuona trips za watu from Morogoro kwenda Mikumi NP au Mpanda town kwenda Katavi NP etc utakuta watu wamejazana kwenye Bar na kumbi za starehe wapiga bia...
Mbona simba anawapa stress pundamilia huko mbugani?Mnataka kuwapa 'stress' wanyama, wafuateni huko huko mbugani
Asante sana mkuu. Ninakaribisha ukosoaji pia...Nakukubali Sana soldier
Hakika Mungu amesikia maombi yako mkuu. Thanks.ningekuwa na uwezo ningekupa cheo unafaa sana kuwa hata ofisa wa ngazi za juu utumishi
Last seen yake ni Nov 10, 2020Unajua last seen yake hapa Jf ni lini?
Ni July 20 2011Last seen yake ni Nov 10, 2020
Mimi laptop yangu inaonesha Last Seen yake ni Nov 10, 2020Ni July 20 2011
Usiwe mbishi Mkuu.
Sawa mkuu...Kiuhalisia Tanapa jukumu lao ni kusimamia, kulinda na kuendeleza maeneo yote yenye hadhi ya hifadhi za taifa.
Kweli aisee!,wakiweka hiyo mobile zoo,mimi.sitaenda hifadhini kutalii.Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kwanini TANAPA hawana "Mobile Zoos" kwa ajili ya kubebea wanyama pori wepesi kwa ajili ya maonesho kama ambavyo kuna Mobile ATMs, Mobile Court pamoja na Mobile Hospitals?
View attachment 1627675
MWEZI FEBRUARY MWAKA 2019: Rais John Magufuli wa Tanzania amezindua gari maalumu la mahakama inayotembea litakalosaidia kusikiliza kesi katika mikoa ya Mwanza na Dar es Salaam. Uzinduzi wa gari hilo lenye teknolojia ya kisasa ndani yake na linalotumia umeme wa jua katika uendeshaji vifaa hivyo umefanyika leo katika maadhimisho ya Siku ya Sheria.
Gari hilo limegharimu kiasi cha Shilingi milioni 470.82. Gari hilo lenye television, kamera zenye uwezo wa kurekodi ushahidi wote kwa picha na sauti, kutoa msaada wa kuwabeba watu wenye ulemavu (lifti) na kipaza sauti kwa ajili ya kutangaza ratiba ya mahakama hiyo, linatazamiwa kusaidia uharakishaji wa kesi ambazo aghalabu zimekuwa zikirundikana katika mahakama za nchi hiyo.
Benki ya CRDB imeendelea na jitihada za kupanua wigo wake wa kuwahudumia wateja na kufikisha huduma za benki hiyo kwa Watanzania walio wengi kwa kuzindua tawi jipya na la kisasa linalotembea "Mobile branch" katika wilaya ya Mlele mkoani Katavi.
View attachment 1627676
Akizungumza katika uzinduzi huo, Mkuu wa mkoa wa Katavi, Mh. Juma Zubier Homea ameipongeza Benki ya CRDB kwa uzinduzi wa tawi hilo linalotembea katika wilaya ya Mlele huku akisema tawi hilo litasaidia kuongeza kasi ya maendeleo ya kiuchumi katika wilaya hiyo na wilaya za jirani.
Kwanini TANAPA hawana "Mobile Zoos semi trailer trucks" kwa ajili ya kubebea wanyama pori wepesi kwa ajili ya maonesho?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Okay...Zoos (Zoological parks) hizi zimeachwa kwaajili ya wawekezaji binafsi ( japo zipo na za serikali pia) ambavyo hata wewe kama utakua na mtaji wa kutosha pamoja na kukidhi vigezo na matakwa unaweza kuanzisha.
Sasa mkuu, kwani hizo "Zoos" za serikali haziwezi kuwa na "Mobile Facilities"?...Kingine ni kuwa wanyama pori unaowaona katika Zoos, Ranches pamoja na wildlife farms huwa wanapatikana kutoka katika mamlaka ya usimamizi wa wanyamapori Tanzania (TAWA) .
Acha ulafi mkongo petitsimba kuna uwezekano analiwa na nyama yake ikawa kama ya mbwa au ng’ombe tatizo ni nyama ya fisi
Acha ulafi mkongo petitsimba kuna uwezekano analiwa na nyama yake ikawa kama ya mbwa au ng’ombe tatizo ni nyama ya fisi
Na ndo maana ujapata hicho cheoNakukubali Sana soldier ningekuwa na uwezo ningekupa cheo unafaa sana kuwa hata ofisa wa ngazi za juu utumishi