Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Think Big ..Bora waishe maana hata faida yake huwa hatuioni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Think Big ..Bora waishe maana hata faida yake huwa hatuioni
Kafa kwa Uzee sio ujangiliMajangili yamefufuka baada ya kuondoka Chuma
'Faru weusi' wana upekee sababu wapo wachache hivyo hulindwa Sana ili wasiuawe na majangili.Ila Hii Nchi Ngumu, Wizara inatoa taarifa officially Mnyama Kufariki.
.
Faru wana uspesho Gani Mpaka akifariki Taarifa Itolewe wakati Huo Simba+swala wakifariki Taarifa Hazitolewi [emoji3][emoji3]View attachment 2159176
Sent using Jamii Forums mobile app
TayariAkituma unitag plz [emoji3]
hatari snThink Big ..
Sorry,mkuu umesoma lakini sababu za kifo Cha faru Rajabu John?Majangili yamefufuka baada ya kuondoka Chuma
Faru Anazaa Akiwa na Miaka Mingapi?MBONA KAMA NI UONGO INAMAANA FARU JOHN ALIZAA AKIWA NA MIAKA KUMI NA MOJA.???
MAANA FARU JOH ANGEKUWEPO ANGEKUWA NA MIAKA 54, HIVYO AMEMPITA MWANAE KWA MIAKA 11 TUU
Katumia namba ipi?Tayari
Ole wako tukupe hela za rambi rambi kisha usizifikishe manake tutakukula ww!Kwa watakaoguswa na msiba huu, kushika mkono wa pole pesa yote ipitie kwangu nitazifikisha kwa ndugu wafiwa.
Yamerudi kwa wingi yani yanahakikisha kila sehemu yanabinua binuaMkuu, Jpm alikuwa na makosa mengi lkn msimamo wake ulisaidia mengi.
Ujangili ulikwisha sasa???
Uzembe ulipungua..sasa???
Matapwli na mafisadi yamerudi upya mjini
Acha tu mkuu.Yamerudi kwa wingi yani yanahakikisha kila sehemu yanabinua binua
yule waziri wa kukusanya wasanii angeweka kambi mwezi mzima huko ngurdoto hotel kukusanya taarifa.Iundwe Tume haraka!
Ni kawaida sana hiyo.Kuna muda Dunia haiko fair kabisa
Yaani ulimwengu mzima unajua faru Rajabu amekufa
Wakati siku Kuna binadamu chungu mzima wanakufa na hawajulikani
Kweli acha watu wagombane kuusaka umaarufu
Jitahidi kusoma.habari yote na kuielewa, unawadhalilisha sukuma gang wenzakoMajangili yamefufuka baada ya kuondoka Chuma
Basi ni mtoto wa mchepukoHuyu itakuwa kafata dini kwa mama yake mkuu