Hamisa hana nyota...huyo hawezi karibishwa kamwe coz hana dignity, full shobo na kujipendekeza kwa domo...labda ahamie sudan[emoji16][emoji16]Anajitombea tu kwa kubadili K vile atakavyo. Tanasha akiondoka itakuwa zamu ya Mo Beto [emoji1787]
Sasa wewe ndoa ya mitala wake watatu unaongezwa wewe uwe wa nne utaweza kweli?Yaan mim siwezi mpenda mtu amezaa na wanawake wengi atleast awe amezaa na mwanamke mmoja tu jamani
Wakizidi hapo siwezi
Sio afya kwakweliHehe kuzaa na mwanaume wenye watoto wengi mama tofauti hakuna raha kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si mnapenda dudu la yuyu lake[emoji1787][emoji1787]Hehe kuzaa na mwanaume wenye watoto wengi mama tofauti hakuna raha kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chanzo mojawapo Cha stress Kama ni mimi nakata mawasiliano kabisa, dah zari alikuja akajiona so special sasa tanasha kaja Kati ya wanawake wakuhurumiwa ni hawa waliozaa na diamond aiseeHehe kuzaa na mwanaume wenye watoto wengi mama tofauti hakuna raha kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
SiweziSasa wewe ndoa ya mitala wake watatu unaongezwa wewe uwe wa nne utaweza kweli?
😂😂😂 kazi wanayooChanzo mojawapo Cha stress Kama ni mimi nakata mawasiliano kabisa, dah zari alikuja akajiona so special sasa tanasha kaja Kati ya wanawake wakuhurumiwa ni hawa waliozaa na diamond aisee
Usisahau Zari ana machungu yake. Hili ni jambo dogo kwakeChanzo mojawapo Cha stress Kama ni mimi nakata mawasiliano kabisa, dah zari alikuja akajiona so special sasa tanasha kaja Kati ya wanawake wakuhurumiwa ni hawa waliozaa na diamond aisee
Bwana ana hela Dangote cha mtoto, ana mapenzi kama jini la mahaba, halafu wake wakubwa uliowakuta wote wazuriii wanakukaribisha vizuri saana!Siwezi
Shida sio kuzaa na wanawake wengi, shida ni huyo mwanaumw akiwa worth $6 Million na nchi na ulimwengu mzima unamjua. Hapo ndipo wenzio walipokwama.Yaan mim siwezi mpenda mtu amezaa na wanawake wengi atleast awe amezaa na mwanamke mmoja tu jamani
Wakizidi hapo siwezi
Hawaombwi K....Mtaraka hatongozwi,
Mwanamke hata akiolewa,siku akikutana na jamaa yake ambaye walishacheza game,akiombwa mambo,atatoa tu.
Mkuu umemaliza kila kitu.Shida sio kuzaa na wanawake wengi, shida ni huyo mwanaumw akiwa worth $6 Million na nchi na ulimwengu mzima unamjua. Hapo ndipo wenzio walipokwama.
Kwa mie kajamba nani sina jina mjini wala pesa za kuzidi ni rahisi kufanya maamuzi ya kunipiga chini. Najua utabishana ila nimeamua kwenda straight to the point. Mwanamke hakuzalii kama huna kitu special kwenye jamii, either respect, money or fame!
Daimond mdhalilishaji sana.. nao hawa wadada sijui zipo sawa kweli hivi ?Wanapishana zao tu
Yaan mim siwezi mpenda mtu amezaa na wanawake wengi atleast awe amezaa na mwanamke mmoja tu jamani
Wakizidi hapo siwezi