Tanasha atua nchini, gari la Diamond lampokea

Tanasha atua nchini, gari la Diamond lampokea

Chanzo mojawapo Cha stress Kama ni mimi nakata mawasiliano kabisa, dah zari alikuja akajiona so special sasa tanasha kaja Kati ya wanawake wakuhurumiwa ni hawa waliozaa na diamond aisee
Utaweza kweli[emoji23][emoji23]
 
Nimekuwa nikisoma hayo maneno bila kuelewa!
Hebu nisaidie mnakuwa na maana gani kusema watafute fedha linapokuja swala la wanawake?
PESA ndiyo sabuni ya roho.

Pesa ni kichocheo cha furaha.

Ukiwa na pesa unajiamimi.

Unaweza kufanya unalotaka kandri ya uwezo wako.

Ndiyo maana wengi wanadiriki kusema tafuta pesa ili uwe kama mfalme.

Wanaosema pesa ndiyo kila kitu tuna hoja za msingi .

Pesa inaweza kukufanya umfurahishe mpenzi wako kwa kumnunulia zawadi.

Kumnunulia mapambo ambayo yatamfanya awe na amani kwa wakati husika.

Yawezekana kuna vazi alikuwa akilipenda, unapomnunulia, anafurahi.

Unapokuwa hauna kitu ni rahisi kukimbiwa. Ni rahisi mwenzako kukuona huna msaada.

Anashuhudia wenzake wanavyofanyiwa na wapenzi wao, anaona yeye ni kama anaishi dunia ya pili. Siyo dunia hii ambayo wenzake wanafurahia mapenzi.

Mapenzi ya kweli yanaweza kupotezwa na pesa kama mtu asipokuwa makini. Pesa ina nguvu. Inaleta uhasama.

Inapoteza uaminifu, mtu anaposhawishiwa na pesa, katika mazingira ambayo kwake yeye ni magumu ni rahisi kutumbukia kwenye kishawishi.

Kama mtu anaishi kwenye mazingira ambayo hajui hatima yake, hajui kesho atakula au kuvaa nini ni tatizo. Hapendezi kama wenzake, anaishi kwa masimango.

Akitokea mtu mwenye pesa, akahitaji penzi lake, huyo bila kipingamizi anaanzisha uhusiano pasipo kuangalia ana mpenzi wake au la.

Tanasha anatambua vyema kwamba Diamond Bado yupo na Zarina lakini na yeye Bado yupo humo humo nguvu yapesa inatumika hapo Land cruiser V8 ndio imeenda kumpokea Airport Kuna Nini Tena hapo?
 
Zamu kwa Zamu
Mabeto na zuchu hawa ni wanapishana kila mwezi but usiku kwa usiku
Tanasha na Zari ni top wanapishana annually!
Vunja mifupa bado meno ipooo
Ila kwa zuchu sizani Kama anamla mama hadija kopa akupe mtoto wake alafu umcuezee hapana aisee haiwezekani
 
Ila kwa zuchu sizani Kama anamla mama hadija kopa akupe mtoto wake alafu umcuezee hapana aisee haiwezekani
Mama yake kwani anaifunga papuchi ya zuchu?

Kwani wanatembea wote? Mpka mama yake azuie mwanae wasimnyandue?
 
Mobetto alisema hawezi lala nae tena, Zuchu ni msanii wa lebo, Mond hawezi changanya mapenzi na kazi
Mobeto alisema kwenye kamera ila behind the scene unaweza ukakuta yy analiwa vizuri kabisa ,kwani "hawala hana talaka,ukimtaka unampata-Prof Jay"…cha msingi wewe tafuta hela .

Alafu huyo Mobeto kazi yake ni kudanga tu,Fred Vunjabei nae naona ana suuza rungu baadae anapiga chini.
 
Ila kwa zuchu sizani Kama anamla mama hadija kopa akupe mtoto wake alafu umcuezee hapana aisee haiwezekani
Mbona marehemu first born wake aliharibiwa zenj, na zuchu aliomba msaada wa kusaidiwa mziki wake
 
Ila kwa zuchu sizani Kama anamla mama hadija kopa akupe mtoto wake alafu umcuezee hapana aisee haiwezekani
Yaani apoteze muda kumlea na apoteze muda wa kumzuia asichezee cheche akiwa na umri karibia miaka thelathini.
 
Embu mkiwa mna comment mtumie akili kidogo, akishaweka rungu lake kwa zuchu , unadhani hali itakuwaje, na ni mwanamke umemuajiri, ataanza kutaka umpendelee kwenye lebo, ataanza kutaka umuongezee shares, ataanza kutaka mambo mengi tu, mawivu yasiyokua na sababu, mwisho wa siku kazi inaharibika, siri zinaanza kutoka za chumbani, dizain flan atakua kamkosea heshima Khadija Kopa..sio kila mahali ni pa kusuuza rungu ..ila kama anaona sawa aendelee kumkatikia mauno zuchu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hizo busara mwisho wake ni mlangoni kwako,domo ye hana hizo story huyo mtoto atawekwa doggy nyoka ipakwe mate,itelezeshwe pangoni then uji mzito umwagike afu imeisha hio.
 
Back
Top Bottom