Tanasha atua nchini, gari la Diamond lampokea

Tanasha atua nchini, gari la Diamond lampokea

Bwana ana hela Dangote cha mtoto, ana mapenzi kama jini la mahaba, halafu wake wakubwa uliowakuta wote wazuriii wanakukaribisha vizuri saana!

Sasa bora hiyo kawaoa (nilivyo na wivu mim)
Huyu daimond hajaoa anatoka huyu anaingiza huyuu
 
Hizo busara mwisho wake ni mlangoni kwako,domo ye hana hizo story huyo mtoto atawekwa doggy nyoka ipakwe mate,itelezeshwe pangoni then uji mzito umwagike afu imeisha hio.
Kwani mzee baba ulichokisema umeona live?
 
Sasa wewe ndoa ya mitala wake watatu unaongezwa wewe uwe wa nne utaweza kweli?
Mkuu habari, naomba Kuuliza jambo Japo ni out of topic....
Mimi ni junior engineer, Kuna post imetangazwa UN ofisi za NEW YORK....nataka nifanye maombi..

Naomba kujua changamoto ambazo nitakumbana nazo iwapo nitapata hii nafasi.
Ikiwemo kufanya kazi na mchanganyiko wa mataifa tofauti ikiwemo America.

Nifanyeje ili niweze kupass interview zote za UN.
 
Ila kwa zuchu sizani Kama anamla mama hadija kopa akupe mtoto wake alafu umcuezee hapana aisee haiwezekani
Mama yake kwani anaifunga papuchi ya zuchu?

Kwani wanatembea wote? Mpka mama yake azuie mwanae wasimnyandue?
Embu mkiwa mna comment mtumie akili kidogo, akishaweka rungu lake kwa zuchu , unadhani hali itakuwaje, na ni mwanamke umemuajiri, ataanza kutaka umpendelee kwenye lebo, ataanza kutaka umuongezee shares, ataanza kutaka mambo mengi tu, mawivu yasiyokua na sababu, mwisho wa siku kazi inaharibika, siri zinaanza kutoka za chumbani, dizain flan atakua kamkosea heshima Khadija Kopa..sio kila mahali ni pa kusuuza rungu ..ila kama anaona sawa aendelee kumkatikia mauno zuchu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kama wewe ndo unawasema ya chumbani?
Unakaa Madame wewe?

Mwanamke wako kukukamata ndo unadhani wanashikwa akili kama wewe mkuu?
Mbona basi amemla tanasha na hajamsaini kwenye lebel yake? Na kumpa upendeleo?

Kutafunana nj kawaida ndo circle hyo.
Huyo miaka yake karibu 30 bado mama yake amchunge? Eti akitafunwa atakosewa heshima?

Fikria
 
Hujanja hawana, watanuna na watajigonga, kwa mtoto wa tandale.
Tamasha hawezi kumuacha Diamond. Tena ameshasilimu tayari Kwa Ndoa. Kenya Njaa Kali na Wanaume waoaji hakuna. Atauziwa atakimbia lakini mwili na Roho viko Bongo.
 
Mkuu habari, naomba Kuuliza jambo Japo ni out of topic....
Mimi ni junior engineer, Kuna post imetangazwa UN ofisi za NEW YORK....nataka nifanye maombi..

Naomba kujua changamoto ambazo nitakumbana nazo iwapo nitapata hii nafasi.
Ikiwemo kufanya kazi na mchanganyiko wa mataifa tofauti ikiwemo America.

Nifanyeje ili niweze kupass interview zote za UN.
Angalia vigezo vyao vyote na uvifikishe.

Tafuta Watanzania senior waliowahi kufanya kazi UN wakupe ushauri. Bahati mbaya sana mwaka jana nimempoteza mzee wangu Dr. Mahiga, angekuwepo ningeweza kukupa contact akusaidie. Huyu kafanya kazi UN yenyewe (UNHCR, UN Special Rep to Somalia etc) mpaka serikali ya Tanzania katika UN kama balozi wa Tanzania. Tumepoteza kichwa. Sasa hivi nikitafuta mtu wa caliber yake anayeijua UN ninayemjua simuoni.

Ila, vigezo ni muhimu zaidi ya connections, conneections zinakupa boost tu, msingi ni kutimiza vigezo.

Ukifanikiwa ukifika NYC kama huna sehemu ya kukaa/ hujui Watanzania walipo nitafute.
 
Chanzo mojawapo Cha stress Kama ni mimi nakata mawasiliano kabisa, dah zari alikuja akajiona so special sasa tanasha kaja Kati ya wanawake wakuhurumiwa ni hawa waliozaa na diamond aisee

Kwa kweli full stress na kuaibishana kama ni Mimi pia ningekata mawasiliano mtoto akikua watatafutana

imagine Leo anatoka Mwana mke huyu Kesho Yule kisa mtoto
 
Angalia vigezo vyao vyote na uvifikishe.

Tafuta Watanzania senior waliowahi kufanya kazi UN wakupe ushauri. Bahati mbaya sana mwaka jana nimempoteza mzee wangu Dr. Mahiga, angekuwepo ningeweza kukupa contact akusaidie. Huyu kafanya kazi UN yenyewe (UNHCR, UN Special Rep to Somalia etc) mpaka serikali ya Tanzania katika UN kama balozi wa Tanzania. Tumepoteza kichwa. Sasa hivi nikitafuta mtu wa caliber yake anayeijua UN ninayemjua simuoni.

Ila, vigezo ni muhimu zaidi ya connections, conneections zinakupa boost tu, msingi ni kutimiza vigezo.

Ukifanikiwa ukifika NYC kama huna sehemu ya kukaa/ hujui Watanzania walipo nitafute.
Nashkuru sana mkuu
 
Angalia vigezo vyao vyote na uvifikishe.

Tafuta Watanzania senior waliowahi kufanya kazi UN wakupe ushauri. Bahati mbaya sana mwaka jana nimempoteza mzee wangu Dr. Mahiga, angekuwepo ningeweza kukupa contact akusaidie. Huyu kafanya kazi UN yenyewe (UNHCR, UN Special Rep to Somalia etc) mpaka serikali ya Tanzania katika UN kama balozi wa Tanzania. Tumepoteza kichwa. Sasa hivi nikitafuta mtu wa caliber yake anayeijua UN ninayemjua simuoni.

Ila, vigezo ni muhimu zaidi ya connections, conneections zinakupa boost tu, msingi ni kutimiza vigezo.

Ukifanikiwa ukifika NYC kama huna sehemu ya kukaa/ hujui Watanzania walipo nitafute.
Ni changamoto gani nijiandae kukutana nazo nikifanya kazi na wamarekani?

Kama kudharauliwa, kubaguliwa n.k
 
Wanawake kwake ni sehemu ya kiburudisho
Mzee wa chovya chovya huyo
Inaelekea alipokuwa hana kitu wanawake walimpiga vibuti sahv kama analipiza
East Wind

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hao wanawake ndio wanajileta yeye hatumii nguvu hata wewe ukiwa na pesa na umaarufu wanawake watakuja wenyewe Ni Kama inavyomtokea sasa hivi Fred vunjabei
 
Kwa kweli full stress na kuaibishana kama ni Mimi pia ningekata mawasiliano mtoto akikua watatafutana

imagine Leo anatoka Mwana mke huyu Kesho Yule kisa mtoto
Hawa wanawake wanazalilika Sana kisa umaarufu na hapo wanashindana hamna ambaye atagoma kwenda. Yani wanawake wakishakuwa wake wenza akili huwatoka kabisa
 
Back
Top Bottom