Tandika, Dar: Amuua mpenzi wake na kumtenganisha viungo

Kuna watu akili zao fyatu...Ana gharimikia alafu anasikia kuwa kuna mtu mwingine uko naye
Ahh anafanya lolote

Ova
Ila mimi nashauri haya mambo ni ya kuyafanyia kazi kwa njia za kimila. Yaani huachi ushahidi kabisa kwenye kumshughulikia mla hela zako huku papuchi wanafaidi wengine.
 
Mnadakia tu habari bila kuwa na uhakika! Nani alikwambia alikuwa mke wake? Hivi mpenzi na mme ni sawa? Halafu mbona familia imesema aliondoka home tarehe 19 August wewe unasemaje tangu tarehe 1?
 
Kosa gani hilo alilofanya Mzee Baba?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…