Hatari sana,kesi kama hii nyingi zinaepukika ikiwa watu wataona Kuna umuhimu wa kuachana kuliko kufanya mauaji kisa mapenzi,mabaraza ya kutafuta suluhu mara nyingi wanachangia haya mauaji Kwa sababu wao suluhu yao Huwa msiachane Kwa ajili ya familia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha, majibu watapata nyege zikishaishaNaona hawa wanaenda kutafuta maumivu 😄
Ova
Kumbe alikuwa katibu wa chawa wa mamaKwakuwa alikuwa CHAWA basi alistahili alichopata.
Bei gani kukuweza Mshangazi, afu...🤭😂😂😂 Ehh ataniweza kweli??
kwani na wewe ni muumini wa dini?Viongozi wa Dini mko wapi?
Narudia tena Viongozi wa Dini mko wapi unyama ukizidi kuongezeka?
Nimeona huko Global Tv Katibu wa Wazazi CCM alitekwa na mpenzi wake kisha kuuwawa na Mwili wake kukatwakatwa na kutupwa Bahari beach na Tegeta Block D
Dada huyu mkazi wa Tandika maghorofani taarifa za kupotea kwake ziliripotiwa polisi Chang'ombe ambao walimtia Mbaroni huyo mpenzi wake ambaye alitaja maeneo mbalimbali alikozika vipande vipande vya Mwili wa Katibu wa Wazazi CCM
Credit: Global Tv
My take; Hali imezidi kuwa mbaya, roho za Ukatili zimetamalaki
Kazi ya Uvccm hiyo.Viongozi wa Dini mko wapi?
Narudia tena Viongozi wa Dini mko wapi unyama ukizidi kuongezeka?
Nimeona huko Global Tv Katibu wa Wazazi CCM alitekwa na mpenzi wake kisha kuuwawa na Mwili wake kukatwakatwa na kutupwa Bahari beach na Tegeta Block D
Dada huyu mkazi wa Tandika maghorofani taarifa za kupotea kwake ziliripotiwa polisi Chang'ombe ambao walimtia Mbaroni huyo mpenzi wake ambaye alitaja maeneo mbalimbali alikozika vipande vipande vya Mwili wa Katibu wa Wazazi CCM
Credit: Global Tv
My take; Hali imezidi kuwa mbaya, roho za Ukatili zimetamalaki
Usiwalaumu viongozi wa dini.Viongozi wa Dini mko wapi?
Narudia tena Viongozi wa Dini mko wapi unyama ukizidi kuongezeka?
Nimeona huko Global Tv Katibu wa Wazazi CCM alitekwa na mpenzi wake kisha kuuwawa na Mwili wake kukatwakatwa na kutupwa Bahari beach na Tegeta Block D
Dada huyu mkazi wa Tandika maghorofani taarifa za kupotea kwake ziliripotiwa polisi Chang'ombe ambao walimtia Mbaroni huyo mpenzi wake ambaye alitaja maeneo mbalimbali alikozika vipande vipande vya Mwili wa Katibu wa Wazazi CCM
Credit: Global Tv
My take; Hali imezidi kuwa mbaya, roho za Ukatili zimetamalaki
huyu marehemu ni mtoto wa mwandishi wa habari maarufu sana.Viongozi wa Dini mko wapi?
Narudia tena Viongozi wa Dini mko wapi unyama ukizidi kuongezeka?
Nimeona huko Global Tv Katibu wa Wazazi CCM alitekwa na mpenzi wake kisha kuuwawa na Mwili wake kukatwakatwa na kutupwa Bahari beach na Tegeta Block D
Dada huyu mkazi wa Tandika maghorofani taarifa za kupotea kwake ziliripotiwa polisi Chang'ombe ambao walimtia Mbaroni huyo mpenzi wake ambaye alitaja maeneo mbalimbali alikozika vipande vipande vya Mwili wa Katibu wa Wazazi CCM
Credit: Global Tv
My take; Hali imezidi kuwa mbaya, roho za Ukatili zimetamalaki
Viongozi wa Dini mko wapi?
Narudia tena Viongozi wa Dini mko wapi unyama ukizidi kuongezeka?
Nimeona huko Global Tv Katibu wa Wazazi CCM alitekwa na mpenzi wake kisha kuuwawa na Mwili wake kukatwakatwa na kutupwa Bahari beach na Tegeta Block D
Dada huyu mkazi wa Tandika maghorofani taarifa za kupotea kwake ziliripotiwa polisi Chang'ombe ambao walimtia Mbaroni huyo mpenzi wake ambaye alitaja maeneo mbalimbali alikozika vipande vipande vya Mwili wa Katibu wa Wazazi CCM
Credit: Global Tv
My take; Hali imezidi kuwa mbaya, roho za Ukatili zimetamalaki
Umeshtuka walkati ni drama tuViongozi wa Dini mko wapi?
Narudia tena Viongozi wa Dini mko wapi unyama ukizidi kuongezeka?
Nimeona huko Global Tv Katibu wa Wazazi CCM alitekwa na mpenzi wake kisha kuuwawa na Mwili wake kukatwakatwa na kutupwa Bahari beach na Tegeta Block D
Dada huyu mkazi wa Tandika maghorofani taarifa za kupotea kwake ziliripotiwa polisi Chang'ombe ambao walimtia Mbaroni huyo mpenzi wake ambaye alitaja maeneo mbalimbali alikozika vipande vipande vya Mwili wa Katibu wa Wazazi CCM
Credit: Global Tv
My take; Hali imezidi kuwa mbaya, roho za Ukatili zimetamalaki
CCM ni wauaji haswaViongozi wa Dini mko wapi?
Narudia tena Viongozi wa Dini mko wapi unyama ukizidi kuongezeka?
Nimeona huko Global Tv Katibu wa Wazazi CCM alitekwa na mpenzi wake kisha kuuwawa na Mwili wake kukatwakatwa na kutupwa Bahari beach na Tegeta Block D
Dada huyu mkazi wa Tandika maghorofani taarifa za kupotea kwake ziliripotiwa polisi Chang'ombe ambao walimtia Mbaroni huyo mpenzi wake ambaye alitaja maeneo mbalimbali alikozika vipande vipande vya Mwili wa Katibu wa Wazazi CCM
Credit: Global Tv
My take; Hali imezidi kuwa mbaya, roho za Ukatili zimetamalaki
Wao huwa wanajiona ni wamiliki wa nchiKwani wanaccm ni first class citizens Hadi ustuke?
Si mmetuambia kuwa Huwa wanajiteka wenyewe?
Unamkumbuka aliyetaka kumteka Ole Sabaya pale Rau Madukani 😂😂🔥CCM ni wauaji haswa
Wewe huna akili, Ole Sabaya wakuteka naye na wakati ni jangiliUnamkumbuka aliyetaka kumteka Ole Sabaya pale Rau Madukani 😂😂🔥