Mateja M.G Yango
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 613
- 1,093
Bado narudi pale pale.
Mtoa mada kasoma juu juu kakimbilia ku-post jambo asiloelewa.
Angalia content ya hiyo tender, kampuni husika itafanya feasibility study, ita build solar farm, ita operate yenyewe, then baada ya miaka kadhaa, kama 20 hadi 25 Solar Farm itakabidhiwa kwa Tanesco kama mali halali ya Tanesco.
All that long, Tanesco itakuwa inauziwa umeme hadi muda wataokubaliana ufike. Hapo wewe unataka nini tena?
Kiwanja hujatoa, initial investmest hujachangia, umeme unauziwa kwa bei ndogo.
Baada ya miaka 20 hadi 25 plant inakuwa yako 100%.
Ikumbukwe kuwa Return On Investment ya Solar Farms ni miaka 10 hadi 15.
So hapo bado Tanesco are to benefit.
Mtoa mada kasoma juu juu kakimbilia ku-post jambo asiloelewa.
Angalia content ya hiyo tender, kampuni husika itafanya feasibility study, ita build solar farm, ita operate yenyewe, then baada ya miaka kadhaa, kama 20 hadi 25 Solar Farm itakabidhiwa kwa Tanesco kama mali halali ya Tanesco.
All that long, Tanesco itakuwa inauziwa umeme hadi muda wataokubaliana ufike. Hapo wewe unataka nini tena?
Kiwanja hujatoa, initial investmest hujachangia, umeme unauziwa kwa bei ndogo.
Baada ya miaka 20 hadi 25 plant inakuwa yako 100%.
Ikumbukwe kuwa Return On Investment ya Solar Farms ni miaka 10 hadi 15.
So hapo bado Tanesco are to benefit.
Binafsi pia huwa niko kinyume sana na energy hii ya solar. Huyu munayemuuliza atakuja na jibu lake lakini kinachoonekana ktk taarifa ni hiki, bonyeza hapo chini. Vyovyote ilivyo, Tanesco imejiingiza kwenye zoezi baya lisiloisaidia kutatua matatizo ya power ya nchi. Rais aliwaonesha wazi kwamba kuna mini-hydro nyingi ambazo hawazipi support, ndo wakastuka. Sasa tena wanakuja na support ya watu wa solar. Sijui wazo kama hilo wamelitoa wapi? Au ni nguvu ya watu fulani wanaotafuta biashara na Tanesco., ipigwe tena!
TANESCO LAUNCHES 150 MW SOLAR TENDER IN TANZANIA