TANESCO achana na Solar Energy, ni wizi na hasara kwa Taifa

TANESCO achana na Solar Energy, ni wizi na hasara kwa Taifa

Mkuu JF kama ni muelewa wa masuala fulani siku zote angalia line of reasoning za mtu if you want to get a meaningful debate.

Mtu mwenye uelewa wa maswala ya global energy policies lazima afahamu nini kilikubaliwa kwenye Kyoto Protocol, Paris agreement, nani anatekeleza vipi, third world wamepewa leeway’s zipi, jinsi Carbon Trade inavyofanya kazi, reliable energy sources ni zipi na kwanini etc with the industry.

Mtu anaeongea sijui umeme wa upepo ni bora kushinda jua wakati vyote ni bure; sijui kama Solar Firm, jua kujibizana nae ni kupoteza muda wako.
Nilishaona uwezo mdogo wa wachangiaji, ikabidi niwe kama mwalimu wa miaka 40 anavyowafundisha watoto wa kindergarten na kulazimika kuvumilia. Lazima avumilie hata wanaojikojolea.

Nilipoleta uzi huu niliwalenga Tanesco ili wafahamu tunavyoona uzembe na uovu wao ktk mipango. bahati mbaya JF imekuwa kama Yanga na Simba mitaani. Ni kelele bila kujali umuhimu wa michango. Nawaandaa pia watu wa madini na mipango yao ya kugawa pesa kwa kisingizio cha wachimbaji wadogo.
 
Mmmmh! Angalia meseji yako ya mwanzo angalia tena hicho ulichoandika. kama dunia hii in mtu anayefahamu Green houses gases, fahamu huyo yuko kundi tofauti. Hiki ni nini? Nonsense! Bado unashiriki mjadala unaohitaji ufahamu!
Kuandika makosa ni kawaida lakini kurudia tena na tena, inaonesha siyo kosa bali hujui hata unachoandika. Sahihisha mwenyewe maana naona tayari umekariri makosa, na unayarudisha JF ukiamini ni sahihi.

Unajitia mwalimu wa English language sio?

Upo grammar school?

Greenhouse gasses huzijui basi kafie huko,hujui unachojua!
 
Nilishaona uwezo mdogo wa wachangiaji, ikabidi niwe kama mwalimu wa miaka 40 anavyowafundisha watoto wa kindergarten na kulazimika kuvumilia. Lazima avumilie hata wanaojikojolea.

Nilipoleta uzi huu niliwalenga Tanesco ili wafahamu tunavyoona uzembe na uovu wao ktk mipango. bahati mbaya JF imekuwa kama Yanga na Simba mitaani. Ni kelele bila kujali umuhimu wa michango. Nawaandaa pia watu wa madini na mipango yao ya kugawa pesa kwa kisingizio cha wachimbaji wadogo.
TANESCO na mifuko ya hifadhi za jamii Tanzania ni vichaka vya deal mkuu, bandari ni cashcow ya vigogo; jinsi haya mashirika yanavyoendeshwa ni headache kufuatilia.

Goodluck na somo lako, hila through experience yangu kawaida kuna watu makini huwa wanasoma hoja na kufanyia kazi mengine ingawa watajifanya ni mawazo yao not always the case though maana hizo taasisi nilizotaja hapo juu ni ngumu kweli kuelewa government control na usimamizi wake yanapokuja maswala ya investment.
 
Eti wanaanza kutekeleza mkakati wa kuiweka TZ kwenye renewable energy! Kule Kigoma waliwaponza wanavijiji na miradi ya dispensary za vijiji kuwekewa solar energy. Leo hii hata fridge haiwezi kuwaka kwa solar!!

Ukiona TANESCO wanachangamkia projects hizi za solar, basi watu wenye a akili wanajua kwamba genge fulani ndani ya Tanesco wameisha jipanga kupiga hela ndefu wakishirikiana na makampuni yanayo uza solar systems kupitia tenda - ni hilo tu.

Ulaya kwenyewe masuala ya kutumia Umeme unaozalishwa na solar panels hawaupi kipa umbele hata kidogo baada ya kugundua kwamba initial cost ni kubwa mno na haupo efficient kulinganisha na umeme unao zalishwa na hydroelectric,mkaa wa mawe na nuclear. Sasa sisi hapa tunataka kuzuga Serikali na wananchi kwa kujingiza kwenye miradi ambayo itatutia hasara, kwa nini hamuipi kipa umbele projects za uzalishaji umeme kwa kutumia mini-hydroelectric ppower generating stations kwenye mito ya huko vijijini?
 
Unajitia mwalimu wa English language sio?

Upo grammar school?

Greenhouse gasses huzijui basi kafie huko,hujui unachojua!
Again, gasses ni nini? Nilikwambia kukosea siyo shida, shida ni kurudia kosa hilo hilo kila ukiandika. Sasa tena umekuja na jingine, gasses, ikiwa ni baada ya kusahihisha. Inanipa picha kwamba unajadili jambo ambalo siyo mazoea yako. Siyo uelewa wako.
 
TANESCO na mifuko ya hifadhi za jamii Tanzania ni vichaka vya deal mkuu, bandari ni cashcow ya vigogo; jinsi haya mashirika yanavyoendeshwa ni headache kufuatilia.

Goodluck na somo lako, hila through experience yangu kawaida kuna watu makini huwa wanasoma hoja na kufanyia kazi mengine ingawa watajifanya ni mawazo yao not always the case though maana hizo taasisi nilizotaja hapo juu ni ngumu kweli kuelewa government control na usimamizi wake yanapokuja maswala ya investment.
Hiyo experience unayosema naifahamu sana! Niko hapa kwa miaka sasa! Silaumu wahusika kuchota ideas JF. Napongeza maana binadamu tunatakiwa kuiga mambo ya maana. Najua kabisa hata Tanesco wako hapa JF lakini kwa kuwa hili hawana maelezo ya kushawishi jamii, wako kimya. Ukilalamikia nguzo mbovu utawasikia wakijieleza. Anyhow, hii pia ni njia ya kuelewa uelewa na ushabiki wa waliomo JF.

Screen Shot 2020-03-07 at 17.50.38.png
 
Again, gasses ni nini? Nilikwambia kukosea siyo shida, shida ni kurudia kosa hilo hilo kila ukiandika. Sasa tena umekuja na jingine, gasses, ikiwa ni baada ya kusahihisha. Inanipa picha kwamba unajadili jambo ambalo siyo mazoea yako. Siyo uelewa wako.

Hujui maana ya “Gasses”?

Unataka kusema “Gasses” sio Kiingereza sanifu?

Kidudu wewe!

Kajisaidie huko!
 
TANESCO na mifuko ya hifadhi za jamii Tanzania ni vichaka vya deal mkuu, bandari ni cashcow ya vigogo; jinsi haya mashirika yanavyoendeshwa ni headache kufuatilia.

Goodluck na somo lako, hila through experience yangu kawaida kuna watu makini huwa wanasoma hoja na kufanyia kazi mengine ingawa watajifanya ni mawazo yao not always the case though maana hizo taasisi nilizotaja hapo juu ni ngumu kweli kuelewa government control na usimamizi wake yanapokuja maswala ya investment.
Haujui unachoongea maboss wa dunia wanataka tufanye energy transition yaani tufanye decarbonizing power .Hii electricity ina account for 40% Carbondioxide (Co2) emission sijui unanielewa bwana mdogo lakini inachukua 20% tu ya nishati yote tunayotumia duniani ,sasa dunia inabidi ifanye shifting kwenda kwny less carbon intensive sources (nuclear,renewables) .
Maboss washaweka masharti mpk kufikia 2050 lazima tuwe tumeshift,ili kupunguza madhara yatokanayo na Carbondioxide emission (Refer Grobal warming n.k)
Ndio maana unaona TANESCO nao wanapambana.
Samahani nimejibu kihandisi zaidi lakini Mimi sio msemaji was TANESCO ,ila km ww msomi utakuwa umenielewa .
Samahani kwa maneno ya kiingeraza ila itakuwa vizuri ukiyasoma kwa sauti ya mwalimu Kashasha mtangazaji ya Moira wa TBC kesho akiwa anachambua Simba Vs Yanga.
 
Haujui unachoongea maboss wa dunia wanataka tufanye energy transition yaani tufanye decarbonizing power .Hii electricity ina account for 40% Carbondioxide (Co2) emission sijui unanielewa bwana mdogo lakini inachukua 20% tu ya nishati yote tunayotumia duniani ,sasa dunia inabidi ifanye shifting kwenda kwny less carbon intensive sources (nuclear,renewables) .
Maboss washaweka masharti mpk kufikia 2050 lazima tuwe tumeshift,ili kupunguza madhara yatokanayo na Carbondioxide emission (Refer Grobal warming n.k)
Ndio maana unaona TANESCO nao wanapambana.
Samahani nimejibu kihandisi zaidi lakini Mimi sio msemaji was TANESCO ,ila km ww msomi utakuwa umenielewa .
Samahani kwa maneno ya kiingeraza ila itakuwa vizuri ukiyasoma kwa sauti ya mwalimu Kashasha mtangazaji ya Moira wa TBC kesho akiwa anachambua Simba Vs Yanga.
Bora ulivyohitimisha mwenyewe huna unachokijua, maana hayo mambo siyo ya kihandisi kwa sana ni maswala ya strategic planners (management issues za kwenye energy industries) ivyo utakutana nayo kwenye either issues za environment management, global energy outlook, national/international energy policies or national energy security.

Huko ndio inabidi uelewe hayo maswala na impact za international agreement kwenye sera za nchi; kwa mfano under Kyoto Protocol nchi maskini zinategemewa kuchafua mazingira kwa kutumia reliable sources (makaa ya mawe, oil and gas) maana energy usage go hand in hand with economic development,

Kwa sababu nchi tajiri wao washafaidika awali kiuchumi na hydrocarbon wanamajukumu ya kuwekeza third world kwenye renewable energy hili ikiwezekana tusifikie viwango vyao vya usage na dependency kwenye hydrocarbon sources katika harakati za kukuza uchumi.

Otherwise serikari za third world hazina masharti ya aina gani ya umeme itatumia kwenye kukuza uchumi wao.

Hapo ndio umbumbumbu wetu unapoonekana wewe uwache kutumua reliable energy sources kama gesi ukimbilie umeme wa jua, wakati wenzetu wangependa hayo isipokuwa wana masharti waliyojiwekea (ni voluntary kwa nchi nyingi, isipokuwa ndani ya EU) wao ndio wamejiwekea target za kupunguza CO2 by 50% or 70% by 2050 na wana phases zao compared to the level output za 1993 if I am not mistaken (its been a while since I chartered into those topics) na upunguzaji wenyewe ni complicated kuna carbon limits (hiki ndicho kilichopelekea vifo vya electric power plants za makaa ya mawe na kufungwa kwa refiniries kadhaa by default kwa kushindwa ku adapt sera) ndani ya EU.

Measures zingine ni improvement kwenye magari yasiyotoa CO2 kwa wingi ndio kilichopelekea improvement kwenye Diesel engine na ukuaji wa electricity cars, various greener technologies, kukuza greener areas, improvement in other area zilizotajwa ndani ya sera zao kama engine za ndege, increase usage in renewable energy and adaption of nuclear, etc.

Kukata CO2 sio lazima kwenye umeme tu; it’s a long and complicated issue, if you are not familiar na topic nilizozitaja huko juu uwezi elewa hayo mambo.
 
Usiandike kama uko sayari tofauti boss. Simply, niambie uliweka betri za aina gani ambazo zimekupa service kwa miaka 15? Taja jina la betri, tuanzie hapo. Kumbuka life span ya solar pannel haizidi miaka 20 pia.

NInacholumbushia hapa, tunazungumzia Tanesco. wanaolenga kukuza uchumi wa nchi. watupe umeme wa viwanda siyo pump na kuosha gari.

Siwezi kuchungulia betri na kukujibu kwa sasa kwani niko bara lingine. Ila nakumbuka ni big dry batteries za India, panel za China, inverter za Ujerumani na charge control unit ya Ujerumani pia.

Sijahitaji kubadilisha au kurekebisha component yoyote hadi sasa.
 
Ukweli Solar ni Mwarobaini Sana ila tupate wataalam wa vifaa na ufundi Solar tutaifurahia japo ni gharama Sana
 
Mkuu JF kama ni muelewa wa masuala fulani siku zote angalia line of reasoning za mtu if you want to get a meaningful debate.

Mtu mwenye uelewa wa maswala ya global energy policies lazima afahamu nini kilikubaliwa kwenye Kyoto Protocol, Paris agreement, nani anatekeleza na kwa namna zipi, kwanini kwa first world ni strict whereas in third world wamepewa leeway’s bado za kuwekeza kwenye fossil energy, jinsi Carbon Trade inavyofanya kazi duniani, reliable energy sources ni zipi na kwanini nchi kama US wamejitoa kwenye Paris Agreement etc with the global energy industry.

Mtu anaeongea sijui umeme wa upepo ni bora kushinda jua wakati vyote ni bure; sijui mambo ya Solar Firm, jua kujibizana nae ni kupoteza muda wako.
Unaongea kisiasa sana (mpinga CCM wee) sababu ww sio technical man ulaya watu wana install an Offshore winds turbines,Concentrated Solar,PV solar,CCGT,Nuclear,Geothermal n.k wana angalia vitu kama energy efficiency,reliability,flexibility, costs ,low Co2 emission ,Challenges na mambo mengine mengi.

Wakati nafanya masters ya engineering ulaya nilipita humo kwny Energy Transition na mambo Environmental law nikafanya research za kutosha sector hiyo.
Kuna kauli yao wataalam wanasema innovation is crucial to built more efficiency system.Hauwezi fanikiwa kwa kutegemea Hydro pekee wala hakuna nchi iliyoendelea yny kutegemea hydro pekee.
Harafu TANESCO wao ktk hayo makubaliano wamealika kampuni kama muwekezaji amabye atafanya feasibility study na kuwekeza ktk mradi.

Kitu kingine kama nilivyosema awali maswala ya maboss wetu,hatuwezi tukakataa muwekezaji kuna mikataba ya biashara tumeingia na mataifa,pia mikataba ya mazingira,ila tunaangalia pia jambo lina tija gani kwa Taifa.
Tunaliweka Taifa kwanza mbele harafu siasa na mambo mengine baadaye.
 
Gharama za kuendesha hydroelectric power ni ndogo mno. Gharama za kuendesha mitambo ya gesi inaeleweka kiasi. Sasa hizi wind turbine zina complication kubwa pamoja na kuhitaji maintenance mara kwa mara. Hiyo solar energy haiko reliable sana wala haitoi nishati ya kutosha.
Hakuna haja ya kukimbilia uko kwa sasa.
Hydroelectric Power ni Renewable Energy pia mkuu.
 
Unaongea kisiasa sana (mpinga CCM wee) sababu ww sio technical man ulaya watu wana install a Offshore winds turbines,Concentrated Solar,PV solar,CCGT,Nuclear,Geothermal n.k wana angalia vitu kama energy efficiency,reliability,flexibility, costs ,low Co2 emission ,Challenges na mambo mengine mengi.

Wakati nafanya masters ya engineering nilipita humo kwny Energy Transition na mambo Environmental law.
Kuna kauli yao wataalam wanasema innovation is crucial to built more efficiency system.Hauwezi fanikiwa kwa kutegemea Hydro pekee wala hakuna nchi iliyoendelea yny kutegemea hydro pekee.
Harafu TANESCO wao ktk hayo makubaliano wamealika kampuni kama muwekezaji amabye atafanya feasibility study na kuwekeza ktk mradi.

Kitu kingine kama nilivyosema awali maswala ya maboss wetu,hatuwezi tukakataa muwekezaji kuna mikataba ya biashara tumeingia na mataifa,pia mikataba ya mazingira.
Kama nilivyokwambia awali ulaya kwa umoja wao kwenye bara kupambana na climate change wali-commit kupunguza 40% by 2030 output ya GHG kupitia ‘United Nations Framework Convention on Climate Change (UNFCC) hiyo ndio document endelevu iliyokuja na Kyoto Protocol, Doha Agreement and Paris Agreement; inaelezea njia tofauti ya kufikia malengo.

Sasa wanachokifanya EU ni kutekeleza walichokubaliana nchi tajiri katika hayo makongamano.

Ingawa wengine hawapo serious hila EU hili jambo lipo kisheria kila nchi inatakiwa kukata a minimum of 40% and there are sanctions for failure to comply kwa mwanachama yeyote.

Japo block target ni 40% kwa kila nchi, however zinaweza jiongezea wenyewe malengo na kupanga mipango yao watakavyofikia.

Hivyo nchi kama UK wao wame set target zao at 57% reduction compared to 1990 output by 2030.

Hili kutekeleza UK kuna Climate Act 2008 ni sheria mwongozo kama nchi watakavyofikia hayo malengo na njia watakazo tumia ambazo:
  • kuhakikisha viwanda vinapunguza GHG kwa kuboresha technology inayochuja CO2 (swala ambalo limepelekea viwanda visivyo na hela ya ku adapt kufungwa),
  • kuongeza insulation’s kwenye majumba hili watu wapunguze kutumia nishati ya gas during winter
  • kuongeza greener public transport,
  • kuongeza matumizi ya renewable energy
  • Increase research and development on greener technologies
  • kutumia market based instrument ambazo na zenyewe zipo za aina tatu ‘Clean Development Mechanism’ ambapo ukiwekeza third world unapata cheti ambacho kinakuruhusu ku-compensate kuchafua kiwango ulichopunguza africa, ‘Cap and Trade’ mfano unaweza ingia makubaliano na kiwanda in similar industry and size ndani ya EU ambacho kiko chini ya uchafuzi we utumia deficit zao na mwisho Carbon Taxes ikibidi uzidishe unalipia kodi hiyo nyongeza.
Kwa ivyo wanachokifanya wao sio eti ni diversification bali ni malengo waliyojiwekea, hila nchi kama marekani chini ya Trump aitaki upuuzi huo ndio maana imejitoa wao bado wanaamini kwenye umeme wa makaa ya mawe (ndio most reliable source na wenye uchafuzi mkubwa wa mazingira) awataki pressure isipokuwa wamejikita kwenye kuboresha carbon capture technology kupunguza CO2 emission na China pia watafanya hila kwa mtindo wao.

Kwa ivyo wanaofanya ivyo ni kisera zaidi na malengo yao ya lazima sio Investor’s choice bali ni block and national policies; otherwise kila nchi ingependa kutumia fossil sources kuzalisha umeme.

Kama kuna mtu anataka kuja kuwekeza kwenye renewable energy Tanzania kwa hela zake hakuna shida, lakini TANESCO kuweka hela zake wakati nchi bado inahitaji nishati ya uhakika huo utakuwa ni upuuzi wa hali ya juu kwa sababu we are not obliged under any international agreement kuwekeza kwenye greener energy kutokana hali yetu ya uchumi.
 
Kama nilivyokwambia awali ulaya kwa umoja wao kwenye bara kupambana na climate change wali-commit kupunguza 40% by 2030 output ya GHG kupitia ‘United Nations Framework Convention on Climate Change (UNFCC) hiyo ndio document endelevu iliyokuja na Kyoto Protocol, Doha Agreement and Paris Agreement; inaelezea njia tofauti ya kufikia malengo.

Sasa wanachokifanya EU ni kutekeleza walichokubaliana nchi tajiri katika hayo makongamano.

Ingawa wengine hawapo serious hila EU hili jambo lipo kisheria kila nchi inatakiwa kukata a minimum of 40% and there are sanctions for failure to comply kwa mwanachama yeyote.

Japo block target ni 40% kwa kila nchi, however zinaweza jiongezea wenyewe malengo na kupanga mipango yao watakavyofikia.

Hivyo nchi kama UK wao wame set target zao at 57% reduction compared to 1990 output by 2030.

Hili kutekeleza UK kuna Climate Act 2008 ni sheria mwongozo kama nchi watakavyofikia hayo malengo na njia watakazo tumia ambazo:
  • kuhakikisha viwanda vinapunguza GHG kwa kuboresha technology inayochuja CO2 (swala ambalo limepelekea viwanda visivyo na hela ya ku adapt kufungwa),
  • kuongeza insulation’s kwenye majumba hili watu wapunguze kutumia nishati ya gas during winter
  • kuongeza greener public transport,
  • kuongeza matumizi ya renewable energy
  • Increase research and development on greener technologies
  • kutumia market based instrument ambazo na zenyewe zipo za aina tatu ‘Clean Development Mechanism’ ambapo ukiwekeza third world unapata cheti ambacho kinakuruhusu ku-compensate kuchafua kiwango ulichopunguza africa, ‘Cap and Trade’ mfano unaweza ingia makubaliano na kiwanda in similar industry and size ndani ya EU ambacho kiko chini ya uchafuzi we utumia deficit zao na mwisho Carbon Taxes ikibidi uzidishe unalipia kodi hiyo nyongeza.
Kwa ivyo wanachokifanya wao sio eti ni diversification bali ni malengo waliyojiwekea, hila nchi kama marekani chini ya Trump aitaki upuuzi huo ndio maana imejitoa wao bado wanaamini kwenye umeme wa makaa ya mawe (ndio most reliable source na wenye uchafuzi mkubwa wa mazingira) awataki pressure isipokuwa wamejikita kwenye kuboresha carbon capture technology kupunguza CO2 emission na China pia watafanya hila kwa mtindo wao.

Kwa ivyo wanaofanya ivyo ni kisera zaidi na malengo yao ya lazima sio Investor’s choice bali ni block and national policies; otherwise kila nchi ingependa kutumia fossil sources kuzalisha umeme.

Kama kuna mtu anataka kuja kuwekeza kwenye renewable energy Tanzania kwa hela zake hakuna shida, lakini TANESCO kuweka hela zake wakati nchi bado inahitaji nishati ya uhakika huo utakuwa ni upuuzi wa hali ya juu.
Soma tena hiyo doc aliyoweka mleta Uzi TANESCO wamepokea mwekezaji wa kuwekeza ktk Renewable.

Kwa kesi ya US kutumia coal ni sababu za kisiasa zinazoendana na Sera ya ajira ya chama chake Donald Trump ,juzi alikuwa anajisifu kwmb haijawai tokea US ikawa na Unemployment rate ndogo km wakati wa awamu yake 3.4% ,unataka akate ghafla coal industry itakuwaje??.kutokana na U.S Energy Information Administration (EIA) coal imeajiri wachimbaji (miners) 50,000 hao ni wale wanaoingia chini kwny zile room&pillar au long wall bado kuna HR,IT,Accounts na waajiriwa wengine, na ina account for 5% industrial revenue ,just imagine na 50% ya umeme wote unaozalishwa US.

Licha ya kuwa Coal inapatikana kwa wingi na ni more efficiency ktk kuzalisha Umeme lakini Serikali kama Serikali ya US inayo mpango wa ku retire Coal (kuistafisha) niliongea na jamaangu yupo kule anasema wameanza kuwachukua miners na kuwaelimisha wakasome PV (PhotoVoltaic) Solar ili maisha yaendelee maana Coal haina maisha marefu.

Mfano kwa hapa kwetu mheshimiwa rais Dr.John Joseph Magufuli sera ya chama chetu ni serikali ya viwanda ,hivyo kuna sehemu hauwezi kutugusa especially linapokuja swala linarohusu viwanda mfano hule mradi mkubwa wa Umeme wenye masirahi makubwa kiTaifa hata Trump hawezi kuugusa kabisa.Ndio maana hata Trump hataki kusikia Habari za kuachana na Coal sio wakati wa utawala wake,coal inambeba kisiasa.
 
Soma tena hiyo doc aliyoweka mleta Uzi TANESCO wamepokea mwekezaji wa kuwekeza ktk Renewable.

Kwa kesi ya US kutumia coal ni sababu za kisiasa zinazoendana na Sera ya ajira ya chama chake Donald Trump ,juzi alikuwa anajisifu kwmb haijawai tokea US ikawa na Unemployment rate ndogo km wakati wa awamu yake 3.4% ,unataka akate ghafla coal industry itakuwaje??.kutokana na U.S Energy Information Administration (EIA) coal imeajiri wachimbaji (miners) 50,000 hao ni wale wanaoingia chini kwny zile room&pillar au long wall bado kuna HR,IT,Accounts na waajiriwa wengine, na ina account for 5% industrial revenue ,just imagine na 50% ya umeme wote unaozalishwa US.

Licha ya kuwa Coal inapatikana kwa wingi na ni more efficiency ktk kuzalisha Umeme lakini Serikali kama Serikali ya US inayo mpango wa ku retire Coal (kuistafisha) niliongea na jamaangu yupo kule anasema wameanza kuwachukua miners na kuwaelimisha wakasome PV (PhotoVoltaic) Solar ili maisha yaendelee maana Coal haina maisha marefu.

Mfano kwa hapa kwetu mheshimiwa rais Dr.John Joseph Magufuli sera ya chama chetu ni serikali ya viwanda ,hivyo kuna sehemu hauwezi kutugusa especially linapokuja swala linarohusu viwanda mfano hule mradi mkubwa wa Umeme wenye masirahi makubwa kiTaifa hata Trump hawezi kuugusa kabisa.Ndio maana hata Trump hataki kusikia Habari za kuachana na Coal sio wakati wa utawala wake,coal inambeba kisiasa.
Unapinga nini na kutetea nini ueleweki.

Hoja ya mleta mada imejikita kwenye energy efficiency sambamba na mahitaji ya ukuaji wa uchumi na anaona TANESCO kujiingiza kwenye solar farms nyakati hizi sio sahihi na hakuna pressure za kimataifa kufanya ivyo (well unless you listen to environmental pressure groups they moarn to everything).

I agree na position ya mleta mada wakati nchi bado ina develop kiuchumi tunahitaji reliable sources sio kujiingiza kwenye expensive investments, isipokuwa pale tu hao investors watawekeza, kuendesha shirika na kuuza kupitia national grid kwa bei ambayo ni fair kwa walaji mpaka makubaliano yatavyokamilika.

Vinginevyo TANESCO kama yenyewe ijikite kwenye fossil fuel kitu ambacho wewe pia unapigia debe tena unadai ni bora na reliable ukimtetea Trump fair enough.

Wakati kwenye hi mada kama umepitia comment nyingi those who were against malalamiko ya mleta mada see otherwise kwamba renewable should be the future in Tanzania and not hydrocarbons.

Hakuna anaepinga hydro energy power (not the same thing as hydrocarbon) at least kwenye hii mada, wala aliemtaja Magufuli issue hapa ni long term energy plans za TANESCO kulingana na mahitaji ya muda mrefu ndani ya Tanzania.

Kuhusu hoja za kuathirika kwa kufuata implementation za international environmental policies ndani ya EU nchi nyingi zime suffer pia; muhimu zaidi kwao ni commitment and minimising risks on economic impact whilst executing their goals.

Lakini so far nchi kama UK kutokana na malengo yao waliyojiwekea a lot of power plant za makaa ya mawe, refiniries za kizamani, airline companies na viwanda vya chuma kadhaa vimekufa kutokana na cost za kuendesha biashara chini ya sera za climate act.

Kwa ivyo ni swala la kujitoa muhanga the good thing ingawa imechukua muda sasa hivi renewable industry is growing creating new jobs, so kwa upande wa Triump kikubwa zaidi ni kwamba sio mtu ambaye yupo concerned na environmental issues.

Hila sisi hatuna hizo pressure za kimataifa at least from existing international agreement kujifanya tunajali sana mazingira kwenye issue za uzalishaji nishati hadi tujiingize kwenye renewable sources kama za solar au wind farms kwa hela za ndani itakuwa ni kukosa busara.
 
Una uhakika na unaelewa unachokisema?? wewe unaangalia gharama ya pesa tu, vipi mvua zinapopungua na maji ya mabwawa kupungua, nini gharama yake kwa maisha ya binadamu?? kuna chombo duniani kisichohitaji maintenance?? ikiwa hta mwili wa binadamu unahitaji maintenance, chombo je??..,au maintenance kwako ni pale kunapotokea uharibifu?? megawat 100 za HEP zina nguvu tofauti na megawat 100 za solar??? nini maana ya haitoi nishati ya kutosha...
Mkuu haya maswala ya mazingira ni propaganda tu ndiyo maana hao wanaokuhamasisha usikate miti wao kwao wamekata wamejenga mamiji, dunia haijalishi ufanye nini imebainika uwa ina undergo different periods zinajirudia. Imebainika hata global warming iliahi tokea hapo nyuma hata kabla ya uwepo wa mwanadamu, ice age iliwahi tokea na bado mambo yatarudi vile vile.
Mfano jangwa la sahara inaonekana lilikuwa ni eneo lililokuwa na mimea na rutuba sana na mito lakini mpaka linageuka kuwa jangwa utasema binadam kahusika?
 
Unapinga nini na kutetea nini ueleweki.

Hoja ya mleta mada imejikita kwenye energy efficiency sambamba na mahitaji ya ukuaji wa uchumi na anaona TANESCO kujiingiza kwenye solar farms nyakati hizi sio sahihi na hakuna pressure za kimataifa kufanya ivyo (well unless you listen to environmental pressure groups they moarn to everything).

I agree na position ya mleta mada wakati nchi bado ina develop kiuchumi tunahitaji reliable sources sio kujiingiza kwenye expensive investments, isipokuwa pale tu hao investors watawekeza, kuendesha shirika na kuuza kupitia national grid kwa bei ambayo ni fair kwa walaji mpaka makubaliano yatavyokamilika.

Vinginevyo TANESCO kama yenyewe ijikite kwenye fossil fuel kitu ambacho wewe pia unapigia debe tena unadai ni bora na reliable ukimtetea Trump fair enough.

Wakati kwenye hi mada kama umepitia comment nyingi those who were against malalamiko ya mleta mada see otherwise kwamba renewable should be the future in Tanzania and not hydrocarbons.

Hakuna anaepinga hydro energy power (not the same thing as hydrocarbon) at least kwenye hii mada, wala aliemtaja Magufuli issue hapa ni long term energy plans za TANESCO kulingana na mahitaji ya muda mrefu ndani ya Tanzania.

Kuhusu hoja za kuathirika kwa kufuata implementation za international environmental policies ndani ya EU nchi nyingi zime suffer pia; muhimu zaidi kwao ni commitment and minimising risks on economic impact whilst executing their goals.

Lakini so far nchi kama UK kutokana na malengo yao waliyojiwekea a lot of power plant za makaa ya mawe, refiniries za kizamani, airline companies na viwanda vya chuma kadhaa vimekufa kutokana na cost za kuendesha biashara chini ya sera za climate act.

Kwa ivyo ni swala la kujitoa muhanga the good thing ingawa imechukua muda sasa hivi renewable industry is growing creating new jobs, so kwa upande wa Triump kikubwa zaidi ni kwamba sio mtu ambaye yupo concerned na environmental issues.

Hila sisi hatuna hizo pressure za kimataifa at least from existing international agreement kujifanya tunajali sana mazingira kwenye issue za uzalishaji nishati hadi tujiingize kwenye renewable sources kama za solar au wind farms kwa hela za ndani itakuwa ni kukosa busara.
All in all TANESCO wao wamemkubalia huyo jamaa awekeze kwny solar kwa pesa yake ,nenda kasome huyo jamaa wakati analeta propaganda zake nika mstopisha nikamwambia aweke chanzo cha habari maana wasomi hawaongei bila data ,alipoweka nikasoma hiyo source of information yake tukagundua kakiingereza kalimpiga chenga kumbe jamaa anawekeza kwny solar kwa Pesa yakeeee nasisitiza tena .Sasa nambie tangu lini Tanzania tumeanza kukataa wawekezaji hapa .??

Ww umedandia Uzi juu juu,nakushauri nenda kasome hile gazeti vizuri.
 
Back
Top Bottom