TANESCO achana na Solar Energy, ni wizi na hasara kwa Taifa

Bado narudi pale pale.
Mtoa mada kasoma juu juu kakimbilia ku-post jambo asiloelewa.
Angalia content ya hiyo tender, kampuni husika itafanya feasibility study, ita build solar farm, ita operate yenyewe, then baada ya miaka kadhaa, kama 20 hadi 25 Solar Farm itakabidhiwa kwa Tanesco kama mali halali ya Tanesco.

All that long, Tanesco itakuwa inauziwa umeme hadi muda wataokubaliana ufike. Hapo wewe unataka nini tena?
Kiwanja hujatoa, initial investmest hujachangia, umeme unauziwa kwa bei ndogo.
Baada ya miaka 20 hadi 25 plant inakuwa yako 100%.

Ikumbukwe kuwa Return On Investment ya Solar Farms ni miaka 10 hadi 15.
So hapo bado Tanesco are to benefit.


 
As personal natumia solar na sijawahi kulipia chochote!!!...Nina washa na kutumia kila kitu Cha Umeme
 
Maneno ya mtu mgonjwa wa akili haya, hivi athari za mazingira zinazotokea nchini kwetu hazijulikani?? hali ya jangwa shinyanga na simiyu kwa kukata miti kufanya mkaa haijulikani?? Dodoma, singida nk..hali hii ikiendelea miaka 10 ijayo nini kitatokea ?? halafu unaleta habari sijui china, waliofika china, india wanafahamu anga la nchi hizo lilivyo kutokana na CO2 emmissions, hewa ni nzito hata shida kupumua...hivi kufanya kitu cha faida kwako ni lazima third world wengine wawe wamefanya?? upuuzi mtupu! nenda katibiwe kwanza, ndio uje kuchangia mada hapa.
 
Solar ni umeme Bora na rahisi sana kuliko unavyopotosha!!!...nimetumia solar hapa Geza ulole kigamboni Dar es salaam miaka 6 sikuona Wala kupata shida ya aina yeyote!!!... tofauti yake uwekezaji wake unahitaji fedha na utaalamu wa uhakika
Mkuu solar ndio solution kwa umeme wa majumbani.
Shida serikali haipo serious na solar wapo kitheory zaidi.
Wewe jiulize hata mji mdogo wa mfano/majaribio unaotumia solar hakuna.
Uzuri wa solar utaupenda hakuna kukatika umeme.
 
tanesco mjitahidi sana kuja na suluhisho mobisol wanatupiga sana nchini!kwamfano mi nalipa 50000/= kila mwezi mtambo wa mobisol wat 120!kisa uzembe wa tanesco nchini!!!
Hao Mobisol wamewapiga sana wanakijiji huku Meru kabla ya kuja kwa umeme wa Rea
 
Failure! Unajitutumua na elimu haba. Nini maana ya athari za mazingira? Au una maana athari za uchafuzi wa mazingira? Huijui hata elimu ya mazingira inavyotakiwa. Dodoma, Singida, shinyanga na Simiyu ni tatizo la athari ya mazingira kwa maoni yako? Hukusoma geography ya nchi yetu?

Nakupa shule ili kama unaweza upanuke kimawazo. Uchafuzi wa India na China, specifically Beijing unawafanya wavae mask barabarani. Je hiyo ni CO2? Unafahamu kwamba CO2 haionekani? Kweli unaweza kuvaa mask kuzuia CO2 eti hewa ni nzito! What is Nzito? Unachoandika ni yale unayasikia. Hakuna utaalamu hapo!

Unaleta tena mambo ya kukata miti. Umeme unazuia kukata miti? Dar tuna umeme, tumeacha kutumia mkaa? Umeme unazuia matumizi ya mkaa? Nigeria inaongoza kwa kuuza mkaa nje, hiyo ni ukosefu wa umeme? Hakuna uhusiano kati ya kukata miti na kuwepo kwa solar. Ukitaka kufundisha mazingira kwa usiowafahamu utaumbuka.
 
As personal natumia solar na sijawahi kulipia chochote!!!...Nina washa na kutumia kila kitu Cha Umeme
Kuna kitu hakiingii akili mwako. Tanesco hailengi kukufanya uwashe feni na redio halafu useme kila kitu. Hawa wanatakaiwa kutatua mahitaji ya nchi. what is that kila kitu? Kama umenunua inverter ya milioni 5 na betri za milioni 6 na pannel za kutosha na bado unasema ni umeme rahisi basi una matatizo ya maumbile.
 

Hilo andiko la renewable energy kuhusu Tanesco liko wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, nimesoma unavyoandika, unavyopanga maneno yako. Halafu ukasema una vitu unavyojivunia nyumbani, kweli nimesikitika. Kwa ubovu wa uelewa ulionao ulistahili uwe ni shamba boy!

Hakika munaosoma maelezo haya jaribuni kurudi kwenye maelezo yake muone jinsi maelezo yake yasivyoendana na ufahamu wake.
 
Have invested not more than 5 millions Rafiki na ukweli utabakia kwamba umeme wa solar ni Bora nafuu na Salama!!!.. matatizo ya maumbile unayo wewe ambae unataka ufanyie kila kitu na serikali bila kujua majukumu yako!!!...
 
Vitu vidogo vidogo unataka utafuniwe, kufikirisha akili yako mtu akisema athari za mazingira huwezi..hiyo geography ya kusoma shuleni wewe ndiyo reference yako?? akili ya kudaka daka references hata ambazo hazikusaidii kupata ufahamu halisi kwa jambo fulani nadhani ndio zimedumaza uwezo wa reasoning yako..lakini usaidike, lengo hasa la renewable energy ni kupunguza matumizi yanayotokana na nishati zenye athari kwa mazingira hata kama ni kwa asilimia 1 ikiwepo nishati ya kutosha kutoka vyanzo mbadala itapunguza matumizi ya nishati zinazoharibu mazingira ikiwemo matumizi ya mkaa kupikia, si lazima ninayoandika hapa yakufundishe wewe..you can decide to remain fool.
 
Shamba boy,sio MTU??
 
Wngn hatujalipiwa ada na serikali kwnd chuo kujifunza kupangilia maneno,we are technical men.Uelewa wko kuhusu maswala ya kihandisi ni zero,ww letaga Uzi za kina Membe na Mbatia Tu basi.
 
Punguani ndio hufikiria kila kitu ni kupigwa!!! mwenye maarifa haoni kupigwa kama kitu cha kwanza..
Hawa ndio wanataka kutuchonganisha na Serikali ya John Magufuli ,ss tushaamua kuunga mkono juhudi za mheshimiwa rais ,usiturudishe nyuma kwa propaganda zako za kishamba.
 
Naona kama umeanza kuwa disorganized. Stop being a hardcore of the green movement! Achana na theory ya energy. hutaki hata jiografia jamani! Ktk nchi hii huelewi ecosystems mbali mbali tulizonazo kweli? ukiona dodoma unadhani waliharibu mazingira!

Kiuchumi na mazingira, bado tuko kwenye big difference ya economic development na equality. Walioko kwenye nyumba ya bati wanadhani wameendelea munaanza kuwaza eti renewable energy.
 
Have invested not more than 5 millions Rafiki na ukweli utabakia kwamba umeme wa solar ni Bora nafuu na Salama!!!.. matatizo ya maumbile unayo wewe ambae unataka ufanyie kila kitu na serikali bila kujua majukumu yako!!!...
Cost-base ya solar nchi hii tunaijua kama umetumia chini ya milioni tano hayo ni mahitaji ya chumba na sebule. Hakuna haja ya kujidai kulinganisha energy mbalimbali kwa matumizi kama hayo.
 
Kwa level ya familia sawa ila Tanesco wanafanya kwa level ya taifa
Hata huo umeme wako uliotumia kwa miaka 6 uliwahi kuangalia gharama ulizotumia kweli?
Solar ni umeme Bora na rahisi sana kuliko unavyopotosha!!!...nimetumia solar hapa Geza ulole kigamboni Dar es salaam miaka 6 sikuona Wala kupata shida ya aina yeyote!!!... tofauti yake uwekezaji wake unahitaji fedha na utaalamu wa uhakika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani lakini, ila wewe ni mjinga nikiwa namaanisha hujui unacho andika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…