TANESCO bado shida ni kubwa sana, wiki 3 transformer imeungua haijabadilishwa

TANESCO bado shida ni kubwa sana, wiki 3 transformer imeungua haijabadilishwa

polokwane

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2018
Posts
3,361
Reaction score
5,842
TANESCO imeshindwa kabisa kujiendesha kwanza sehemu kubwa ya nchi iko gizani umeme unakatika Zaid ya masaa manane kwa siku na kuna sehemu transformer imeungua watu wako gizani wiki ya 3 hiii sasa na hakuna hata matarajio,na kuna maeneo watu wanakatiwa umeme Zaid ya saa 24 na bado ukirudi haudumu hata masaa 6.

Huko TANESCO kuna kuna zimwi gani ambalo linakwamisha hili shirika miaka yote tangu Uhuru? Zimwi ambalo Marais wote wameshindwa kuling'oa ? Maana matatizo ni yale Yale miaka yote.
 
Weka picha,taja eneo kama vyote hutaji hakuna maana ya kuingia JF
 
20230929_221501.jpg
 
mwakani kinu cha kwanza pale nyerere kitafunguliwa ..hii ni mwarobaini tosha walah

sijui chadema wataweka wapi sura zao
 
Ukiona hivyo ujue Hakuna 'wakubwa' wanaoishi mtaani kwenu.
 
Ndugu yangu baki tu hukohuko kwa waliostaarabika
Nami nataka nirudi nchi ya asili ya baba yangu Rwanda. Hii nchi ni majanga kila kona.
Kwa kweli wanahuzunisha sana
Yaani mimi sijawahi kuona umeme umekatika hapa tangu nimekuja miaka 30 na ushee
Bora nikae huku huku na hiyo Hadhi maalum sina shida nayo Makamba akae mayo tu
Labda nije kustaafu Rwanda

Huko wiki iliyopita wwliuza transformers 8 kama chuma chakavu
Halafu wanaona sawa tu shame on you guys
 
Back
Top Bottom