TANESCO board split on MD Rashidi's fate

TANESCO board split on MD Rashidi's fate

Kuna mkuu alishasema hapo juu, kama mtu uwezo wake wa kuelewa ni mdogo ni mdogo tu, hata ajitutumue vipi.

Na hata kanisa haliwezi kusaidia, nini kanisa, hapa hata kupunga madogoli bure tu.

Mtu logic simple ya if A then B haipandi unategemea utaelewa Collisional decoherence observed in matter wave interferometry?
.
Blueray, achana na mambo ya logic hapa, tuendelee kukata isues kichwa kichwa, na haya mabombastic unayotushushia sasa, unataka tuingie JF dictionary?.
 
- Uelewa mkubwa na mdogo huonyeshwa na maisha ya claimers, kabla ya maandishi yao, ndipo tunapotikisa vichwa kwamba kulikoni! Bwa! ha! ha!

FMEs!


Na kukumbatia mediocrity ndiyo hallmark ya uelewa kwako?

Mimi sikumbatii hii humility potofu inayotusababisha tuwe nyuma mpaka leo, mtu akichemka kachemka na anaambiwa, kitu na box, mambo ya transparency.

Habari za kuleana kuleana, heshima heshima za uongo si ndiyo tunayoyalalamikia hap kila siku kwamba yanafuga ufisadi na kutusababishia matatizo lukuki? Kama tungekuwa na transparency tungekuwa na matatizo yote tuliyo nayo sasa? Sasa kama mimi nakuona unachemka kwa nini iwe ujinga kwangu kusema kwamba unachemka na unaongea kama mtu asiye familiar na concepts basic kama journalistic integrity? Unaona kitu academic kichizi wakati kitu kina athira direct.

Mtu akiwa hana argument anaambiwa hana argument, mtu akiwa na weak argument anaambiwa ana weak argument, mtu akija na argument hazijaenda shule anaambiwa, no apologies.

Sasa kama kuna utamaduni wa kulea mediocrity unaosema ili uonekane una akili inabidi uwe na upole wa kijinga, wa kufuga mediocrity, mimi siamini katika akili hii.

I am bold and outspoken.Kama huoni umuhimu wa principles za uandishi wa habari katika kujenga taifa bora basically unachoniambia ni kwamba sio tu hujaenda shule na kwamba hata kama umeenda shule umetupa hela tu, bali pia unaniambia kwamba hata kujielimisha mwenyewe kwa kushika vitabu na kusoma kutoka maisha umeshindwa.
 
Namshukuru Tina kwa kuleta mjadala huu, namsikitikia Zitto kama kweli atakimbia jumla hapa JF, lakini pia naamini mwandishi wa Kulikoni alie rip hapa JF na mhariri wake kuipitisha kuwa headline story yao, inashusha credibility ya gazeti lao ambalo lilishajipambanua kwa investigative journalism hapo mwanzo, likaja kwenye witch hunting, to character assasinations sasa limeingia kwenye shoptalks za vijiweni linaelekea kaburini kama sio kugeuka la udaku!.

Naamini pamoja na mwandishi kuwako humu, na kutojitokeza kuutetea utumbo wao, hiyo inamaanisha somo kwake pia limeeleweka, natanguliza shukrani.
 
.
Blueray, achana na mambo ya logic hapa, tuendelee kukata isues kichwa kichwa, na haya mabombastic unayotushushia sasa, unataka tuingie JF dictionary?.

Nakuonyesha tu kwamba kuongelea kitu kama "journalistic integrity" kwa watu fulani ni sawa sawa na kumpigia mbuzi gitaa, au kujaribu kumfundisha ng'ombe superposition ya quantum physics.

Angalau kuna watu wengine wanaelewa, kuna wengine hasara tupu hap.
 
I am bold and outspoken..
Blueray be modarate, don't be too bold and too outspoken, there is a price to pay, kama bold na outspoken Zitto has been sent the bill to pay the price ameshindwa kulipa, Blueray utasimama?.

Kama huoni umuhimu wa principles za uandishi wa habari katika kujenga taifa bora.
We have a big problem na waandishi wetu wa habari, fani imevamiwa, hitaji la specialization kwenye media zetu ni kubwa, wale waandishi wazuri wanaopata fursa za specialization wakishapata nondo huishia kwenye greener pasture, kina Mkapa, Mwakiembe, Palamagamba Kabudi, Sengodo Mvungi etc, wote walikuwa waandishi wakalala mbele jumla.

Pia pamoja na mapungufu yote kwenye tasnia ya habari, lazima tuwapongeze waandishi makini ambao uandishi kwao ni wito, ambao bado wanafanya kazi nzuri, wengine wameshaspecialize kwenye fani nyingine zenye mafao bora, lani bado wamekumbatia fani ya uandishi kwa vile kwao uandishi uko kwenye damu, wanastahili big up!.
 
Zitto nafarijika sana ninapokuona online hata kama umekaa kimya. Zitto wewe ni kichwa, uchangiaji wako humu unatokana na potential ulionayo, the more you give out, the more you get in, kwa kukaa kimya, kususa au kupumzika, kutakufanya uwe stagnant, just swallowing in without taking out kutakufikisha mahali you will full up to the point you can't take anymore na brain yako itakuwa saturated very soon sio kwa kuweka akiba ili siku ukishusha ushushe haswa, utajashangaa siku unataka kushusha, kunaweza tokea blast!.
 
Zitto nafarijika sana ninapokuona online hata kama umekaa kimya. Zitto wewe ni kichwa, uchangiaji wako humu unatokana na potential ulionayo, the more you give out, the more you get in, kwa kukaa kimya, kususa au kupumzika, kutakufanya uwe stagnant, just swallowing in without taking out kutakufikisha mahali you will full up to the point you can't take anymore na brain yako itakuwa saturated very soon sio kwa kuweka akiba ili siku ukishusha ushushe haswa, utajashangaa siku unataka kushusha, kunaweza tokea blast!.

Ni Zitto yupi huyo?
 
Bora nchi irudi kwa uongozi wa makabial; kichifu, kimangi, kitemi, etc kila eneo litajijua kuliko huku kwa rais mmoja na siasa na maamuzi yasona manufaa kwa jamii. Tangu miaka yote tuko pale pale kimaendeleo. Wakati wa Mkapa tulishika kasi kidogo hata vile barabara zikaongezeka ila sasa duuh!
 
Zitto Kabwe could be on his way to political extinction.

Ndugu yangu Zitto kazania hiyo digrii ya uzamivu uje ufundishe huku Bongo.
 
unajua hapo ndipo tunaanza kujiuliza labda kulikuwa na ka ukweli fulani kalichomfanya Zitto aenguliwe kwenye mchakato wa kugombea uenyekiti pale Chadema, wazee walishaona chama kingepotea

Mtu anapokuwa mtata ni sawa na kudeal na an unknown entity!
 
That is a central question.

Huh muzee upo, I am still inclined to believe that the two Zittoes merge in the horizon.
Only that the Zito Hon. has decided to take the back streets on this issue.
 
Wakuu nitauliza tena swalki langu..
Ni lini na wapi Zitto aliyasema ama kuyaandika haya ya kusifia uongozi wa Rashid..
Maanake nashindwa kufuatilia mada hii
 
Wakuu nitauliza tena swalki langu..
Ni lini na wapi Zitto aliyasema ama kuyaandika haya ya kusifia uongozi wa Rashid..
Maanake nashindwa kufuatilia mada hii

Pre-emptive strategy...........!

Umpende usimpende Rashidi, ni one of the best CEOs of our Parastatals.

Siasa...........! tungeacha mashirika yakawa na bodi huru na kuziwekea malengo na kuzipima kutokana na malengo mashirika haya yangeenda vizuri sana. Siasa zinaingia sana na huyu Rashidi ni mmoja wa CEOs anayewakatalia wanasiasa waziwazi. Wanamchukia sana. Mfano kawaambia Wizara walipe pango la jengo la TANESCO, wizara eti hawataki..... CCM nao wameng'ang'ania Rest House ya TANESCO dodoma, amewatimua. Wamekasirika. Basi ni matatizo tu..... Sasa kwenye kampeni wanataka waweke CEO goigoi awape pesa maana Rashidi hatakubali na wao wameshazoea.....

hizo hapo juu ndio baadhi ya Statements za "Zitto wa JF".......na point ni kuwa mwandishi wa kulikoni hakufanya kazi yake ipasavyo (kutokana na ethics za kiuandishi)....alitakiwa a-verify source.....badala ya kumeza tena kwa kuchagua.......
 
Mkandara unaona kazi tuliyo nayo mkuu wangu?

And then watu wana audacity ya kusema hili ni swala academic, nasoma correction section ya Sunday NYT hapa, najiuliza sasa ningekuja na standards kama za NYT wangeniitaje hapa.
 
.............Niliwahi kuandika hapa kwa kirefu naichukuliaje JF, lakini moja ya mtazamo wangu kuhusu JF ni kuwa hivi ni chombo cha habari, pia ni kama kijiwe cha kijamii cha mijadala, lakini pia ni kama mkutano wa majadiliano katika mji (town hall meeting), naitazama pia JF kama mkutano wa hadhara ambao kila mmoja yuko huru kuhutubia!...........

Is this John Mnyika yule wa Chadema?
 
Mkandara unaona kazi tuliyo nayo mkuu wangu?

And then watu wana audacity ya kusema hili ni swala academic, nasoma correction section ya Sunday NYT hapa, najiuliza sasa ningekuja na standards kama za NYT wangeniitaje hapa.
Bluray, be serious mkuu.
Standards za NYT kwa jamaa tunaolalia vipande vya muhogo gizani?
 
Back
Top Bottom