- Haya ni matusi yako ya kawaida ya kuficha uwezo wako mdogo wa kuelewa na kufikiri, siku zote kukimbilia maneno makubwa kutoka kwenye dictionary, wakati unajua kwamba huna lolote, ninakuomba swali dogo sana kwamba huyo uliyemjadili kule juu ni Zitto yupi mbunge au siye, badala yake unaleat matusi kwamba unajua sana, waliosoma na elimu kubwa kama unayodai kuwa nayo hawafanyi kazi unazofanya, tena mbili kwa wakati mmoja,
- Utupu wa bin-adam huanzia maisha yake ya kila siku na hasa nyumbani kwake, kabla hajaja hapa JF, wewe binafsi unalielewa hilo tena vizuri sana nisingependa kulifafanua zaidi maana itakuwa aibu nikiamua kuongelea utupu wako kichwani mwako mpaka kwenye maisha yako masikini ya Mungu, jibu swali dogo sana mkuu eti huyu Zitto unayemuongelea pale juu ni yupi mbunge au siye?
- Hizi zako tunaita kelele za mlango, ni kelele za kichaa au mlevi asiyejua hatma yake, masikini ya Mungu, ninakuuliza swali dogo sana naomba usema huyu Zitto unayemjadili pale juu ni mbunge au siye, tizama majibu yako pumba tupu na inatia hata kinyaa kusoma, ka-degree kamoja kakusotea miaka saba tena kakubembeleza kulipiwa na serikali hiyo hiyo unayoitukana hapa kila siku, shukrani ya punda,
- Waandishi wa hii arrticle did a very good job, angalau viongozi wetu wote wa Tanzania sasa watajifunza kwamba uongozi ni dhamana tu kutoka kwa sisi wananchi, na kwamba tukishakupa uongozi ni lazima uwe makini maana hukulazimishwa kuwa na wapo wengine wengi wanaweza kuwa pia, kila unachosema ni kazi yetu wananchi kukipima uzito wake kwa masilahi ya taifa letu, it does not matter umesemea wapi ukisema umesema, tunawamiania waandishi wetu kutufikishia maneno yako na tutayachambua kama tulivyofanya hapa, na kiongozi kuishia kususa kwamba hatachangia tena, alipotuletea dataz za waziri wetu kusaini mkataba wa madini kule London hotelini hakuona tatizo juu ya upatikanaji wake, lakini leo amenukuliwa maneno tu tayari anasusa, ndivyo tulivyo!
- Utupu wa akili ni pale unapodai kwamba unataka kujua Integrity ya Source of the article, wote tunajua kuwa the source ni hapa JF ambapo na wewe ni member sasa what is your point kwamba hapa tuna Integrity ambayo ni suspect? Okay hiyo inakuweka wapi wewe kama ni member wa JF? Anajaribu kukata mti alioukalia mwenyewe, halafu eti ana elimu kubwa sana kuliko wote humu, pole sana kaka sasa nimeelewa chanzo cha matatizo yako mengi ya maisha kumbe ni majivuno hewa? Kujikweza kweza na kukimbilia Michuzi kujiweka weka mipicha na kujisheua sheua kumbe masikini ya Mungu ni mtupu kabisa kichwani, mkuu jitizame tena kwenye kioo halafu uje tena hapa usema kwamba una elimu na akili nyingi sana kuliko wote hapa, kwanza inatia kinyaa kwa tunaoelewa sasa usinilazimishe kumwaga mtama hapa!
- Bado ninasubiri jibu la swali langu dogo Zitto uliyemjadili pale juu ni yupi mbunge au? maana ndio the only way tunaweza kuendelea na huu mjadala respectively tukisha etsablish hilo kama Zitto mbunge kweli au siyo!
- Halafu soma tena hapo chini ni summary nzuri sana kuhusu mjadala mzima hapa, kwa maoni yangu!
FMEs!
FMES umenifananisha au unacheza mind games, kwa taarifa tu mimi sijalipiwa na serikali hata senti tano nyekundu. Unlike some people I know ambao wamekaa kwenye nyumba za serikali na kulipiwa shule na serikali maisha yao yote, mpaka kuhamisha familia za ofisa wa ubalozi Uingereza arudi Tanzania kwa sababu watoto zao wapate nyumba za bure za kulipiwa na serikali.
Halafu watu hawa hawa wanakuja hapa na kujishaua kwamba wanapigana na ufisadi.
These same people of "They can go to Hell" fame, leo wanajitia kuja hapa kupigana na ufisadi wakati ufisadi ndio uliowazaa, kuwalea na kuwakuza.
Iko wapi ile makala ya Jenerali Ulimwengu kuhusu kitoto cha kifisadi kilicholelewa kifisadi na kukuzwa kifisadi hakiwezi kuepuka ufisadi hata kwa udi na uvumba.
Mimi ni hustler, sijawahi kulipiwa elimu ya juu na serikali ya Tanzania kwa taarifa yako. To the contrary, nawasaidia watanzania ndugu zangu promising ambao serikali imeshindwa kuwasomesha huko.I see you are fishing for personal information by pretending that you know me, the more you pretend to know me the more you show that you don't know jack about me.
Tafadhali sana kuhusu swala la kwamba mimi nimesema nina akili sana na distortion hizo, mimi sikusema hilo, na kusema kwako hilo kunathibitisha kile ninachokisema mara kenda mara kenda hapa, kwamba wewe hamnazo, kitu ambacho wewe unakichukulia kwamba mimi ninasema nina akili sana.
Mimi ninaweza kuwa na akili kidogo sana, lakini kuona kwangu kwamba wewe hamnazo kunathibitisha kwamba mtu hahitaji akili nyingi kukujua kwamba wewe mtupu.
Sijasema kwamba nina akili sana, nimesema wewe mtupu, hivi vitu viwili tofauti kama nilivyo point out hapo juu.
Huyu jamaa FMES inabidi wajaribu kumpunga madogori labda, labda kunaweza kutokea muujiza.But then again thats just wishful thinking, siamini miujiza, this guy is doomed.
Yaani mwenyewe kang'ang'ania JF source, JF source ya nani? Mtu unaenda kuandika kwenye gazeti kwamba fulani bin fulani kaandika JF? Ulimuona akiandika?
Watu wakiandika hapa na kutumia jina lako halisi FMES, halafu kesho ukawa quoted kwa jina lako halisi kwamba ni wewe uliyesema maneno mbofumbofu hapa utajisikiaje?
Mbona unashindwa kuelewa principle hii ndogo tu? hivi ni kweli unashindwa kuelewa standard ya verification ya uandishi ndogo hii au unafanya makusudi kwa sababu ya unazi wako.
Maana unajionyesha kuwa ni mtupu kiasi naanza kupata mashaka kama ni kweli mtupu hivyo au unaplay political games za "my political point of view, right or wrong".
Ka!