TANESCO board split on MD Rashidi's fate

TANESCO board split on MD Rashidi's fate

Zitto huna haja ya kutoka JF, ulichangia mjadala kwa kuonekana ukitumia vyeo vyako vyote vya ubunge na kama Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ndio maana baadhi ya takwimu ulizitoa katika kumtetea Dk Idris zilitokana na hesabu zilizowasilishwa katika Kamati yako.


Hili pia ni fundisho kwako
na nakumbuka uliwahi kushauriwa na mwanaJF mmoja kuhusu misimamo unayojiamini kuwa nayo kuwa wakati fulani inahitaji kupitiwa kwa makini.Labda ungekuwa na wataalamu wa mawasiluiano ya umma kwa karibu wangekusaidia nini cha kusema wapi na wakati gani.Lakini ukiacha hilo gazeti msimamo wako wa jana uliwashangaza wanaJF wengi.


Mara kadhaa ulitetea wazi humu kuwa Dk. Idris ni makini na mtawala mweledi, sasa unaogopa vipi kivuli chako jamaa walipoandika ulichokisema hasa kwa kuzingatia ulikotoka na misimamo yako ya nyuma ukiwa mpinga mafisadi,

- Mkuu Tina kwenye hili niko na wewe 100%, Mheshimiwa Zitto chonde chonde mkuu, wewe ni kiongozi wa taifa meaning kwamba 24/7 unakuwa kazini ndio maana tunatumia hela nyingi sana za sisi walalahoi kuwalipa wabunge kama wewe, sasa eti ulikuwa hujui kwamba anytime unapoongea siasa unakuwa unaweka msimamo wako wazi ni halali kwa yoyote yule kuku-quote as maneno yako kama kiongozi na pia ni msimamo wako on the ishu?

- Eti unasema ulikua hujui hilo? wakati unaigia hapa kwa jina lako mwenyewe na hukulazimishwa na mtu? Hivi hukuona wenzako kutoka huko Chadema walianza hapa na majina yao ya kweli walipoona joto ya jiwe wakakimbia na kuja na majina fake, wakiogopa kama sisi walalahoi huku wakidai hawaogopi wanataka kutukomboa!

- Sasa kweli maneno umesema mwenyewe, halafu una-chicken out na visingizio uchwara hapa for what ili tukupe sympathy, Zitto kwa hili hukuonewa na wala hakuna cha kuandikwa kwa nia mbaya, umesema imeandikwa kama ulivyosema, unaruhusiwa ku-recant lakini sio kukimbia kivuli chako mkuu, hivi hili taifa tumelogwa na nani I mean uoga uoga unaogopa nini mkuu? Kama ulichosema ndio unachokiamini inakuwaje saa ya kuhesabiwa inafika unakimbia na kuruka kama kunguru!

- Halafu humu kuna watu wanajaribu hata kukutetea for what? Eti Tanzania tuna sheria inayosema maneno ya mbunge yanatakiwa kuwa quoted akiongea bungeni, lakini sio kwenye mitandao? Nonsense! Vita vidogo tu hivi vya maneno na propaganda vinawatoa kamasi halafu mnatuambia eti mnaweza kushindana na mafisadi, pleasee!

- Zitto rudi hapa na usimame kama mwanaume, maneno umeyasema mwenyewe sasa beba tu msalaba wako hapa, JF juu zaidi na Mungu aibarikie JF kumkoma nyani idumu milele!

Respect.


FMEs!
 
Hivi hawa waandishi uchwara wakiambiwa wathibitishe huyu Zitto wa JF ndiye Zitto mbunge watathibitishaje?

Wanamuandikia mtu article kutokana na maandiko ya JF wakati hata hawawezi kuthibitisha kwamba ni yeye kaandika?
 
wanaogopa visivyoogopesha, wanawadanganya waajili wao kua wanafanya uchunguzi wakina kumbe tunashinda nao humu jamvini

Mbona wametaja na kuandika wesite kamili ya jamii forums? Ninyi ndo wavivu wa kusoma mnakurupuka tu kulaumu waandishi. Kwamnza kwa JF ni heshima kubwa kwamba tunayo yajadili ni mazuri na hivyo magazeti yanatusaidia kufikisha maoni yetu kwa wananchi ambao hawawezi ku-access internet.

Nawaomba waandishi wa habari mjitahidi kutembelea JF kila mara na kunapokuwa na hoja nzito zinajadiliwa basi muandike maoni na kuwa fikishia wananchi.

Watanzania ni vigeu geu kama alivyo zitto, mwanzo tuliwahi kulalamika kwamba kwa nini majadiliano yetu humu JF hayaandikwi ktk magazeti, leo mwandishi wa nabari kajitolea kuandika majadiliano yetu ktk gazeti lake....mijitu isiyopenda maendeleo inaanza kutapika....kha!!!

Hakuna mtu mwenye nia mbaya na zitto kama watu baadhi mnavyo dhani lakini lazima akubali kwamba yeye ni kigeu geu na asifikiri yeye ni model politician.....walikuwepo wengi na sasa hawapo tena.
 
Ok kama zitto ni zitto mwenyewe
mimi nafikiri kuna umuhimu wa kumjua huyu tina.her true identity....
I guess ni mtu anaefahamika....
Ame hide kiana.
 
Ok kama zitto ni zitto mwenyewe
mimi nafikiri kuna umuhimu wa kumjua huyu tina.her true identity....
I guess ni mtu anaefahamika....
Ame hide kiana.

Kheh kheh! Boss hujamjua Tina mpaka leo? Vaa miwani yako na this is the clue ni Mwanachama mwandamizi, mjuvi wa kuandika makala lakini mdini hakuna kama yeye lakini hilo analifanya siri kubwa.
 
- Mkuu Tina kwenye hili niko na wewe 100%, Mheshimiwa Zitto chonde chonde mkuu, wewe ni kiongozi wa taifa meaning kwamba 24/7 unakuwa kazini ndio maana tunatumia hela nyingi sana za sisi walalahoi kuwalipa wabunge kama wewe, sasa eti ulikuwa hujui kwamba anytime unapoongea siasa unakuwa unaweka msimamo wako wazi ni halali kwa yoyote yule kuku-quote as maneno yako kama kiongozi na pia ni msimamo wako on the ishu?

- Eti unasema ulikua hujui hilo? wakati unaigia hapa kwa jina lako mwenyewe na hukulazimishwa na mtu? Hivi hukuona wenzako kutoka huko Chadema walianza hapa na majina yao ya kweli walipoona joto ya jiwe wakakimbia na kuja na majina fake, wakiogopa kama sisi walalahoi huku wakidai hawaogopi wanataka kutukomboa!

- Sasa kweli maneno umesema mwenyewe, halafu una-chicken out na visingizio uchwara hapa for what ili tukupe sympathy, Zitto kwa hili hukuonewa na wala hakuna cha kuandikwa kwa nia mbaya, umesema imeandikwa kama ulivyosema, unaruhusiwa ku-recant lakini sio kukimbia kivuli chako mkuu, hivi hili taifa tumelogwa na nani I mean uoga uoga unaogopa nini mkuu? Kama ulichosema ndio unachokiamini inakuwaje saa ya kuhesabiwa inafika unakimbia na kuruka kama kunguru!

- Halafu humu kuna watu wanajaribu hata kukutetea for what? Eti Tanzania tuna sheria inayosema maneno ya mbunge yanatakiwa kuwa quoted akiongea bungeni, lakini sio kwenye mitandao? Nonsense! Vita vidogo tu hivi vya maneno na propaganda vinawatoa kamasi halafu mnatuambia eti mnaweza kushindana na mafisadi, pleasee!

- Zitto rudi hapa na usimame kama mwanaume, maneno umeyasema mwenyewe sasa beba tu msalaba wako hapa, JF juu zaidi na Mungu aibarikie JF kumkoma nyani idumu milele!

Respect.

FMEs!

Sioni sababu wala sikubalini kabisa na nyie mnaosema kuwa Mh. Zitto atafute strategy mpya namna ya kuongea na kuhusian kwake na public. Sikubalina na hili kwasababu wengi tunataka Zitto awe kama avaerage politician wanaokaa muda wote wansema ajenda hii itajadiliwa kwenye vikao, yaani mnataka awe ni mtu wa kusema sio msemaji kamuulize msemaji, mnataka awe ni mtu wa kusema suburi tamko rasmi.

Mimi nadhani wote mnaopendekeza Zitto kufunga speed govern kwenye misimamo na matamshi yake labda hamjajua vizuri histora ya Zitto. Mheshimiwa Zitto amekuwa marufu kwasababu ni outspoken, honest na anayesimamia lile analoamini na ana amini lile alilolisimamia. Ukianzia wakati akisoma, hadi alipokuwa mbunge bado alifanya na kutamka lile analoona na kuamini kutoka moyoni mwake kuwa n sahihi. Na hii ndio point iliyompa credit na hii ndio sifa iliyomfanya to differentiate himself from other politician. Leo hii ukiniwekea Mh. Masha, Mh. Stella manyanya, Bw. January Makamba, hata kama ningekuwa CCM i would go fo Zitto nikiwa kama mwananchi wa kawaida, kwasababu from him I can learn and Understand my country, my government and their functioning structures.

Hata ule mjadala wa Rochmond na uwajibikaji wa Bunge wengi ulijifunza kitu kikubwa sana kwenye mabishano yaliyokuwa yanaendelea kati ya Zitto na Mwanakijiji, Leo mnasema abaki kimya, He will not be the same Zitto. Mumeona Masha kaulizwa hapa jamvini last week yuko wapi? Hata Zitto tutamuuliza uko wapi, na kibaya zaidi watu watakuja na allegation kuwa alishapewa chake kaweka mfukoni ndio maana yupo kimya.

Mimi ningemshauri, DAIMA MBELE (N. Nkrumah) Hakuna kurudi nyuma, umekuwa mkweli na unataka watu wajue kweli, sio wote watakubali kweli, lakini wewe hii ndio style iliyokuweka hapo ulipo why Change??? Na kama una nia ya kweli ya kuja kuwa kiongozi wa juu wa nchi hii then you need to inform your self and impert the information you have to the people around you, it will help them to understand that you have something extra also it will enourish them and enlighten them to see and understand the truth.
Good Luck
 
Ok kama zitto ni zitto mwenyewe
mimi nafikiri kuna umuhimu wa kumjua huyu tina.her true identity....
I guess ni mtu anaefahamika....
Ame hide kiana.

Kanuni moja ya msingi kabisa ya uandishi wa habari ni kuwa na reliable sources, attributable sources, identifiable sources (hata kama unataka kuziprotect, lakini ni lazima ziwe na hizo attributes)

Sasa how reliable, attributable and identifiable is a pen name on JF?

Mimi nikijisajili kwa jina la Kikwete hapa na kutoa comments kesho wataweza kum quote rais Kikwete through JF? Ni kitu gani hasa kinachowapa confidence kwamba huyu Zitto wa JF ndiye Zitto mbunge?

Na hata kama huyu Zitto wa JF ndiye Zitto mbunge (kitu ambacho wengi wetu tunaonekana kuamini on good faith tu), watajuaje kama siku moja Zitto kaenda internet cafe, ka login with the option to have the browser remember his password, kasahau kuondoa hiyo login alivyolog out, then mtu aliyekuja nyuma yke akakuta Zitto ka login JF n kuandika maneno kwa kutumia jina la Zitto?

Watajuaje kama huyu si Zitto ila ni maadui wa Zitto ambao somehow wamepata password ya Zitto na kuamua kumuweka Zitto katika matatizo kwa kusema maneno controversial.

Point ninayotaka kusema hapa, ningewaelewa kama wangetumia maneno haya ya JF kama chanzo, na baada ya hapo kutaka kuongea naye Zitto, bwa mkubwa tumeona umesema hivi JF, ni kweli? Unaweza kuthibitisha? Unaweza kufafanua zaidi? Una maslahi binafsi? Wangepata bonge la article lenye flow na interactivity.

Sasa hivi mi nawaona kama waandishi habari uchwara waliofikisha deadline bila habari wakaona bora waje JF kuibia "habari" zisizothibitishika.
 
Point ninayotaka kusema hapa, ningewaelewa kama wangetumia maneno haya ya JF kama chanzo, na baada ya hapo kutaka kuongea naye Zitto, bwa mkubwa tumeona umesema hivi JF, ni kweli? Unaweza kuthibitisha? Unaweza kufafanua zaidi? Una maslahi binafsi? Wangepata bonge la article lenye flow na interactivity.

Sasa hivi mi nawaona kama waandishi habari uchwara waliofikisha deadline bila habari wakaona bora waje JF kuibia "habari" zisizothibitishika.
I buy your Idea. Nadhani kuna kitu wanakiita balancing the story, sasa ilikuwaje hakuwabalance hii story? Hapo kuna tatizo nakubaliana na wewe.

Lakini pia kwanini waandishi wetu wanaandika story katika hali ya kuhukumu/judgemental kwa mfano kwa kusema "katika hali ya kushangaza" hapo wanaweza kusema watu wangapi wameshangaa??? kwasababu hta hapa JF wapo walioshangaa tupo wengi tulio kubaliana na mwazo yake, mbona hawajasema sisi tulio msupport kuwa wapo watu wengi pia walikubaliana na hoja zake. Nadhani huu sio uripotiji mzuri, nadhani walichopaswa ni kuwakilisha hoja na vigezo alivyotoa bila kuamua kama alikosea au laa, bila kuweka chumvi za kuonyesha kuwa huo msimamo unawalakini au la
 
Sioni sababu wala sikubalini kabisa na nyie mnaosema kuwa Mh. Zitto atafute strategy mpya namna ya kuongea na kuhusian kwake na public. Sikubalina na hili kwasababu wengi tunataka Zitto awe kama avaerage politician wanaokaa muda wote wansema ajenda hii itajadiliwa kwenye vikao, yaani mnataka awe ni mtu wa kusema sio msemaji kamuulize msemaji, mnataka awe ni mtu wa kusema suburi tamko rasmi.

Mimi nadhani wote mnaopendekeza Zitto kufunga speed govern kwenye misimamo na matamshi yake labda hamjajua vizuri histora ya Zitto. Mheshimiwa Zitto amekuwa marufu kwasababu ni outspoken, honest na anayesimamia lile analoamini na ana amini lile alilolisimamia. Ukianzia wakati akisoma, hadi alipokuwa mbunge bado alifanya na kutamka lile analoona na kuamini kutoka moyoni mwake kuwa n sahihi. Na hii ndio point iliyompa credit na hii ndio sifa iliyomfanya to differentiate himself from other politician. Leo hii ukiniwekea Mh. Masha, Mh. Stella manyanya, Bw. January Makamba, hata kama ningekuwa CCM i would go fo Zitto nikiwa kama mwananchi wa kawaida, kwasababu from him I can learn and Understand my country, my government and their functioning structures.

Hata ule mjadala wa Rochmond na uwajibikaji wa Bunge wengi ulijifunza kitu kikubwa sana kwenye mabishano yaliyokuwa yanaendelea kati ya Zitto na Mwanakijiji, Leo mnasema abaki kimya, He will not be the same Zitto. Mumeona Masha kaulizwa hapa jamvini last week yuko wapi? Hata Zitto tutamuuliza uko wapi, na kibaya zaidi watu watakuja na allegation kuwa alishapewa chake kaweka mfukoni ndio maana yupo kimya.

Mimi ningemshauri, DAIMA MBELE (N. Nkrumah) Hakuna kurudi nyuma, umekuwa mkweli na unataka watu wajue kweli, sio wote watakubali kweli, lakini wewe hii ndio style iliyokuweka hapo ulipo why Change??? Na kama una nia ya kweli ya kuja kuwa kiongozi wa juu wa nchi hii then you need to inform your self and impert the information you have to the people around you, it will help them to understand that you have something extra also it will enourish them and enlighten them to see and understand the truth.
Good Luck

- Mkuu what is the point here? Zitto alisema hayo maneno aliyowekewa kwenye gazeti au hakusema?

es!
 
Kanuni moja ya msingi kabisa ya uandishi wa habari ni kuwa na reliable sources, attributable sources, identifiable sources (hata kama unataka kuziprotect, lakini ni lazima ziwe na hizo attributes)

Sasa how reliable, attributable and identifiable is a pen name on JF?

Mimi nikijisajili kwa jina la Kikwete hapa na kutoa comments kesho wataweza kum quote rais Kikwete through JF? Ni kitu gani hasa kinachowapa confidence kwamba huyu Zitto wa JF ndiye Zitto mbunge?

Na hata kama huyu Zitto wa JF ndiye Zitto mbunge (kitu ambacho wengi wetu tunaonekana kuamini on good faith tu), watajuaje kama siku moja Zitto kaenda internet cafe, ka login with the option to have the browser remember his password, kasahau kuondoa hiyo login alivyolog out, then mtu aliyekuja nyuma yke akakuta Zitto ka login JF n kuandika maneno kwa kutumia jina la Zitto?

Watajuaje kama huyu si Zitto ila ni maadui wa Zitto ambao somehow wamepata password ya Zitto na kuamua kumuweka Zitto katika matatizo kwa kusema maneno controversial.

Point ninayotaka kusema hapa, ningewaelewa kama wangetumia maneno haya ya JF kama chanzo, na baada ya hapo kutaka kuongea naye Zitto, bwa mkubwa tumeona umesema hivi JF, ni kweli? Unaweza kuthibitisha? Unaweza kufafanua zaidi? Una maslahi binafsi? Wangepata bonge la article lenye flow na interactivity.

Sasa hivi mi nawaona kama waandishi habari uchwara waliofikisha deadline bila habari wakaona bora waje JF kuibia "habari" zisizothibitishika.


- Then all Zitto has to say ni kwamba sio mimi Zitto mbunge, kwa hiyo sihusiki na hayo maneno, lakini anasema maneno yamepelekwa kwenye gazeti kwa nia mbaya lakini yeye aliyaweka hapa JF kwa nia njema, pleassee!

Respect.


FMEs!
 
- Mkuu what is the point here? Zitto alisema hayo maneno aliyowekewa kwenye gazeti au hakusema?

es!

Alisema lakini yamewakilishwa kwa mtazamo wa mwandishi, Mwandishi anataka kusema kuwa anachosema Zitto kina walakini. Lakini Pia nilikuwa napingana na wewe kuwa Zitto atafute watu wa kumshauri kuhusu masuala ya mawasiliano, sioni sababu ya kufanya hivyo kwani atakuwa BUBU na mimi naona amejenga jina kwasababu anaongea na wala sio Bubu kama wengine. Umenipata?
 
I buy your Idea. Nadhani kuna kitu wanakiita balancing the story, sasa ilikuwaje hakuwabalance hii story? Hapo kuna tatizo nakubaliana na wewe.

Lakini pia kwanini waandishi wetu wanaandika story katika hali ya kuhukumu/judgemental kwa mfano kwa kusema "katika hali ya kushangaza" hapo wanaweza kusema watu wangapi wameshangaa??? kwasababu hta hapa JF wapo walioshangaa tupo wengi tulio kubaliana na mwazo yake, mbona hawajasema sisi tulio msupport kuwa wapo watu wengi pia walikubaliana na hoja zake. Nadhani huu sio uripotiji mzuri, nadhani walichopaswa ni kuwakilisha hoja na vigezo alivyotoa bila kuamua kama alikosea au laa, bila kuweka chumvi za kuonyesha kuwa huo msimamo unawalakini au la

- Tupunguze unafiki wakuu, mbunge amesema au hakusema, ni yeye Zitto kweli au sio, case closed!

es!
 
- Then all Zitto has to say ni kwamba sio mimi Zitto mbunge, kwa hiyo sihusiki na hayo maneno, lakini anasema maneno yamepelekwa kwenye gazeti kwa nia mbaya lakini yeye aliyaweka hapa JF kwa nia njema, pleassee!

Respect.


FMEs!


Zitto yupi unayemzungumzia wewe huyo? Wa real world au wa virtual world?

Maana kama unamvalidate Zitto wa virtual world kwa kauli za Zitto wa virtual world bado kuna tatizo la validity.

Also, you are missing the entire point kuhusu accountability kwa waandishi wetu.

Mtu akija kukuandika vibaya irresponsibly, by the time unafafanua the damage may already have occurred.
 
- Tupunguze unafiki wakuu, mbunge amesema au hakusema, ni yeye Zitto kweli au sio, case closed!

es!

Mimi naamini Zitto alisema na pia ni yeye, lakini swali langu kwako unadhnai ushuri wako wa kusema kuwa aangalie upya mtindo wake wa kutoa matamko hadharani ni validi au unataka kumuua kisiasa kijana wa watu?
 
Alisema lakini yamewakilishwa kwa mtazamo wa mwandishi, Mwandishi anataka kusema kuwa anachosema Zitto kina walakini.


- Muandishi ameunganisha katika kutafuta kuweka wazi kwamba kwa nini Zitto ana-support Dowans ni kwamba hawa kina Rashid ambao record za utendaji wao wa kazi ni suspect ndio wenziwe, hiyo tu ndiyo iliyokuwa point ya muandishi na ameithibitisha kwa kuonyesha Zitto anaunga mkono kuendelea kwa Rashid na kazi ya Tanesco, what is wrong with that?

- Zitto alichotakiwa kufanya ni kukataa kwamba hakuwa na hii nia aliposema hayo JF, then angeweka wazi nia yake tofauti na ile iliyonukuliwa, Full Stop! Ni vigumu sana kwa mwanasiasa kushindana na waandhisi wa habari na kuwashinda Zitto alipaswa kujua hilo somo mapema sana katika siasa za taifa!

Lakini Pia nilikuwa napingana na wewe kuwa Zitto atafute watu wa kumshauri kuhusu masuala ya mawasiliano, sioni sababu ya kufanya hivyo kwani atakuwa BUBU na mimi naona amejenga jina kwasababu anaongea na wala sio Bubu kama wengine. Umenipata?

- Hapana mimi sikusema hayo na kama una evidence iweke hapa kwamba nimesema haya ya Zitto kutafuta washauri wa what!

es!
 
Kuandika habari kutoka JF sio tatizo na inasaidia kutangaza JF. Hata hivyo kuandika habari maliciously kutatufanya wengine tuogope kutoa mawazo yetu kwa uhuru humu katika jukwaa letu.

Habari hii imeandikwa kwa nia mbaya.

Sasa itabidi niwe msomaji tu JF. Endeleeni na mijadala bandugu.

Zitto


Zitto yupi unayemzungumzia wewe huyo? Wa real world au wa virtual world?

Maana kama unamvalidate Zitto wa virtual world kwa kauli za Zitto wa virtual world bado kuna tatizo la validity.

Also, you are missing the entire point kuhusu accountability kwa waandishi wetu.

Mtu akija kukuandika vibaya irresponsibly, by the time unafafanua the damage may already have occurred.


- Uaamuzi ni wako mkuu kama huyu ni Zitto kweli au sio, sisi tunakata ishu kutokana na tunayoyaona humu JF, kama ni yeye au siye I could careless tunachojali ni maneno hayo juu mkuu yasome tena!

- Infact huyu muandishi aliyemnukuu Zitto anamkumbusha uwajibikaji na kila unachokisema as a politician!

Respect.


FMEs!
 
- Hapana mimi sikusema hayo na kama una evidence iweke hapa kwamba nimesema haya ya Zitto kutafuta washauri wa what!

es!

Tina amemshauri Mh.Zitto kuwa asiseme wazi wazi misimamo yake na wewe ukasema unamuunga mkono 100% (bahati mbaya sijui kufanya multiple quoting)

- Mkuu Tina kwenye hili niko na wewe 100%, Mheshimiwa Zitto chonde chonde mkuu, wewe ni kiongozi wa taifa meaning kwamba 24/7 unakuwa kazini ndio maana tunatumia hela nyingi sana za sisi walalahoi kuwalipa wabunge kama wewe, sasa eti ulikuwa hujui kwamba anytime unapoongea siasa unakuwa unaweka msimamo wako wazi ni halali kwa yoyote yule kuku-quote as maneno yako kama kiongozi na pia ni msimamo wako on the ishu?
 
Tere is a very narrow-minded, black and white, simpleton like way of looking at this, and then there is the complex way.

An if you know anything about the nature of reality, you will know that it is never simple.So those who are oversimplifying this should bear in mind that this is not a simple issue ya "alisema au hakusema" na "kama hakusema si aseme".That is criminally irresponsible, ni kama vile unaruhusu watu kupakaziwa maneno so long as wanaweza kukanusha baadaye. It doesn't work that way.
 
- Uaamuzi ni wako mkuu kama huyu ni Zitto kweli au sio, sisi tunakata ishu kutokana na tunayoyaona humu JF, kama ni yeye au siye I could careless tunachojali ni maneno hayo juu mkuu yasome tena!

- Infact huyu muandishi aliyemnukuu Zitto anamkumbusha uwajibikaji na kila unachokisema as a politician!

Respect.


FMEs!

Tatizo sio uamuzi wangu au wako katika kuamini au kutoamini kwamba huyu Zitto wa JF ndiye mbunge au siye.

Kuna standards za uandishi zinafundishwa katika vyuo vya uandishi, na zinafuatiliwa na magazeti yote yanayojiheshimu duniani. Na kwa mujibu wa standards hizi hii article imeborongwa.Sasa tkianza kuzivunja hizi standards tunaset precedents mbaya.

Leo wataaza na Zitto kasema, kwa sababu ya pen name yake, kesho watakuja kusema Mzee Malecela kasema kwa sababu maneno yameandikwa na mtu anayeshukiwa kuwa ni mwanafamilia yake, ambaye bila shaka katumwa.

Unaona umuhimu wa principles hapo? Unaona umuhimu wa kulinda precedents?

Kwani kulikuwa na ugumu gani kumtafuta Zitto ili kupata sourcing isiyo utata?
 
- The bottom line ni kwamba waandishi waliokujenga mpaka ukawa maarufu ni vigumu sana kushindana nao ukiwa juu walipokuweka kwa kutumia kalamu zao!

- Inapendeza tukijadili hoja zilizotolewa na gazeti kuhusu maneno ya Zitto, na hoja zilizotolewa na Zitto kuhusu ishu ya Rashid! Mengine ya binafsi yapelekwe kwenye PM! Hapa tukate hoja!

Respect.


FMEs!
 
Back
Top Bottom