Tetesi: TANESCO hawataki kuwaunganishia umeme wateja wa Bei ya 27000

Tetesi: TANESCO hawataki kuwaunganishia umeme wateja wa Bei ya 27000

Hio ndiyo mfumo wa Tanzania ulivyo
Kwenye mashirika na tasisi zetu
Mpaka utoe hela ya ziada ndiyo wakufanyie zoezi lao

Ova
huu Ni utakuwa utapeli Sasa, Kuna mtu Ni fukara haswaa,alishindwa kuvuta umeme kwa miaka mingi,aliposikia Bei imeshuka ndio alishawishika kwenda kulipia aunganishiwe umeme,,leo umuambie eti hatounganishiwa Hadi aongeze pesa, hataipata wapi hiyo ya ziada,ilhali ana dhiki Hadi kwenye macho!
 
Ila jamani Tanesco kwa rushwa ishakuwa cancer hapa nchini. Waliolipa 27,000 si kwamba hawaungiwi binafsi nimefuatilia ila kila anaeungiwa umeme hakosi kutoa cha juu. Hili shirika limekiwa kati ya mashirika ninayoyachukia
 
Achana na tetesi achana na kuzu gumza na mafundi hebu mtafute meneja tawi
 
Hao TANESCO Ni Wala Rushwa wakubwa kuliko watu wowote nchi hii Bora hata Polisi, huduma mbovu mlungula wanachukua, Makamba weka displine fukuza Wala Rushwa wote usiwaonee huruma, hatuwezi kuwa na shirika kupata huduma utoe hela wakati wanalipwa mishahara mikubwa tu.
Kuna mzee mmoja Mwanza Alilipia 27000 Mwezi wa 8 Mwaka Jana
Juzi kaenda Kuuliza mbona Kimya
Alicho Elezwa Hana Hamu
 
Acheni uzushi,
Mm binafsi nimeunganishiwa nyumba zangu 2 ambazo nilizilipia 27,000.
Ila nililipiaga 2020 May, nikaunganishiwa March 2022.
 
Issue ni mkataba. TANECO wako ndani ya mkataba na wananchi . Suala ni moja , sheria ikiingia kati Tanesco itaamuliwa iwape umeme watu.
tunawavutia Muda tuwaburuze mahakamani, haiwezekani watu tukae giza Hadi leo
 
hapana,Wala sio issue ya January Makamba kutoka, nanyie acheni siasa zenu za kipuuzi,akitoka yeye ndio itakuwa nini au aje nani
Wachunga ng'ombe wanaona hii tz nzima ni Kalemani pekee ndie mwenye weledi wakuongoza wizara ya nishati,katabia flani hivi kakipuuzi
 
hapana,Wala sio issue ya January Makamba kutoka, nanyie acheni siasa zenu za kipuuzi,akitoka yeye ndio itakuwa nini au aje nani
Wachunga ng'ombe wanaona hii tz nzima ni Kalemani pekee ndie mwenye weledi wakuongza wizara ya nishati,katabia flani hivi kakipuuzi
 
huu Ni utakuwa utapeli Sasa, Kuna mtu Ni fukara haswaa,alishindwa kuvuta umeme kwa miaka mingi,aliposikia Bei imeshuka ndio alishawishika kwenda kulipia aunganishiwe umeme,,leo umuambie eti hatounganishiwa Hadi aongeze pesa, hataipata wapi hiyo ya ziada,ilhali ana dhiki Hadi kwenye macho!
Huyo mtu ana dhiki hadi kwenye macho ila amejenga/anamiliki nyumba
 
Huyo mtu ana dhiki hadi kwenye macho ila amejenga/anamiliki nyumba
nadhani we binti bado hujui maisha, unadhani kila mwenye nyumba yupo vizuri kiuchumi?!
mwingine alifirisika,mwingine mumewe alikufa kabla nyumba haijaisha vizuri labda, mwingine alijenga kwa kuungaunga,baadae akapata ajali let say labda ya bodaboda,now Hana mbele Wala nyuma,na banda lake bado hajavuta umeme , kwaiyo watu dizaini hiyo waliposikia Bei ya Tsh.27000/= Ni lazima walikimbilia kwa wingi hili na wao wapate umeme, mifano Ni mingi sanaaa,

sasa leo umuambie heti inatakiwa aongeze kiasi Cha ziada,atakitoa wapi,

Na hata ambae ana uwezo, inamaana alipoenda kulipia Tanesco,angelipia Bei ya juu zaidi ya hile 27000 , kwakuwa tu angehisi Tanesco wanapata hasara kwahiyo afanye uungwana alipe 321000
 
Wachunga ng'ombe wanaona hii tz nzima ni Kalemani pekee ndie mwenye weledi wakuongza wizara ya nishati,katabia flani hivi kakipuuzi
Wapuuzi Sana hao jamaa,utadhani tangu tupate Uhuru bwana mdogo Kalemani ndio alikuwa waziri wa Nishati
 
Ndio watu waje waseme eti makatani anautaka urais huyu jambazi
 
hapana,Wala sio issue ya January Makamba kutoka, nanyie acheni siasa zenu za kipuuzi,akitoka yeye ndio itakuwa nini au aje nani
Mwizi tu huyo. Mmejaa humu mnaochukua posho kwake mnamtetea. Huyo ameshindwa kazi aachie haraka. Yeye ndio waziri hili liko ndani yake na ndie alieamua watu wapigwe chenga waliolipia 27000 kipindi cha 27000.

Umeuliza aje nani? Aje atajaefuata taratibu zilivyo. Kama walichukua 27000 za watu na wakakubali basi makatani aamue wapewe huduma waliyolipia.
Eti ndio wasomi hao hawafuati utaratibu
 
Huu ni upuuzi, je ingetokea kwamba mtu aliyelipa 27,000/- na kuunganishwa (naamini wapo) halafu Bi. Tozo alivyokana maelekezo yake mwenyewe na kubadili bei, je angefuatwa na kukatiwa umeme na kushurtishwa kulipa tofauti ya bei waliyoamua inafaa?

Kitendo cha kuchukua pesa ya mtu na kumpa stakabadhi tayari kushamfanya mpokea pesa kuwa mdaiwa, kwa sababu amechukua fedha kwa makubaliano ya kutoa huduma/bidhaa, mabadiliko yeyote baada ya malipo hayamuhusu mlipaji.
 
Huu ni upuuzi, je ingetokea kwamba mtu aliyelipa 27,000/- na kuunganishwa (naamini wapo) halafu Bi. Tozo alivyokana maelekezo yake mwenyewe na kubadili bei, je angefuatwa na kukatiwa umeme na kushurtishwa kulipa tofauti ya bei waliyoamua inafaa?

Kitendo cha kuchukua pesa ya mtu na kumpa stakabadhi tayari kushamfanya mpokea pesa kuwa mdaiwa, kwa sababu amechukua fedha kwa makubaliano ya kutoa huduma/bidhaa, mabadiliko yeyote baada ya malipo hayamuhusu mlipaji.
wanachofanya ni uhuni kwakweli
 
Back
Top Bottom