TANESCO, hii hela ambayo surveyor anadai kulipwa na mteja pale anapotaka kuvutiwa umeme ipo nje ya wajibu wake?

TANESCO, hii hela ambayo surveyor anadai kulipwa na mteja pale anapotaka kuvutiwa umeme ipo nje ya wajibu wake?

polokwane

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2018
Posts
3,361
Reaction score
5,842
Kuna hela ambayo kuna mtu anaitwa surveyor hutaka kulipwa pale mteja anapotaka kuvuta umeme, je, kazi hii ni nje na majukumu yake ya kazi?

Maana bila kulipa hii hela aisee huyo surveyor hadi akufikie utazeeka huna umeme.
 
Ishi Kitanzania,ccm na serikali yake wametulemaza yaani imewadekeza na kuwaacha wafanyakazi wake kufanya wanavyotaka.

Siyo huyo surveyor tu,utashangaa zaidi siku watakuja kukuwekea wire hao hao watakwambia kwa jinsi hapa palivyo inabidi zoezi tuliahirishe umuite surveyor upya aje aangalie sasa usipojiongeza watakuacha gizani,mimi walikuja wakaanza kupiga piga simu unajua main switch sijui umeweka jikoni hairuhusiwi nikawaambia nyie ingizeni wire halafu mkimaliza mniambie faster tu ukawaka.
 
Ishi Kitanzania,ccm na serikali yake wametulemaza yaani imewadekeza na kuwaacha wafanyakazi wake kufanya wanavyotaka.

Siyo huyo surveyor tu,utashangaa zaidi siku watakuja kukuwekea wire hao hao watakwambia kwa jinsi hapa palivyo inabidi zoezi tuliahirishe umuite surveyor upya aje aangalie sasa usipojiongeza watakuacha gizani,mimi walikuja wakaanza kupiga piga simu unajua main switch sijui umeweka jikoni hairuhusiwi nikawaambia nyie ingizeni wire halafu mkimaliza mniambie faster tu ukawaka.
Nchi imekuwa ya rushwa ,rushwa tupu kila mahali
 
Kuna hela ambayo kuna mtu anaitwa surveyor hutaka kulipwa pale mteja anapotaka kuvuta umeme, je, kazi hii ni nje na majukumu yake ya kazi?

Maana bila kulipa hii hela aisee huyo surveyor hadi akufikie utazeeka huna umeme.
Ungemuuliza hiyo hela anayotaka ni yanini Je inarisiti au ni matakwa binafsi.Tujifunze kutengeneza Critical questions.
 
Ungemuuliza hiyo hela anayotaka ni yanini Je inarisiti au ni matakwa binafsi.Tujifunze kutengeneza Critical questions.
Unavyo ongea utadhani upo Hispania nchi ikisha kuzwa katika misingi ya rushwa ni msiba
 
Kuna hela ambayo kuna mtu anaitwa surveyor hutaka kulipwa pale mteja anapotaka kuvuta umeme, je, kazi hii ni nje na majukumu yake ya kazi?

Maana bila kulipa hii hela aisee huyo surveyor hadi akufikie utazeeka huna umeme.
Watakuambia wape namba yako ya simu, utaje mahali ulipo, usipokuwa makini utapigwa na kitu kizito
 
Ungemuuliza hiyo hela anayotaka ni yanini Je inarisiti au ni matakwa binafsi.Tujifunze kutengeneza Critical questions.
Tengeneza critical question ufungiwe umeme baada ya miezi 11.

Utapoteza muda wewe hadi ujute,shida ya nchi hii hakuna anayemwajibisha mwenzake so hata ukienda kulalamika kwa wa juu yake anakwambia andika malalamiko yalete ofisini ukipeleka unapangiwa siku ya kusikilizwa huo muda wa kupoteza hivi unautoa wapi?
 
Ungemuuliza hiyo hela anayotaka ni yanini Je inarisiti au ni matakwa binafsi.Tujifunze kutengeneza Critical questions.
Watakuambia wape namba yako ya simu, utaje mahali ulipo, usipokuwa makini utapigwa na kitu kizito
Ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo, huduma zote zinazolipiwa huwa mteja anaelekezwa na shirika jinsi ya kulipia na huwa na control namba, hivyo saveya hatakiwi kukulipisha kwa huduma yoyote kama hujapewa contol number ya malipo ya serekali.^OK
 
Ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo, huduma zote zinazolipiwa huwa mteja anaelekezwa na shirika jinsi ya kulipia na huwa na control namba, hivyo saveya hatakiwi kukulipisha kwa huduma yoyote kama hujapewa contol number ya malipo ya serekali.^OK
Washakujibu
polokwane

Ova
 
Ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo, huduma zote zinazolipiwa huwa mteja anaelekezwa na shirika jinsi ya kulipia na huwa na control namba, hivyo saveya hatakiwi kukulipisha kwa huduma yoyote kama hujapewa contol number ya malipo ya serekali.^OK
Unavyojibu utadhani hujui kinachoendelea huko Site
 
Tanesco, halmashauri na ardhi ni moja ya magenge ya kiharifu dhidi ya wananchi hapo Tanzania
Kuna hela ambayo kuna mtu anaitwa surveyor hutaka kulipwa pale mteja anapotaka kuvuta umeme, je, kazi hii ni nje na majukumu yake ya kazi?

Maana bila kulipa hii hela aisee huyo surveyor hadi akufikie utazeeka huna umeme.
Tanesco, halmashauri na ardhi ni moja ya magenge ya kiharifu dhidi ya wananchi hapo Tanzania
 
Back
Top Bottom