Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
upendeleo sio lazma ujenge airport kijijini kwenuMaharage chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa tariff mpya pia .
Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma ndio imemtaka afute deni hilo akipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama
Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo wenzao huko bara mwendo mdundo
USSR
Juzi kwenye maadhimisho ya masekretari akasema wazi kabisa nilitaka mje muijue Zanzibar.Samia ni mbaguzi sana ataipeleka nchi yetu kubaya, yeye kila kitu ni Zanzibar kwanza na wenzake...
Kwa nchi zinazo jitambua hili haliwezekaniWatanganyika tumekuwa mazuzu hili demi limesamehewa kwa misingi gani wakati hata pesa za kuendesha Muungano hawatoi
Nani kama MAMAAA NANI KAMA MAAA.Maharage chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa tariff mpya pia .
Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma ndio imemtaka afute deni hilo akipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama
Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo wenzao huko bara mwendo mdundo
USSR
Bei ya kuunganishwa umeme Zanzibar ni Tz 27,000 tu. Na Mzanzibar akichelewa kulipa bili ya TANESCO wanamfutia deni!!JPM alishusha bei ya kuunganisha umeme ili kila kujiji kipate umeme. Ulikuwa mpango mahsusi ambayo nchi nyingi zimefanya, ukianza na Marekani ili kuhakikisha vijiji vinapata umeme. Leo wameongeza bei ya kuunganisha umeme huku wakisameheana mabilioni!!!?
Ndio matunda ya muungano kwa wabara, tulieni mnarejeshewa furaha iliyopotea awamu ya 5.Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.
USSR
Ila Bara kuunganishiwa umeme kwa 27000 ni hasara kwa TANESCO.Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.
Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.
Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.
USSR
Kwanini tunawabeba sana hawa wala urojo?Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.
Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.
Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.
USSR
Amesema haya neno wapi na lini?Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.
Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.
Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.
USSR