TANESCO imeisamehe Zanzibar deni la umeme la bilioni 60

TANESCO imeisamehe Zanzibar deni la umeme la bilioni 60

Tanesco Tukumbukeni na sisi huku Tanganyika!
Tupunguzieni hata bei ya Unit!
Ikiwezekana hata mara.4 Kwa mwaka..[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.

USSR
Ndio faida ya kulazimsha Muungano hiyo, mtajua hamjui. Wazanzibari akili kubwa. Itoeweni Tanganyika yenu mlikoificha.
 
Kwanini wasilipe ili na sisi tukalipe wakandarasi waliotujengea Bwawa mwisho wa siku bei kwa Watanzania wote ziwe Bwerere ?!!!

Sababu kwa hizi Bei hata ambao tunao umeme mwisho wa Siku tunalipa maradufu pesa inayoenda kuwalipa so called wawekezaji kuliko tungemaliza Bwawa tukamaliza Deni tukaanza kujilipa....
 
Tanesco Tukumbukeni na sisi huku Tanganyika!
Tupunguzieni hata bei ya Unit!
Ikiwezekana hata mara.4 Kwa mwaka..[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hakuna nchi inaitwa Tanganyika, nyinyi ndio Tanzania ni wajibu wenu kuihudumia Zanzibar. Kila jambo linafaida na hasara zake, mnaoraha kuitawala Zanzibar ila kuihudumia mnakasirika.
 
Watanganyika tumekuwa mazuzu hili deni limesamehewa kwa misingi gani wakati hata pesa za kuendesha Muungano hawatoi
ni kweli ni mazuzu

na ameshakuwa comfortable, amegundua Tanganyika ni mazuzu na hawamfanyi chochote..... Tanganyika kwake ni shamba la kuchuma na kutajirikia tu... hana uchungu napo...

na mbinu yake kubwa ya utawala wake ni kutumia viongozi vijana vijana, dhaifu dhaifu, watoto waliooa mabinti zake, push-overs.... Mchengerwa, Maharage, January, Bashungwa (anamwita Inno), ambao hawana gravitas, uzito na upeo wa ku question ma policy yake .... au kama ni watu wazima basi ni bumpkin types, Professa Mbarawa types ... JPM alimbeba weee akashindikana akamtapika, juzi anatangaza bungeni sababu za kuuza bandari ya B'Moyo kwa UAE (Dubai), Profesa mzima visababu vya kizembeeee, unajua kabisa huyu anatusomea maagizo alopewa kama kasuku... mpaka maelekezo makubwa ya kusamehe deni la Zanzibar anawapa kwenye ndege, Maharage na January....

asingeweza kuwapa maelekezo kama hayo kina Mzee Lukuvi... ndio maana kawatoa wote, na lately kamwondoa Makala DSalaam, kwamweka kijana push-over, anajua huyu hamnazo, mtoto, rahisi kumburuza....
 
Upuuzi tu, kumtesa mwingine na mwingine kumpa raha iko siku utaondoka , na wakudekezwa atabaki hapo ndipo atajua, kati yakuku na yai kipi kilitangulia.
 
Samia amekuja kuwanyooshea mapito ndugu zake wazanzibari kwenye mengi.

Kwanini hao wazanzibari wasingelipa hata nusu ya hilo deni? Tanesco kwa uchovu wao ule siamini kama ni shirika la kusamehe deni, halafu keshokutwa waanze tena kulia hali mbaya.
 
TANESCO tunaomba mturudishie umeme huku Mbagala kwa kwa Mbiku
sio kitu Cha ungwana kutukatia Muda huu na mkitambua kuwa leo Kuna mchezo Muhimu na pia ni mapumziko acheni hizi ujuma

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
mnasamehe nchi ambayo ukienda fata hata TV tu kodi unayotozwa unajiuliza hii nchi tumeungana nayo kwa maana ipi?

wao wanatukandamiza ila sisi tunawasamehe,hii si sawa sioni sababu ya huo msamaha,kapewa msamaha kama nani?
 
Back
Top Bottom