Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Kama nikweli imewezekana kufuta deni la umeme Zanzibar, wanashindwa nini kuzifutia dei taasisi za serikali huku bara?.
Mambo kama hayo yana umiza mioyoyetu sana,hilodeni siku mimi nikiwa rais nitalihuisha na kuamuru lilipwe, sitakubali huumpango wa ubaguzi kama huu.
Mambo kama hayo yana umiza mioyoyetu sana,hilodeni siku mimi nikiwa rais nitalihuisha na kuamuru lilipwe, sitakubali huumpango wa ubaguzi kama huu.