TANESCO imeisamehe Zanzibar deni la umeme la bilioni 60

TANESCO imeisamehe Zanzibar deni la umeme la bilioni 60

Mambongolala acheni mambo ya kngese kutusamehe iyo b60 tena ndio imekuwa nongwa,kwani sie tunakufanyieni mambo mangapi na wala haturingi wala nini
 
Zanzibar isamehewe deni ili waanze "KUKOPA"upya....
Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.

Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.

Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.
 
Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama
hakuna taarifa ya ndani wala nini huu ni uzushi tu.
 
🤣🤣🤣 natamani niwadisi hao mabazazi wa huko forodhani dah, deni linafutwa..?

Kwahiyo umeme wametumia wabure
 
Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.

Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.

Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.

USSR
Maza anaupiga mwingi zimeishia wapi.... Chawa wa Maza🤣🤣🤣🤣🤣
 
hivi hakuna uwezekano wa kutengeneza mita ya LUKU kwenye umeme mkubwa unaoenda zanzibar? ifungwe tu Luku watumie kwa kadiri wanavyolipa
 
Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.

Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.

Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.

USSR
Wacha tu nihamie Burundi
 
Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.

Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.

Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.

USSR
".........Sisi Wazanzibar ni wabinafsi sana ndugu Mwandishi" alisikima Makame Abdallah Mkazi wa Fumba Unguja!
 
Back
Top Bottom