Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauna faida Hata kidogoSi kweli kuwa ni wa kihuni, na si kweli kuwa hauna faida kwa Watanzania
Utoto una kusumbua ukikua utaachaKakojowe ukalale
Kipi nyie mnafanya maskini waku tupwa kabisa nyie mna nini nyie makapuku choka mbayaMambongolala acheni mambo ya kngese kutusamehe iyo b60 tena ndio imekuwa nongwa,kwani sie tunakufanyieni mambo mangapi na wala haturingi wala nini
Kakojowe ukalaleUtoto una kusumbua ukikua utaacha
Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.
Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.
Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.
hakuna taarifa ya ndani wala nini huu ni uzushi tu.Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama
Maza anaupiga mwingi zimeishia wapi.... Chawa wa Maza🤣🤣🤣🤣🤣Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.
Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.
Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.
USSR
Changu ni chako, chako ni chako. Haiwezekani, hatuendi hivyo.Naunga mkono hoja kwa sababu sisi ni dugu moja bhana !! Au hamuutaki udugu wetu ?!
Yule mwenye uwezo mdogo siku zote chake ni chake tu maana uwezo wake ni mdogo !!Changu ni chako, chako ni chako. Haiwezekani, hatuendi hivyo.
Wacha tu nihamie BurundiMkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.
Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.
Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.
USSR
Wanaodaiwa ni Shirika la Umeme Zanzibar ambalo limeshindwa kukusanya madeni ya wateja wake wasio na mita za LUKU. Hizo LUKU ziko Bara tu Visiwani ni uhuru wa manyaniSasa umeme wa LUKU unakuwaje na malimbikizo?
".........Sisi Wazanzibar ni wabinafsi sana ndugu Mwandishi" alisikima Makame Abdallah Mkazi wa Fumba Unguja!Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.
Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.
Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.
USSR