kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Kama Tanesco ni matajiri kiasi hicho, watupunguzie walala hoi bei ya umeme.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawa kwanza uso halafu urudi usome ulicho andikaKwani nani aliwatuma mtuvamie?
AtokeSamia ni mbaguzi sana ataipeleka nchi yetu kubaya, yeye kila kitu ni Zanzibar kwanza na wenzake...
Ufisadi huu sasa!Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.
Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.
Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.
USSR
Wanataka jengewa daraja ili wapite na baskeliSiku huu muungano wa mchongo ukivunjika nitafanya sherehe kubwa ajabu
Pesa za luku zinakwenda wapi..au huko hakuna luku Kuna (TUKWAU) Yani tumia Kwanza usamehewe!Zenj,inaingia kwa Mkoa wa kagera mara Tano,Haina viwanda vingi bili yake ya umeme ni sawa na matumizi ya umeme kwa kata ya kawe Dar,it's drop of water In a ocean!!ni pesa kidogo sana.
Uktegemea wanaotawala zenj,wote ni mamluki kutoka bara,waliamia huko in 1940s,
Zenj tuione kama wilaya ya kaliua au mbogwe tu
Salamu zimefika Mkuu![emoji1787][emoji1787]msalimie Anne! Zesco kwani ina wateja wangapi?
Unajua Zanzibar inaidai Tanganyika kiasi gani?Watanganyika tumekuwa mazuzu hili deni limesamehewa kwa misingi gani wakati hata pesa za kuendesha Muungano hawatoi
Kuna nafasi nyingi zimetoka TRA naambiwa wametengewa zao.Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.
Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.
Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.
USSR
Ukivunjwa kuna watu watakuwa wakimbiziKumbuka kwamba wenzenu mumewaibia nchi nzimaaa nyie umeme tu unawauma kiasi hicho!
Kwa upande mwengine Wazanzibari wanakubaliana na wewe huu muungano ni wafigisu tupu bora tu uvunjwe!
Kitaje hicho kiasiUnajua Zanzibar inaidai Tanganyika kiasi gani?
Si kweli kuwa ni wa kihuni, na si kweli kuwa hauna faida kwa WatanzaniaMuungano wa kihuni na kitapeli uvunjwe hauna faida Kwa watanzania
Kakojowe ukalaleNawa kwanza uso halafu urudi usome ulicho andika
Chato!Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.
Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.
Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.
USSR
Trilions 4+Kitaje hicho kiasi
Punguza makasiriko mkuu.Acha tuendelee kuwalea, alafu wasivyo na shukrani utawasikia 'nyee nyee nyee tungekuwa kama Dubai...', wakati kulipa umeme tu inawashinda.
Don't you worry! There is a Geneva Convection stil exists!Ukivunjwa kuna watu watakuwa wakimbizi