BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Aiseee..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli wazanzibari wamejua kutukomesha na hawana hurumaMkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.
Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.
Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.
USSR
muungano unafichwa kama sehemu za siri, ukiwauliza watanzania wengi sahivi, wanachojuwa kuhusu muungano ni tarehe tu, iliyofundishwa kwenye mitaala huko shuleniMuungano wa kihuni na kitapeli uvunjwe hauna faida Kwa watanzania
Zanzibar ni kupe kwa Tanganyika!Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.
Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.
Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.
USSR
Nyie ndugu zenu ni Omani,sisi Watanganyika tunalazimisha undugu tuNaunga mkono hoja kwa sababu sisi ni dugu moja bhana !! Au hamuutaki udugu wetu ?!
Mimi pia ni mtanganyika asilia kabisa !Nyie ndugu zenu ni Omani,sisi Watanganyika tunalazimisha undugu tu
Zanzibar kila kitu wao kipo chini sisi huku ndiyo tunapigwaMkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Maharage Chande amesema mjadala umefikia mwisho kuwa Zanzibar isamehewe deni ili waanze upya kwa “tariff” mpya pia.
Kwa taarifa za ndani za uhakika ni kuwa maagizo kutoka ikulu ya Dodoma kupitia Waziri January ndiyo yamepelekea afute deni hilo. Maagizo hayo alipewa January wakiwa ndani ya ndege wakitokea Uganda na mama.
Huku wabara wakiendelea kukamuliwa na tozo, wenzao huko Zanzibar mwendo mdundo.
USSR
Huku wanakuja kuchuma na kupeleka OmanNyie ndugu zenu ni Omani,sisi Watanganyika tunalazimisha undugu tu