Tanesco kuendelea kukata Tsh 2000 kwenye LUKU kama tozo ya serikali ni wizi wa pesa za Watanzania.

Tanesco kuendelea kukata Tsh 2000 kwenye LUKU kama tozo ya serikali ni wizi wa pesa za Watanzania.

Nyasi-Man

Senior Member
Joined
Sep 3, 2023
Posts
171
Reaction score
351
Hivi karibuni Watanzania kupitia mitandao mbalimbali walionesha ghadhabu juu ya ongezeko la kodi kwenye LUKU kutoka Tsh 1500 mpaka 2000 pasipo kutoa notice kwa umma. Baadae TANESCO walitoa maelezo kwamba ongezeko hilo ni deni la nyuma kwa baadhi ya wateja, cha kushangaza mambo yamekuwa tofauti ni kama tozo zimehararishwa kuendelea maana makato yamebaki kuwa 2000 kwa kila anayenunua umeme.
WhatsApp Image 2024-07-16 at 3.45.04 PM.jpeg


Kitendo hiki si chakiungwana maana inaonesha serikali inaibia raia wake pasipo woga wowote......kitendo hiki kinakera, kuumiza na kutia hasira kuona serikali ya CCM inavyopuuza wananchi wake kwa kufanya mambo pasipokufuata taratibu za kisheria. Kibaya zaidi hawatoi takwimu ya hizo pesa lakini pia zimesaidia kutatua changamoto zipi za umma.
WhatsApp Image 2024-07-16 at 3.45.47 PM.jpeg


Kitu kinachoumiza ni serikali kuendelea kuwa na matumizi makubwa na yasiyokuwa na tija kwa nchi. Mfano ziara ya Rais inakuwa na msafara wa magari zaidi ya 150 kwa wakati mmoja (Rais, Mawaziri na Naibu Mawaziri karibu wote)......Huu ni upumbavu uliopitiliza ambao matokeo pesa nyingi zinapotea kwenye mambo yasiosaidia jamii na hivyo nchi kuishia kukopa mara kwa mara huku deni la taifa likizidi kuongezeka na maisha ya Watanzania kuendelea kuwa duni..........Uchaguzi ujao inabidi tujipange sana kutokomeza huu uhuni na ufisadi tunaoushuhudia.
WhatsApp Image 2024-07-16 at 3.54.20 PM.jpeg
 
Hivi karibuni Watanzania kupitia mitandao mbalimbali walionesha ghadhabu juu ya ongezeko la kodi kwenye LUKU kutoka Tsh 1500 mpaka 2000 pasipo kutoa notice kwa umma. Baadae TANESCO walitoa maelezo kwamba ongezeko hilo ni deni la nyuma kwa baadhi ya wateja, cha kushangaza mambo yamekuwa tofauti ni kama tozo zimehararishwa kuendelea maana makato yamebaki kuwa 2000 kwa kila anayenunua umeme.
View attachment 3043882

Kitendo hiki si chakiungwana maana inaonesha serikali inaibia raia wake pasipo woga wowote......kitendo hiki kinakera, kuumiza na kutia hasira kuona serikali ya CCM inavyopuuza wananchi wake kwa kufanya mambo pasipokufuata taratibu za kisheria. Kibaya zaidi hawatoi takwimu ya hizo pesa lakini pia zimesaidia kutatua changamoto zipi za umma.
View attachment 3043883

Kitu kinachoumiza ni serikali kuendelea kuwa na matumizi makubwa na yasiyokuwa na tija kwa nchi. Mfano ziara ya Rais inakuwa na msafara wa magari zaidi ya 150 kwa wakati mmoja (Rais, Mawaziri na Naibu Mawaziri karibu wote)......Huu ni upumbavu uliopitiliza ambao matokeo pesa nyingi zinapotea kwenye mambo yasiosaidia jamii na hivyo nchi kuishia kukopa mara kwa mara huku deni la taifa likizidi kuongezeka na maisha ya Watanzania kuendelea kuwa duni..........Uchaguzi ujao inabidi tujipange sana kutokomeza huu uhuni na ufisadi tunaoushuhudia.
View attachment 3043893
Deni lazima lilipwe acha janjajanja. Ulikuwa na deni.
Yaani 500 tu unautangazia umma kuwa mzigo!
Ila wewe jamaa ni mzigo sana kwa taifa hili.
 
500 hio ikikakatwa kwenye Kaya mil 1 jumla inakuja shillingi ngapi?. Wewe ndio mzigo Kwa taifa kuliko mleta mada.
Mnatia aibu tu. Yaani tuanze kujadili deni la mtu binafsi Jf, Kweli?
Na hao watu 1m wasipolipa hiyo 500 unadhani ni kiasi gani taifa litaingia hasara?
DAWA YA DENI NI KULIPA.
 
500 hio ikikakatwa kwenye Kaya mil 1 jumla inakuja shillingi ngapi?. Wewe ndio mzigo Kwa taifa kuliko mleta mada.
Huyo hatumii ubongo kufikiri angepewa total amount inayokuwa collected halafu inaishia mifukoni mwa watu wachache ..........angerudi kutubu...............mfano mzuri tu kama kungekuwa na ufanisi kwenye huduma za jamii mfano hospital hakuna mtu angekuwa anahoji hizi mambo provided mchakato unakuwa kisheria.
 
Niliwaambia solution ni kununua solar panel na jenerata... Vinginevyo waacheni TANESCO wafanye yao...
 
Back
Top Bottom