Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Not always I seee!Popote pale,Unapoondoka na ukaona wale wanaobaki wanafurahi uondikaji wako,Jua wewe ni Jembe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Not always I seee!Popote pale,Unapoondoka na ukaona wale wanaobaki wanafurahi uondikaji wako,Jua wewe ni Jembe
Usmart wake uko wapi au labda usema kwa kuvaa vizuriJamaa yupo smart sana.. Sema watu tuna tabia ya kupenda kuangalia mabaya ya watu.. hatujui mazuri wala hatutaki kuona mazuri yake ndio shida ipo hapo.. But jamaa yupo smart sana
Nimepata mjua makamba 2014 .ukweli jamaa standard zake za utendaji kazi ni zile za ulaya kanyooka sana.kifupi tulikuwa tunamwita mzungu hata ugali nyama anaomba umma na kisu .kila saa msafi kama waarabu wa dubai nanhupendelea mashati meupe.hapa dada nakuelewa kwa huu utendaji wa tanesco wasingempenda .Hahaha kama ni kweli uyasemayo na jinsi ninavyoifahamu Tanzania, January aliwashika pazuri.
Waliishi kwa mazowea kwa miaka mingi, January na Maharage wamefumuwa mifumo ya ukitlritimba na wameupiga sana vita wizi huko, wameweka mifumo inayoendana na utendaji "performance". Wameuondowa ukiritimba huko kwa kiwango kikubwa sana.
Makamba anakwenda kuondowa ukiritimba wa mambo ya nje.
Wanaoshangilia wajitayarishe na kulia, anaekuja ndiyo hana zaidi ya kazi tu.
No free lunch.
"Hafurahishwi nae" halafu kampa wizara ya mambo ya nje?Nimepata mjua makamba 2014 .ukweli jamaa standard zake za utendaji kazi ni zile za ulaya kanyooka sana.kifupi tulikuwa tunamwita mzungu hata ugali nyama anaomba umma na kisu .kila saa msafi kama waarabu wa dubai nanhupendelea mashati meupe.hapa dada nakuelewa kwa huu utendaji wa tanesco wasingempenda .
Japo sababu ya kutolewa kuu ni wizi Kala sana 10% hata za chini mama alipochanwa alimnunia akawa hapokei simu aliemuokoa ni babake mzazi na kikwete .ila mama hafurahishwi nae
Mambo ya uongozi kwa level za urais sio mepesi ndo maana kabla mtu hajaapishwa urais anakuwa na mdomo sana juu ya watangulizi msubiri akae ikulu miez 6 .huwa anaanza waelewa sana .mama leo anaelewa kwa nn magu alizuia mikutano ya hadhara na tayari kaanza kuteka watu"Hafurahishwi nae" halafu kampa wizara ya mambo ya nje?