Tetesi: TANESCO 'kwazizima' Makamba kuhamishwa Nishati. Waendelea na 'mfungo'

Tetesi: TANESCO 'kwazizima' Makamba kuhamishwa Nishati. Waendelea na 'mfungo'

. Katika hali ya kustaajabisha, maafisa na wafanyakazi wa kawaida wa Kampuni ya Umeme Tanzania (TANESCO) walirukaruka kwa furaha baada ya kusikia na kujua uhamisho wa aliyekuwa Waziri wa Nishati Januari Makamba. Maafisa na watumishi hao wa Makao Makuu ya TANESCO walionesha furaha yao ya wazi kwakuwa walikuwa 'hawamtaki' Waziri Januari Makamba.

Wana-TANESCO wanashukuru na kumkaribisha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Daktari Doto Biteko na kujiapiza kufanya naye kazi vyema. Hatahivyo, watumishi hao wamedai kuwa wanaendelea na maombi na mfungo wao ili Mungu amuongoze Rais Samia kumuondoa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Maharage Chande.

Makamba na Chande ambao ni marafiki wa karibu wa muda mrefu walikuwa hawakubaliki na wafanyakazi wa TANESCO kwa kile kinachosemwa kuwa wana kiburi, dharau na waligusa na kuondoa haki mbalimbali za wafanyakazi zikiwamo kufutwa kwa safari za kikazi. Nyaraka za ki-TANESCO zinaonesha kuwa kuna safari nyingi-hata zile zenye umuhimu ambazo zimefutwa na Chande kwa maelekezo ya Makamba.

Maombi ya wana-TANESCO yatafanikiwa?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Basi Januari na Maharage wamewatendea vema kama fikra zao ni paadiem tuu!!!!
 
Katika hali ya kustaajabisha, maafisa na wafanyakazi wa kawaida wa Kampuni ya Umeme Tanzania (TANESCO) walirukaruka kwa furaha baada ya kusikia na kujua uhamisho wa aliyekuwa Waziri wa Nishati Januari Makamba. Maafisa na watumishi hao wa Makao Makuu ya TANESCO walionesha furaha yao ya wazi kwakuwa walikuwa 'hawamtaki' Waziri Januari Makamba.

Wana-TANESCO wanashukuru na kumkaribisha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Daktari Doto Biteko na kujiapiza kufanya naye kazi vyema. Hatahivyo, watumishi hao wamedai kuwa wanaendelea na maombi na mfungo wao ili Mungu amuongoze Rais Samia kumuondoa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Maharage Chande.

Makamba na Chande ambao ni marafiki wa karibu wa muda mrefu walikuwa hawakubaliki na wafanyakazi wa TANESCO kwa kile kinachosemwa kuwa wana kiburi, dharau na waligusa na kuondoa haki mbalimbali za wafanyakazi zikiwamo kufutwa kwa safari za kikazi. Nyaraka za ki-TANESCO zinaonesha kuwa kuna safari nyingi-hata zile zenye umuhimu ambazo zimefutwa na Chande kwa maelekezo ya Makamba.

Maombi ya wana-TANESCO yatafanikiwa?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Wewe mzee wa tupatupa, tunakuamini na mara nyingi habari zako ni za uhakika. Maharage atakuwa amebaki kwenye baridi kali.
 
Katika hali ya kustaajabisha, maafisa na wafanyakazi wa kawaida wa Kampuni ya Umeme Tanzania (TANESCO) walirukaruka kwa furaha baada ya kusikia na kujua uhamisho wa aliyekuwa Waziri wa Nishati Januari Makamba. Maafisa na watumishi hao wa Makao Makuu ya TANESCO walionesha furaha yao ya wazi kwakuwa walikuwa 'hawamtaki' Waziri Januari Makamba.

Wana-TANESCO wanashukuru na kumkaribisha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Daktari Doto Biteko na kujiapiza kufanya naye kazi vyema. Hatahivyo, watumishi hao wamedai kuwa wanaendelea na maombi na mfungo wao ili Mungu amuongoze Rais Samia kumuondoa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Maharage Chande.

Makamba na Chande ambao ni marafiki wa karibu wa muda mrefu walikuwa hawakubaliki na wafanyakazi wa TANESCO kwa kile kinachosemwa kuwa wana kiburi, dharau na waligusa na kuondoa haki mbalimbali za wafanyakazi zikiwamo kufutwa kwa safari za kikazi. Nyaraka za ki-TANESCO zinaonesha kuwa kuna safari nyingi-hata zile zenye umuhimu ambazo zimefutwa na Chande kwa maelekezo ya Makamba.

Maombi ya wana-TANESCO yatafanikiwa?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Yawezekana kweli Makamba na huyo Chande wana Mapungufu yao ila ukiona Wafanyakazi wanakuchukia au Kufurahia Kutemwa au Kuhamishwa Kwako jua ya kwamba uliwazibia Mirija yao ya Upigaji ( Ufisadi ) na kusimamia vyema Uwajibikaji kitu ambacho 85% ya Wafanyakazi wa Serikalini hawakiwezi na hawakipendi ila Kuiba na Kula Bata ndiko Wanakokupenda zaidi.
 
Katika hali ya kustaajabisha, maafisa na wafanyakazi wa kawaida wa Kampuni ya Umeme Tanzania (TANESCO) walirukaruka kwa furaha baada ya kusikia na kujua uhamisho wa aliyekuwa Waziri wa Nishati Januari Makamba. Maafisa na watumishi hao wa Makao Makuu ya TANESCO walionesha furaha yao ya wazi kwakuwa walikuwa 'hawamtaki' Waziri Januari Makamba.

Wana-TANESCO wanashukuru na kumkaribisha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Daktari Doto Biteko na kujiapiza kufanya naye kazi vyema. Hatahivyo, watumishi hao wamedai kuwa wanaendelea na maombi na mfungo wao ili Mungu amuongoze Rais Samia kumuondoa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Maharage Chande.

Makamba na Chande ambao ni marafiki wa karibu wa muda mrefu walikuwa hawakubaliki na wafanyakazi wa TANESCO kwa kile kinachosemwa kuwa wana kiburi, dharau na waligusa na kuondoa haki mbalimbali za wafanyakazi zikiwamo kufutwa kwa safari za kikazi. Nyaraka za ki-TANESCO zinaonesha kuwa kuna safari nyingi-hata zile zenye umuhimu ambazo zimefutwa na Chande kwa maelekezo ya Makamba.

Maombi ya wana-TANESCO yatafanikiwa?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Watungaji wa hekaya za abunuasi kazini. Kuna mwenzako jana alitunga kuwa umeme umeanza kuwaka kila sehemu baada ya makamba kutoka watu wakampiga spana kuwa sehemu nyingi tu hazina umeme.

Naona leo umekuja kivingine na uzushi mpya
 
Wazawa wazalendo tunafikilia muondoke mnaolilia Safari tanesco ingizwe ktk ushindani wa kihiashara na ujuzi ibakie na idara mbili tu ya kuza umeme na kukusanya mapato Kodi serikali idara zingine zote ziondolewe kuanzia usambazi umeme na matengenezo na kunganisha wateja ktk sekta binafsi wakandarasi wafanye kazi iyo kwa ushindani kunga wateja na sekta binafsi wauze vifaa vya service line mpaka nguzo na meter isajiriwe Kama line sm technical information on line technology kisasa nyie muondoke mnatutia asala Kaz kulilia Safari ufikili wateja umeme unakatikatika kwasababu kukosa ujuzi mhandis ajui ata transformer Ina wateja wangapi na kila phace ina wateja wangapi before new customer connection muondoke sekta binafsi ilete tija kwa taifa ktk ushindani wa kibiashara wakandarasi kuleta mapato ya taifa amtoshi kuanzia wakurugenzi mpaka bodi amfikili kulingiza shirika ktk ushindani wa kibiashara wakandarasi sekta binafsi kuongeza kazi usambazi umeme na matengenezo kunga wateja kwa wingi amtoshi ipo siku mungu atamzindua mkuu wa mzalendo kuvunja shirika libaki kuza umeme tu na kukusanya mapato Kodi
Unachokiongea na Kitu kizuri sana, Lakini je umewaza hali z a Uchumi wa wananchi ambao ni majority, Hakuna mwekezaji ataunganishia mteja umeme kwa 27k ile hali mteja uyo kwa mwezi ananunua umeme wa 5000 tu mwezi mzima, Hio Biashara kichaa ya ivo anaweza kuifanya serikali tu kwa vile Shirika la umeme sio Business Oriented Kwa nchi nyingi tu, Shirika la Umeme lipo pale Kutoa huduma, Likibinafsiswa basi jua fika Umeme utakuwa anasa hatutaweza ku afford afu inshu za simu na umeme ni tofauti sana kuanzia installation mpaka maintenance
 
Katika hali ya kustaajabisha, maafisa na wafanyakazi wa kawaida wa Kampuni ya Umeme Tanzania (TANESCO) walirukaruka kwa furaha baada ya kusikia na kujua uhamisho wa aliyekuwa Waziri wa Nishati Januari Makamba. Maafisa na watumishi hao wa Makao Makuu ya TANESCO walionesha furaha yao ya wazi kwakuwa walikuwa 'hawamtaki' Waziri Januari Makamba.

Wana-TANESCO wanashukuru na kumkaribisha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Daktari Doto Biteko na kujiapiza kufanya naye kazi vyema. Hatahivyo, watumishi hao wamedai kuwa wanaendelea na maombi na mfungo wao ili Mungu amuongoze Rais Samia kumuondoa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Maharage Chande.

Makamba na Chande ambao ni marafiki wa karibu wa muda mrefu walikuwa hawakubaliki na wafanyakazi wa TANESCO kwa kile kinachosemwa kuwa wana kiburi, dharau na waligusa na kuondoa haki mbalimbali za wafanyakazi zikiwamo kufutwa kwa safari za kikazi. Nyaraka za ki-TANESCO zinaonesha kuwa kuna safari nyingi-hata zile zenye umuhimu ambazo zimefutwa na Chande kwa maelekezo ya Makamba.

Maombi ya wana-TANESCO yatafanikiwa?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Hawatawezana na Dotto mmoja wapo hafiki X-Mas maana Maharage kaletwa na mafisadi
 
Hawatawezana na Dotto mmoja wapo hafiki X-Mas maana Maharage kaletwa na mafisadi
Maharage si ana exposure na Inshu za Nje na amefanya kazi Multi Choice basi Arudi uko, Kiuhalisi Pamoja na Mkurugenzi wa Tanesco kuteuliwa na Rais, Bado Waziri ana influence kubwa na lazima waivane na uyo Mkurugenzi makamba alivyolamba uteuzi alimleta Maharage na Kumfurusha Dr Tito Mwinuka ivo ni zamu ya Mkurugenzi aliepo nae Apishe waziri alete mtu wake
 
Maharage si ana exposure na Inshu za Nje na amefanya kazi Multi Choice basi Arudi uko, Kiuhalisi Pamoja na Mkurugenzi wa Tanesco kuteuliwa na Rais, Bado Waziri ana influence kubwa na lazima waivane na uyo Mkurugenzi makamba alivyolamba uteuzi alimleta Maharage na Kumfurusha Dr Tito Mwinuka ivo ni zamu ya Mkurugenzi aliepo nae Apishe waziri alete mtu wake
Maharage kaletwa na Rostam Makamba alikuwa ni mshenga tu
 
Katika hali ya kustaajabisha, maafisa na wafanyakazi wa kawaida wa Kampuni ya Umeme Tanzania (TANESCO) walirukaruka kwa furaha baada ya kusikia na kujua uhamisho wa aliyekuwa Waziri wa Nishati Januari Makamba. Maafisa na watumishi hao wa Makao Makuu ya TANESCO walionesha furaha yao ya wazi kwakuwa walikuwa 'hawamtaki' Waziri Januari Makamba.

Wana-TANESCO wanashukuru na kumkaribisha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Daktari Doto Biteko na kujiapiza kufanya naye kazi vyema. Hatahivyo, watumishi hao wamedai kuwa wanaendelea na maombi na mfungo wao ili Mungu amuongoze Rais Samia kumuondoa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Maharage Chande.

Makamba na Chande ambao ni marafiki wa karibu wa muda mrefu walikuwa hawakubaliki na wafanyakazi wa TANESCO kwa kile kinachosemwa kuwa wana kiburi, dharau na waligusa na kuondoa haki mbalimbali za wafanyakazi zikiwamo kufutwa kwa safari za kikazi. Nyaraka za ki-TANESCO zinaonesha kuwa kuna safari nyingi-hata zile zenye umuhimu ambazo zimefutwa na Chande kwa maelekezo ya Makamba.

Maombi ya wana-TANESCO yatafanikiwa?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Majungu Kwa Makamba haya.Nyie Hater wake kwani Makamba aliwafanyaga nini?

Kumbe mazembe ndio yanachekelea na pia wamefuta upuuzi mwingi tuu ikiwemo utaratibu wa ku outsource kazi ambapo kabla Tanesco Wakifanya wenyewe na kutumia kama mwanya wa upigaji.
 
Kama sababu ni kufutwa kwa safari basi wenyewe ndio tatizo
Makamba ana udhaifu wake lakini safari za kikazi kufutwa zitakuwa hazikuwa na tija

Shirika lina wafanyakazi wa Tanesco nchi nzima na kila wilaya

Hizo safari za kikazi zilikuwa za nini na walikuwa wakienda kufanya nini ? Na ni akina nani hao ?

Shirika linapata hasara halafu mnataka safari ziendelee hela za safari zinatoka wapi labda wakati shirika linapata hasara

Tueleweshe source ya hizo pesa za Safari zinatoka wapi?
 
Katika hali ya kustaajabisha, maafisa na wafanyakazi wa kawaida wa Kampuni ya Umeme Tanzania (TANESCO) walirukaruka kwa furaha baada ya kusikia na kujua uhamisho wa aliyekuwa Waziri wa Nishati Januari Makamba. Maafisa na watumishi hao wa Makao Makuu ya TANESCO walionesha furaha yao ya wazi kwakuwa walikuwa 'hawamtaki' Waziri Januari Makamba.

Wana-TANESCO wanashukuru na kumkaribisha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Daktari Doto Biteko na kujiapiza kufanya naye kazi vyema. Hatahivyo, watumishi hao wamedai kuwa wanaendelea na maombi na mfungo wao ili Mungu amuongoze Rais Samia kumuondoa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Maharage Chande.

Makamba na Chande ambao ni marafiki wa karibu wa muda mrefu walikuwa hawakubaliki na wafanyakazi wa TANESCO kwa kile kinachosemwa kuwa wana kiburi, dharau na waligusa na kuondoa haki mbalimbali za wafanyakazi zikiwamo kufutwa kwa safari za kikazi. Nyaraka za ki-TANESCO zinaonesha kuwa kuna safari nyingi-hata zile zenye umuhimu ambazo zimefutwa na Chande kwa maelekezo ya Makamba.

Maombi ya wana-TANESCO yatafanikiwa?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Hivi kwa nini watu wanalilia safari kama sio ubadhirifu mtupu?

Je mnataka kusema kuna watu wazima wana hamu ya kupanda gari/ndege/boti/train nk bila malengo?
Kama lengo Lao ni utalii basi watumie mishahara yao.

Serikali ingeuchukua mfumo wa private linapokuja suala la safari hakika nawaambieni hii nchi ingepaa kimaendeleo.

Safari ni ufisadi nyamavu!!! Period…..
 
Sisi watanzania tunatamani Chande apelekwe bandarini akadhibiti wizi wa pale kwa mifumo yake ya tehama
 
Jembe la ufisadi? Biteko ahakikishe huyo Maharage Chande nae anakwenda wizara ya mambo ya nje amfuate boss wake his partner in their crime syndicate!
Wivu tu
 
Katika hali ya kustaajabisha, maafisa na wafanyakazi wa kawaida wa Kampuni ya Umeme Tanzania (TANESCO) walirukaruka kwa furaha baada ya kusikia na kujua uhamisho wa aliyekuwa Waziri wa Nishati Januari Makamba. Maafisa na watumishi hao wa Makao Makuu ya TANESCO walionesha furaha yao ya wazi kwakuwa walikuwa 'hawamtaki' Waziri Januari Makamba.

Wana-TANESCO wanashukuru na kumkaribisha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Daktari Doto Biteko na kujiapiza kufanya naye kazi vyema. Hatahivyo, watumishi hao wamedai kuwa wanaendelea na maombi na mfungo wao ili Mungu amuongoze Rais Samia kumuondoa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Maharage Chande.

Makamba na Chande ambao ni marafiki wa karibu wa muda mrefu walikuwa hawakubaliki na wafanyakazi wa TANESCO kwa kile kinachosemwa kuwa wana kiburi, dharau na waligusa na kuondoa haki mbalimbali za wafanyakazi zikiwamo kufutwa kwa safari za kikazi. Nyaraka za ki-TANESCO zinaonesha kuwa kuna safari nyingi-hata zile zenye umuhimu ambazo zimefutwa na Chande kwa maelekezo ya Makamba.

Maombi ya wana-TANESCO yatafanikiwa?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Kama sababu za hao wafanya kazi kufurahia kuondoka kwa Makamba ni hizo zilizoelezwa, kwa mara ya kwanza nitampongeza Makamba na rafiki yake Maharage.
Kupongeza kwangu ni kwa hili tu jambo, na siyo mengine yanayowahusu hao watu.
 
Katika hali ya kustaajabisha, maafisa na wafanyakazi wa kawaida wa Kampuni ya Umeme Tanzania (TANESCO) walirukaruka kwa furaha baada ya kusikia na kujua uhamisho wa aliyekuwa Waziri wa Nishati Januari Makamba. Maafisa na watumishi hao wa Makao Makuu ya TANESCO walionesha furaha yao ya wazi kwakuwa walikuwa 'hawamtaki' Waziri Januari Makamba.

Wana-TANESCO wanashukuru na kumkaribisha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Daktari Doto Biteko na kujiapiza kufanya naye kazi vyema. Hatahivyo, watumishi hao wamedai kuwa wanaendelea na maombi na mfungo wao ili Mungu amuongoze Rais Samia kumuondoa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Maharage Chande.

Makamba na Chande ambao ni marafiki wa karibu wa muda mrefu walikuwa hawakubaliki na wafanyakazi wa TANESCO kwa kile kinachosemwa kuwa wana kiburi, dharau na waligusa na kuondoa haki mbalimbali za wafanyakazi zikiwamo kufutwa kwa safari za kikazi. Nyaraka za ki-TANESCO zinaonesha kuwa kuna safari nyingi-hata zile zenye umuhimu ambazo zimefutwa na Chande kwa maelekezo ya Makamba.

Maombi ya wana-TANESCO yatafanikiwa?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Rubbish,Basi tutamuweka pengo hapo tanesco
 
Back
Top Bottom