KERO TANESCO mbona mnakata sana umeme Mtwara?

KERO TANESCO mbona mnakata sana umeme Mtwara?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Kangosha

Member
Joined
Sep 18, 2023
Posts
52
Reaction score
135
Kwa kipindi cha mwezi wote wa Kwanza hadi leo kuanza mwezi wa pili kumekuwa na kukatika umeme mara kwa mara katika maeneo ya mji mwema na maeneo mengine ya Mtwara.
TANESCO mnaturudisha sana nyuma sisi ambao ni wajasiriamali tunaotegemea Umeme kujipatia riziki. Kwa siku umeme unaweza kukatika hadi mara 6.

Kuna fundi mmoja wa TANESCO nilimuuliza kwa nini umeme unakatika sana,akasema ni sababu ya mvua na upepo. Kweli jibu lake lilinishangaza maana kwa dunia ya leo sikutegemea kuwa mvua ikinyesha iwe sababu ya umeme kukatika. Hii ni kumaanisha kuwa kipindi cha mvua shughuli za kiuchumi zinazohitaji umeme zisimamishwe!!!.

Niiombe Serikali yangu pendwa inayoongozwa na Dk.Samia itusaidie kupata suluhisho la kukatika umeme mara kwa mara maeneo ya Mtwara.

Tunashukuru kwamba umeme umesambazwa maeneo mengi.Ila tatizo limekuwa kwamba umeme sio wa uhakika.
 
Hilo shirika ingekuwa ni uwezo wangu ningelibadilisha likawa shirika la kichawi yani shirika la nguvu za giza!
 
Kwa kipindi cha mwezi wote wa Kwanza hadi leo kuanza mwezi wa pili kumekuwa na kukatika umeme mara kwa mara katika maeneo ya mji mwema na maeneo mengine ya Mtwara.
TANESCO mnaturudisha sana nyuma sisi ambao ni wajasiriamali tunaotegemea Umeme kujipatia riziki. Kwa siku umeme unaweza kukatika hadi mara 6.
Kuna fundi mmoja wa TANESCO nilimuuliza kwa nini umeme unakatika sana,akasema ni sababu ya mvua na upepo. Kweli jibu lake lilinishangaza maana kwa dunia ya leo sikutegemea kuwa mvua ikinyesha iwe sababu ya umeme kukatika. Hii ni kumaanisha kuwa kipindi cha mvua shughuli za kiuchumi zinazohitaji umeme zisimamishwe!!!.
Niiombe Serikali yangu pendwa inayoongozwa na Dk.Samia itusaidie kupata suluhisho la kukatika umeme mara kwa mara maeneo ya Mtwara.
Tunashukuru kwamba umeme umesambazwa maeneo mengi.Ila tatizo limekuwa kwamba umeme sio wa uhakika.
Wamakonde walalamike wanaonewa na kutengwa, Msumbiji waje kuwaokoa.🤣😂🤣🤣
 
Back
Top Bottom