TANESCO: Mikoa 11 kukosa umeme kwa masaa 12 tarehe 15 Novemba 2021

Dogo anajali muonekano kuliko vitendo
 
Kilimanjaro kila siku wanakata umeme tena kutwaaa , tumeanza kuzoea kwa kweli hata kama hawatoi taarifa
 
Tanesco hawana tofauti na Eskom ya South Africa...umeme shida, maji shida , pesa shida na jua limekuwa Kali kweli kweli. Bora tuhamie Mars tu
 
Haijalishi ni kukomoana au ni kutaka kusujudiwa na watu wajione kuwa wao wana umuhimu sana na wameshundikana.

Hii inaendelea kutupa ushahidi tosha kwa kaisi gani Waafrica kudhaurilika na kuonekana hatuna akili.
Ni usibitisho tosha kuwa Africa tuna upungufu mwingi sana akili hasa wasomi na watendaji wetu wote.
Watu wenye akili hawawezi kutufanyia huu upuuzi na kutuharibia mali zetu eti kisa wanavimbishiana misuli.Huo ni upuuzi na ukosefu wa akili ulipitiliza katika Dunia hii ya Teknolojia

Tanesco msihangaike sana zimeni tu umeme tujue tupo bila umeme tutapata tu namna zingjne.La sivyo akili zenu ni za Hovyo kuwahi kutoka kwa 2000AD.
 
Nafikiri jambo kubwa na la busara ni serikali kuacha kufanya biashara ila itengeneze mazingira mazuri ya kuwekeza basi, ukiangalia kila idara ni usumbufu tu, hawajali mali za wananchi wala hasara wanazopata, ikifika mambo ya kudai kodi wanashadadia kweli
 
Msilie lie nyie , Sa ule mzigo wa majenereta utaisha vp bila ya haya magumashi
 
Ni kweli kabisa tunaendelea kukumbuka zile 1.3 Trilioni zilizoyeyuka mbele ya macho ya Prof Assad.... Namshukuru Nape kwa kutaka uchunguzi wa mikopo yootee aliyochukua ufanyike haraka sanaa...
Unaweza ni nionyesha hiyo t 1.3 kwenye ripoti CAG au highlight hiyo paragraph iliyosema t 1.3 ilipigwa.
 
Unaweza ni nionyesha hiyo t 1.3 kwenye ripoti CAG au highlight hiyo paragraph iliyosema t 1.3 ilipigwa.
Katafute mwenyewe hizo kimbukumbu.mtu kakwambia ni kumbukumbu wewe unakazana akuonyeshe.Au kwavile mlificha taarifa ndo maana unashupaza shingo hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…