TANESCO: Mikoa 11 kukosa umeme kwa masaa 12 tarehe 15 Novemba 2021

TANESCO: Mikoa 11 kukosa umeme kwa masaa 12 tarehe 15 Novemba 2021

Katafute mwenyewe hizo kimbukumbu.mtu kakwambia ni kumbukumbu wewe unakazana akuonyeshe.Au kwavile mlificha taarifa ndo maana unashupaza shingo hapa.
Nimesoma sijaona hiyo sehemu,labda ww uliona tuwekee au niambie ipo page namba fulani au landa nawe ulisimuliwa na kulichukua hivyo hivyo kama lilivyo aka Oya Oya.
 
Nafikiri jambo kubwa na la busara ni serikali kuacha kufanya biashara ila itengeneze mazingira mazuri ya kuwekeza basi, ukiangalia kila idara ni usumbufu tu, hawajali mali za wananchi wala hasara wanazopata, ikifika mambo ya kudai kodi wanashadadia kweli
Hii ndio hatari zaidi
 
Back
Top Bottom